Pre GE2025 Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe akamatwa uwanja wa Ndege Songwe

Pre GE2025 Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe akamatwa uwanja wa Ndege Songwe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Walivyoshughulikiwa awamu ya Magufuli walikimbilia wapi? Unajitoa ufahamu sio?
😂😂😂walikaa kimya Lakini leo hii yupo kabak fuvu chini ya ardhi. Watu kama wale hawana athari achana nao ni kuchapa kazi. Hii dunia na hope sea uwe na pesa uwe mzuri uwe mbabe kiasi gani kila lenye mwanzo lina mwisho. RIPMAGUFULI
 
Kwahiyo mliingia makubaluano na waporaji??

Kama mliingia makubaliano na waporaji nyie pia mnakuwa waporaji.

Au mmekengeuka kwa kuwa hamjakubaliana katika mambo fulani.

Mnatuacha na maswali mengi sana sisi ndugu watazamaji.
Duniani kuna wanafiki na Bibi wa Kizimkazi ni mnafiki! Sasa watazamaji wapumbavu kama wewe ni vigumu kung'amua mnabaki kushabikia kichawa!
 
Walivyoshughulikiwa awamu ya Magufuli walikimbilia wapi? Unajitoa ufahamu sio?
Halaf wakarudi na bado wamo? Aliewashighulikia yuko wapi?
Watu wale wale bado wamo, wanaendeleza yale yale.

Means mbinu zenu si mpya kwao tena, hamna maajabu. Badilisheni mbinu
 
Halaf wakarudi na bado wamo? Aliewashighulikia yuko wapi?
Watu wale wale bado wamo, wanaendeleza yale yale.

Means mbinu zenu si mpya kwao tena, hamna maajabu. Badilisheni mbinu
Samia aliwanyoshea mkono wa heri wakaanza kuukata Sasa watajua hawajui
 
Serikali iko sawa kama walitaka kuvunja amani kwa matamshi yao mabaya.
 
CCM wamegundua kuwa chaguzi zijazo zitakuwa ngumu sana kwa upande wao ndiyo wameamua kuwafunga viongozi wote wa juu wa Chadema. Huu ni woga wa kushindwa.
 
Samia aliwanyoshea mkono wa heri wakaanza kuukata Sasa watajua hawajui
Huyu bibi usidhani hapa amefanikiwa. Hapa ni sawa na mtu anayeona kwa kujinyea amefanikiwa sana kwa sababu amepunguza safari ya kwenda chooni. Kaa usubirie, ndiyo utaijutia nafsi yako na kugundua kuwa kumbe ulikosa maono.
 
Huyu bibi usidhani hapa amefanikiwa. Hapa ni sawa na mtu anayeona kwa kujinyea amefanikiwa sana kwa sababu amepunguza safari ya kwenda chooni. Kaa usubirie, ndiyo utaijutia nafsi yako na kugundua kuwa kumbe ulikosa maono.
Endelea kujifariji Mzee
 
Huyu bibi usidhani hapa amefanikiwa. Hapa ni sawa na mtu anayeona kwa kujinyea amefanikiwa sana kwa sababu amepunguza safari ya kwenda chooni. Kaa usubirie, ndiyo utaijutia nafsi yako na kugundua kuwa kumbe ulikosa maono.
Uko sahihi amejichafua zaidi hata waliokuwa hawamjui sasa ndio wameziona rangi zake. Kampeni za kumchafua zimeanzishwa rasmi na jeshi la polisi
 
Na yeye alalemo, siasa za kuigiza hizi, yaani kwa akili zao wanadhani Tanzania ni sawa na Kenya. Saikolojia ya nchi zetu ni tofauti.

Lissu alikuwa anajifanya gangwe mara azuie magari mabarabarani, atoe maneno machafu kwa viongozi.

Simba akilowana na mvua usimfananishe na paka
 
Chura Kiziwi muoga sana wa maandamano ya kumpinga kwani yatamuharibia mialiko ya kuzungukua zunguka duniani
 
Back
Top Bottom