Pre GE2025 Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe akamatwa uwanja wa Ndege Songwe

Pre GE2025 Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe akamatwa uwanja wa Ndege Songwe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Weee Mbowe miaka nenda rudi ndiye Mwenyekiti chadema hataki kuwaachia wenzake alafu eti tumpe urais! Sweka ndani
Amuulize Magufuli na ajifunze kutoka kwake, ni swala la mda tu!
Magu aliwafyeka ndani wote wakatia adabu hawa wapiga deal wa hela ya umma eti ruzuku ya vyama wakati hata ofisi hawana!
 
Akamuulize mwenzake mwendazake kwanini alishindwa akaamua kukimbia
Hakuna aliposhindwa na hata ukiniuliza mimi ubaya wa Mwendazake nitakujibu ni kukandamizwa biashara na wafanyabiashara.

So long as Samia hana shida na Biashara mambo yanaenda,huko kwenye siasa awabinye tuu Wala hakuna shida Hadi mrudi Ulaya
 
Hata mbowe hana msaada kwako, yeye anapambania familia yake na ww pambania familia yako
Apambanie familia yake fine ila sio Kwa kuharibu shughuli za wengine au amani ya Nchi.

Unataka kuleta maandamano Ili kuvuruga uchumi Ili kitokee nini?
 
Polisi wajitathimini.wazalendo tukiamua kuingia barabarani hataweza kuzuia mafuriko.hamuoni kule Bangladesh?
 
Samia hakuwajua hawa akawalegezea alidhani Magu alikuwa anawaonea. Hawa namna yao ndo hiyo ustaarabu hawauelewi
 
Hakuna aliposhindwa na hata ukiniuliza mimi ubaya wa Mwendazake nitakujibu ni kukandamizwa biashara na wafanyabiashara.

So long as Samia hana shida na Biashara mambo yanaenda,huko kwenye siasa awabinye tuu Wala hakuna shida Hadi mrudi Kwa bwana zenu Ulaya
Unajisikia raaha sheikh?
 
Hakuna aliposhindwa na hata ukiniuliza mimi ubaya wa Mwendazake nitakujibu ni kukandamizwa biashara na wafanyabiashara.

So long as Samia hana shida na Biashara mambo yanaenda,huko kwenye siasa awabinye tuu Wala hakuna shida Hadi mrudi Kwa bwana zenu Ulaya
Ukiona hivi yupo desperate na kiti chake anapigwa nje ndani, huku Chadema kule kina January kina Kinana kina Kikwete kwanini asichanganyikiwe
 
Unajisikia raaha sheikh?
Sana , yaani wahuni walete mambo ya kuiga huko eti ya Gen Z? Washughulikiwe kama M7 alivyowafa ya wale wa Uganda Hadi wamekomaa.

Watuvurugie Nchi kisa? Wangekuwa wanaungwa mkono na Umma watu si wangeenda?
 
Mikutano ya CCM haina madhara maana wanaohutubiwa ni watoto wa shule na walimu

Lakini wakisikia BAVICHA wanakutana, polisi wameelekezwa kuwakamata ni waoga tu 😂😂
 
Back
Top Bottom