ngalelefijo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 3,966
- 2,596
Acha ujinga na wewe,Sio kweli ndo chanzo Cha yote hayaJPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ujinga na wewe,Sio kweli ndo chanzo Cha yote hayaJPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Basi tuliza sphincterYa mia
Sawa naacha ujinga then uuchukue ww huo ujingaAcha ujinga na wewe,Sio kweli ndo chanzo Cha yote haya
Na mbowe ataitwa tena kupewa chai na atarudi kumpigia debe mamaBasi tuliza sphincter
Baba ndubwi alimdharau mh rais… akawekwa sehemu sawa na akaitwa ikulu na kupewa juice
Ni dalali mzuriNa mbowe ataitwa tena kupewa chai na atarudi kumpigia debe mama
Hovyo sana hilo zee. Liendelee kunuka huko liliko maana lenyewe ndo lilituletea haya mambo.
Hovyo sana hilo zee. Liendelee kunuka huko liliko maana lenyewe ndo lilituletea haya mambo.
Kama unadhani ccm itatawala milele unajidanganyaHii ni ndoto za mchana
Yule hakusingiziwa ...alikuwa katili sanaJPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Vp sasa hv kuna utofauti gnY
Yule hakusingiziwa ...alikuwa katili sana
Kwani hii ni mara ya kwanza kuwekwa ndani au kufungwano,
Lazima atiwe adabu kwanza kidogo KOROKORONI 🐒
Infact,Kwani hii ni mara ya kwanza kuwekwa ndani au kufungwa
Ndio mcheki anavyopozi kwa mbwembwe, hakua na mpango wa maaandamano katulia zake Gomzzz apatepo tupicha😅😅😅Aisee...naona umewaza sana etii?..
Wewe ni mjinga kwa hayo unayoshabikia yanaonesha upeo mkubwa wa ujinga ulionao.Leo Mbowe alikuwa peke yake hadi huruma!!! Haijafahamika walikuwa wapi hata wale wanaoitwa walinzi wa mbowe ambao unakuta wamejivimbisha vifua na kununa Utafikiri wanauza na kupima sumu.
Adabu hatiwi mbowe mbowe yeye ni tajiri unaona mtoto wake wa mwisho ni wakeli Adabu utiwa wewe chawa ambaye familia yako inakula mlo mmoja tena kwa bahati, we Angalia viongozi wote wachadema wana Afya nzuri na furaha na amani angalia nyuso za wauwaji zilivyoInfact,
manundazi wa kihalifu huwa hawazidishi mwaka lazma awe ametiwa adabu korokoroni hata mara 5 kwa mwaka, hadi kiburi na ukaidi wake ukome.
Hata hivyo vyombo vya ulinzi na Usalama vitaendelea kuwatia adabu bila aibu wahalifu wote kadiri inavyoonekana inafaa 🐒