Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe asusiwa na wafuasi wake huko kigoma. Jionee mwenyewe

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe asusiwa na wafuasi wake huko kigoma. Jionee mwenyewe

Nilitoa ushauri huu vilazza wakatukana.

Mwanadamu ni vyema ukasoma alama za nyakati.
Wanatumia nguvu kubwa kumdunisha Lissu.

Ukweli ni kwamba Mbowe amekosa ladha ya upinzani
Lissu siyo wa kupandishwa kwenye jukwaa la hivi. Mtu mwenyewe ana shida ya mguu. Yaani hata kutengeneza jukwaa imara haiwezekani? Kuna tatizo mahali!

IMG-20230521-WA0015.jpg
 
Hapo unakuta kapiga konyagi ili apate mzuka wa kufutia aibu.
 
CHADWMA Wamefanikiwa sana Mkoani Kigoma hata ACT wanashangaa na wamechanganyikiwa Jumanne wanarudi Kigoma hawakutegemea Hii sapraizi

Kwanza Kigoma si Ngome ya ACT! kama kule Buyungu hawana Wanachama hata 30 tu labda kwa uchache wapo Kigoma Mjini
 
Lissu siyo wa kupandishwa kwenye jukwaa la hivi. Mtu mwenyewe ana shida ya mguu. Yaani hata kutengeneza jukwaa imara haiwezekani? Kuna tatizo mahali!

View attachment 2630537

Lakini si unakumbuka falsafa yao ya "Maendeleo ya Watu Kwanza". Na ndiyo maana hata makao makuu yao ya ufipa hayajaboreshwa, yako katika hali ya zamani. Hata nachelea kutilia shaka kama huwa mwenyekiti anafika pale kutekeleza majukumu yake ya kichama. Anyway, labda wanaona hayo ni kama kujilisha upepo (Mhu 1 : 17).
 
Back
Top Bottom