Pre GE2025 Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe akamatwa uwanja wa Ndege Songwe

Pre GE2025 Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe akamatwa uwanja wa Ndege Songwe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sasa nimeamini mama akili zimemruka.CHADEMA wanamjambisha ile mbaya
 
Komaien akina nani kaka? Hawa jamaa mnawafunga mnaawachia miaka nenda rudi, unadhani ni mara ya kwanza? Hawatoacha kulalamika, lakin wanazoea badilisheni mbinu
Wakiachiwa wanakuwa na adabu,sharubu zikiota wanashughulikiwa ndio maisha yenyewe.

Wewe unataka waaachwe wavuruge Nchi? Hao si Wana pa kukimbilia? Mali zao ziko Nje ya Nchi, wengine kama kina Lisu nk familia zao ziko Ulaya unategemea wachekewe au?

Ungekuwa wewe ndio Serikali ungewachekea walete vurugu au siyo?
 
Sasa hapo anamnyoosha nani kama ni kamata kamata kwa CDM ni jambo la kawaida, hii inaonyesha tu kuwa CCM inaanza kukata punzi wanategemea mbeleko. Mbona siasa zilikuwa zinakwenda vizuri tu
Kama ni la kawaida basi wasilalamike washangilie si ni kawaida kwao? 😁😁
 
Huyo ni marehemu hana Msaada kwako Kwa Sasa
Marehemu????? Nyerere mpaka sasa miradi yote inaitwa kwa jina lake! Nenda kinyume uone music wake! Wee unafikiri ni wajinga watu wa nyumbani kwenu kila ukienda likizo wanakuambia ujasafisha kabuli la Babu yako?
 
Samia nchi imemshinda asaidiwe atuachie Tanganyika yetu arudi kwao akale urojo
Kosa la Samia ni nini hapo? Sio yeye aliyeifuta Tanganyika wala aliyelazimisha Muungano. Mnamuonea tu, makosa wafanye wengine lawama apewe yeye. Samia kwa mujibu wa Nyerere na Karume na Katiba yetu ni mtanzania halisi kama watanzania wengine. Acha ubaguzi wa kike. Ni Rais yupi ambae hajakamata watu kwenye uongozi wake?
 
Marehemu????? Nyerere mpaka sasa miradi yote inaitwa kwa jina lake! Nenda kinyume uone music wake! Wee unafikiri ni wajinga watu wa nyumbani kwenu kila ukienda likizo wanakuambia ujasafisha kabuli la Babu yako?
Marehemu hana Msaada kwako Kwa Sasa Wala hana zindiko la Nchi ,usipoteze mda
 
Hakuna cha 4R's ilikuwa ni mbinu ya kupora rasilimali za Tanganyika!
Kwahiyo mliingia makubaluano na waporaji??

Kama mliingia makubaliano na waporaji nyie pia mnakuwa waporaji.

Au mmekengeuka kwa kuwa hamjakubaliana katika mambo fulani.

Mnatuacha na maswali mengi sana sisi ndugu watazamaji.
 
Huyu nae atamfuata yule Mama wa Bangladesh UBABE haufai.
 
WhatsApp Image 2024-08-12 at 12.27.54_27a2dd1d.jpg
 
Nataka wamkamate na Mdude Nyagali ili achukuliwe hatua kali sana za kisheria kwa maneno yake machafu .
 
Wakiachiwa wanakuwa na adabu,sharubu zikiota wanashughulikiwa ndio maisha yenyewe.

Wewe unataka waaachwe wavuruge Nchi? Hao si Wana pa kukimbilia? Mali zao ziko Nje ya Nchi, wengine kama kina Lisu nk familia zao ziko Ulaya unategemea wachekewe au?

Ungekuwa wewe ndio Serikali ungewachekea walete vurugu au siyo?
Wana pa kukimbilia wapi bwana wako hapa hapa. Kama wangekuwa na hiko unachoita adab wangekuwa kimya leo hii. Why hawako kimya is because mbinu zenu hazisaidii tena? Wamezoea wame adopt
 
sio jambo la ajabu kukamatwa na Polisi.
hilo ni jambo la kawaida kabisa, kama kuna kosa au jambo lolote haliko sawa Polisi ndio kazi yao.
Polisi wanafanya kazi zao kwa mujibu wa sheria za nchi yetu, hawafanyi kazi kwa maelekezo ya Rais.
 

Mwenyekiti wa Chadema Taifa Mhe. Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa Mhe. John Pambalu wamekamatwa na Polisi muda huu uwanja wa ndege Songwe wakijiandaa kuelekea Mbeya, Ukamataji huu umeongozwa na RPC wa Mbeya.

Pia soma=> Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa
Mbowe anajielewa

Walioenda kuandamana toka Mikoa mbalimbali walienda na basi yeye kwenda kuwajulia Hali kaenda na ndege Safi Sana

Kula nchi Kwa Raha zako Mbowe
 
Wana pa kukimbilia wapi bwana wako hapa hapa. Kama wangekuwa na hiko unachoita adab wangekuwa kimya leo hii. Why hawako kimya is because mbinu zenu hazisaidii tena? Wamezoea wame adopt
Walivyoshughulikiwa awamu ya Magufuli walikimbilia wapi? Unajitoa ufahamu sio?
 
Back
Top Bottom