Checheto
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 836
- 694
ndo akili zenu kulipwa kulipwa fanya yako ndo maana kila siku mnalialiaUsikute unalipwa laki mbili kwa mwezi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndo akili zenu kulipwa kulipwa fanya yako ndo maana kila siku mnalialiaUsikute unalipwa laki mbili kwa mwezi
😂😂😂walikaa kimya Lakini leo hii yupo kabak fuvu chini ya ardhi. Watu kama wale hawana athari achana nao ni kuchapa kazi. Hii dunia na hope sea uwe na pesa uwe mzuri uwe mbabe kiasi gani kila lenye mwanzo lina mwisho. RIPMAGUFULIWalivyoshughulikiwa awamu ya Magufuli walikimbilia wapi? Unajitoa ufahamu sio?
Duniani kuna wanafiki na Bibi wa Kizimkazi ni mnafiki! Sasa watazamaji wapumbavu kama wewe ni vigumu kung'amua mnabaki kushabikia kichawa!Kwahiyo mliingia makubaluano na waporaji??
Kama mliingia makubaliano na waporaji nyie pia mnakuwa waporaji.
Au mmekengeuka kwa kuwa hamjakubaliana katika mambo fulani.
Mnatuacha na maswali mengi sana sisi ndugu watazamaji.
Halaf wakarudi na bado wamo? Aliewashighulikia yuko wapi?Walivyoshughulikiwa awamu ya Magufuli walikimbilia wapi? Unajitoa ufahamu sio?
Samia aliwanyoshea mkono wa heri wakaanza kuukata Sasa watajua hawajuiHalaf wakarudi na bado wamo? Aliewashighulikia yuko wapi?
Watu wale wale bado wamo, wanaendeleza yale yale.
Means mbinu zenu si mpya kwao tena, hamna maajabu. Badilisheni mbinu
Kudai KATIBA MPYA ni kuvunja sheria?!Serikali iko sawa kama walitaka kuvunja amani kwa matamshi yao mabaya.
Ht mm, ww na huyo mbowe tutabaki mifupa huko ardhini, n suala la muda tuu🤣🤣🤣na still kaishia kubaki mifupa ardhini. Duniani hakuna wa milele haijalishi ni mbabe kiasi gani Allah atupe qaul thabeet
Sawa karma is a bitch subiri aliye likizo arudi kwenye ndege ya mizigo uendelee kufurahi siku hiyo nitaku tag tufurahi pamoja.Sawa kwani Kuna shida? Nihuzunike kwa lipi?
Huyu bibi usidhani hapa amefanikiwa. Hapa ni sawa na mtu anayeona kwa kujinyea amefanikiwa sana kwa sababu amepunguza safari ya kwenda chooni. Kaa usubirie, ndiyo utaijutia nafsi yako na kugundua kuwa kumbe ulikosa maono.Samia aliwanyoshea mkono wa heri wakaanza kuukata Sasa watajua hawajui
Endelea kujifariji MzeeHuyu bibi usidhani hapa amefanikiwa. Hapa ni sawa na mtu anayeona kwa kujinyea amefanikiwa sana kwa sababu amepunguza safari ya kwenda chooni. Kaa usubirie, ndiyo utaijutia nafsi yako na kugundua kuwa kumbe ulikosa maono.
Hakuna Cha karma kwenye Nia ovuSawa karma is a bitch subiri aliye likizo arudi kwenye ndege ya mizigo uendelee kufurahi siku hiyo nitaku tag tufurahi pamoja.
Pole 🤣🤣You mind crippled creature, you worth nothing in this globe. The only matter you are proud of is your idiocy.
Uko sahihi amejichafua zaidi hata waliokuwa hawamjui sasa ndio wameziona rangi zake. Kampeni za kumchafua zimeanzishwa rasmi na jeshi la polisiHuyu bibi usidhani hapa amefanikiwa. Hapa ni sawa na mtu anayeona kwa kujinyea amefanikiwa sana kwa sababu amepunguza safari ya kwenda chooni. Kaa usubirie, ndiyo utaijutia nafsi yako na kugundua kuwa kumbe ulikosa maono.
Tunaitaka sana Tanganyika, Sultan arudi kwaoSamia nchi imemshinda asaidiwe atuachie Tanganyika yetu arudi kwao akale urojo