Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe ajitokeza Magomeni, akamatwa na Polisi

Ila hii Manchester United ya mwaka huu sijui kama itapona kushuka daraja. Mechi 5 imedondosha point 8 na bado hajakutana na wale top 5 kila mwaka. Kimahesabu imeshashuka daraja (5X3)x2=30(Home and Away)+8(zilizokwisha dondoka)=38. Lengo la hizi hesabu ni kuwatahadharisha mashabiki wote wa Man U mjiandae kisaikolojia
 
Uhuru hamuuwezi
Demokrasia haiwezekani Afrika !
Na UARABUNI pia haiwezekani !
Turudi kwenye Chama kimoja kisha tubanane humo humo kwenye Chaguzi 😀🙌

Au nasema uongo ndugu zanguni ??!!
😅😂

Mbona zamani tuliweza kuishi na kufanya shughuli zetu vizuri tu !??
Turudi huko huko , kupanga ni kuchagua, Tusipangiwe na Mabwanyenye nini cha kufanya !
😳🙌👍
 

Ila mtujulishe yuko kituo gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…