KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Chama cha MashetaniJPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Chanzo cha Matatizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chama cha MashetaniJPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Swali zuri akikujibu nitagKwahy tumekubaliana kuwa JPM hakuwa tatizo?
Korokoni siku hizi ni adabu? Au akili yako imeingiwa na mkojono,
Lazima atiwe adabu kwanza kidogo KOROKORONI 🐒
Hawezi kujibu jibu sahihi labla aje na taarabuSwali zuri akikujibu nitag
kwani watu wanawekwa jela kushikishwa ni gentleman?Korokoni siku hizi ni adabu? Au akili yako imeingiwa na mkojo
Miaka mitatu sasa yupo kaburini bado tuu unamlaumu, viongozi wako wa Chadema c walisema huyu mama n msafi vp sasa mbona bado yale yanaendelea au n mzimu wa JPM ndio unayafanya hayaMuhasisi wa haya yanayotokea hivi sasa ni huyo JPM, hata kama utumie Dodoki kumsafisha, hasafishiki.
Polisi acheni kunyanyasa vyama vya upinzani.
Hii ni ndoto za mchanaSiku chadema wakichukua nchi.hawa police watajisikiaje
Kuna faida ipi utaypotano,
Lazima atiwe adabu kwanza kidogo KOROKORONI 🐒
ukitiwa korokoroni, siku ukitoka nje lazma utakua na adabu na utakua na heshima pia. Na hiyo ndio hasa miongni mwa faida nyingine za kuwekwa korokoroni 🐒Kuna faida ipi utaypota
Mbowe ni mgeni wa hicho?ukitiwa korokoroni, siku ukitoka nje lazma utakua na adabu na utakua na heshima pia. Na hiyo ndio hasa miongni mwa faida nyingine za kuwekwa korokoroni 🐒
Ushindi mwingine mkubwa kwa Chadema na Mbowe!Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe amekamatwa na Polisi baada ya kuwasili Magomeni Mapipa akiwa anazungumza na wanahabari kuhusu maandamano
Ikumbukwe kuwa Septemba 11, 2024, Mbowe alitangaza kufanyika maandamano ya kulaani matukio ya watu kutekwa na mauaji, akiwemo kada wake, Ali Kibao.
Hata hivyo, Jeshi la Polisi kupitia msemaji wake, David Misime lilitangaza kuyapiga marufuku.
Kwa mujibu wa Mbowe, wameamua kuweka mkazo kuhusu suala hilo, baada ya maombi ya mahitaji, ikiwemo kutaka kujiuzulu kwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni, viongozi waandamizi wa ulinzi na usalama kama sehemu ya uwajibikaji.
Amesema jambo lingine waliloliomba ni kurejeshewa kwa viongozi wa chama hicho, waliotekwa kwa nyakati tofauti wakiwa hai au hali ya umauti, akiwemo Deusdetith Soka, Dioniz Kipanya, Jacob Mlay na Mbwana Kombo.
Soma Pia: LIVE Yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024
Unayeogopa mahabusu ni wewe Mbowe alishakaa mahabusu zaidi ya siku 200.no,
Lazima atiwe adabu kwanza kidogo KOROKORONI 🐒
Yanawapumbaza kivipi na wewe ambaye hayakupumbazi unawazidi kitu ganiHaya maigizo ya Mbowe ndiyo yanawapumbaza wana CHADEMA
sifahamu,Mbowe ni mgeni wa hicho?
Ya kwanza?Mara ya mwisho mbowe kuwekwa ndan ilikuwa n awamu ya nani?
unadhani panatisha,Unayeogopa mahabusu ni wewe Mbowe alishakaa mahabusu zaidi ya siku 200.
Ya miaYa kwanza?