Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,320
Magu aliwafyeka ndani wote wakatia adabu hawa wapiga deal wa hela ya umma eti ruzuku ya vyama wakati hata ofisi hawana!Amuulize Magufuli na ajifunze kutoka kwake, ni swala la mda tu!
Akamuulize mwenzake mwendazake kwanini alishindwa akaamua kukimbiaNgoja swanyooshe sawa sawa ndio tutajua imemshinda au hapana
We nae kama tahira, unachekacheka nin sasa?Kama sio ya kwanza Sasa malalamiko ya nini? Komaeni ππ
Alikua haendi yeye mwenye kiutendaji.Hata leo,ndivyo ilivyo.JPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Hata mbowe hana msaada kwako, yeye anapambania familia yake na ww pambania familia yakoHuyo ni marehemu hana Msaada kwako Kwa Sasa
Hakuna aliposhindwa na hata ukiniuliza mimi ubaya wa Mwendazake nitakujibu ni kukandamizwa biashara na wafanyabiashara.Akamuulize mwenzake mwendazake kwanini alishindwa akaamua kukimbia
Inawezekana kina January & co walikuwa sahihiSamia nchi imemshinda asaidiwe atuachie Tanganyika yetu arudi kwao akale urojo
Apambanie familia yake fine ila sio Kwa kuharibu shughuli za wengine au amani ya Nchi.Hata mbowe hana msaada kwako, yeye anapambania familia yake na ww pambania familia yako
We ni mjingaNgoja awanyooshe sawa sawa ndio tutajua imemshinda au hapana
Alitoroka maisha?Akamuulize mwenzake mwendazake kwanini alishindwa akaamua kukimbia
Nacheka na kufurahi sana mnaposhikwa kende zenu ππWe nae kama tahira, unachekacheka nin sasa?
koma weeSamia nchi imemshinda asaidiwe atuachie Tanganyika yetu arudi kwao akale urojo
Unajisikia raaha sheikh?Hakuna aliposhindwa na hata ukiniuliza mimi ubaya wa Mwendazake nitakujibu ni kukandamizwa biashara na wafanyabiashara.
So long as Samia hana shida na Biashara mambo yanaenda,huko kwenye siasa awabinye tuu Wala hakuna shida Hadi mrudi Kwa bwana zenu Ulaya
Mbona we kwa shemeji yako huondoki?Weee Mbowe miaka nenda rudi ndiye Mwenyekiti chadema hataki kuwaachia wenzake alafu eti tumpe urais! Sweka ndani!
Ukiona hivi yupo desperate na kiti chake anapigwa nje ndani, huku Chadema kule kina January kina Kinana kina Kikwete kwanini asichanganyikiweHakuna aliposhindwa na hata ukiniuliza mimi ubaya wa Mwendazake nitakujibu ni kukandamizwa biashara na wafanyabiashara.
So long as Samia hana shida na Biashara mambo yanaenda,huko kwenye siasa awabinye tuu Wala hakuna shida Hadi mrudi Kwa bwana zenu Ulaya
Sana , yaani wahuni walete mambo ya kuiga huko eti ya Gen Z? Washughulikiwe kama M7 alivyowafa ya wale wa Uganda Hadi wamekomaa.Unajisikia raaha sheikh?
Hakuna cha 4R's ilikuwa ni mbinu ya kupora rasilimali za Tanganyika!What happened to maridhiano??
4R's.