Lycopescon
Member
- Jul 31, 2013
- 39
- 7
Hili jitu linastahili kufa kibudu!. Kabla halijafa, lipewe maiti za wanauawa na ccm lilazimishwe kula kisha lizikwe likiwa hai. Lipumbavu sana hili guruwe pori lijiitalo wakatiwote. Lazima life hili.
sipati picha kama mwenyekiti wa ccm geita ndo angeuawa duh kikosi chote cha polis mkoa wa simiyu kingeahamia hapo na kukata wafuasi wengi sana wa upinzani maeneo hayo....
Mbona watu hao hao wa kanda ya ziwa walimuua Mabina na sisi CCM hatukunyooshea kidole kuwa ni CHADEMA ndio walihusika na mahuaji na badala yake tuliviacha vyombo vya dola vitoe taarifa? Ningeomba na nyinyi pia muwe na subira wakati vyombo vya dola vikiendelea kufanya upelelezi.
Mbona watu hao hao wa kanda ya ziwa walimuua Mabina na sisi CCM hatukunyooshea kidole kuwa ni CHADEMA ndio walihusika na mahuaji na badala yake tuliviacha vyombo vya dola vitoe taarifa? Ningeomba na nyinyi pia muwe na subira wakati vyombo vya dola vikiendelea kufanya upelelezi.
Acha kukurupuka wewe. Hivi mbowe alipouza chama na kukaribisha mamvi mbona hamkupinga kiasai hiki? Kwa nini uhusishe hili suala na chama?? Yaani nyie nyumbu akili zenu zimepinda kweli. Sisi tunasikitika lakini hatukubali huo uzushi wenu wa kusema ni vijana wa CCM. Ninyi chadema mna historia ya kutishia kuua na kuua. Mbona Dr Slaa mlimtishia kipindi kile mpaka akamuua kuondoka nchini?? Tumieni akili, acheni vyombo vya ulizni vifanye uchunguzi na vitoe taarifa, siyo kuendeshwa na mihemuko.
Acha kukurupuka wewe. Hivi mbowe alipouza chama na kukaribisha mamvi mbona hamkupinga kiasai hiki? Kwa nini uhusishe hili suala na chama?? Yaani nyie nyumbu akili zenu zimepinda kweli. Sisi tunasikitika lakini hatukubali huo uzushi wenu wa kusema ni vijana wa CCM. Ninyi chadema mna historia ya kutishia kuua na kuua. Mbona Dr Slaa mlimtishia kipindi kile mpaka akamuua kuondoka nchini?? Tumieni akili, acheni vyombo vya ulizni vifanye uchunguzi na vitoe taarifa, siyo kuendeshwa na mihemuko.
Mkuu kabla atujawahukumu green guard, inabidi tuwaulize
Mbowe nani alimuuwa chacha wangwe?
Lowassa nani alimuuwa Mtikila?
Lowassa nani alimumwagia tindikali kubenea?
Mbowe nani alitishia kumuuwa Dr Slaa wakati wa kampeni?
Hapo tunaweza kupata pa kuanzia.
Nianze kutoa pole kwa Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA,Freeman Mbowe na viongozi wengine wa chama hicho kwa kifo cha Alphonse Mawazo,aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA wa mkoa wa Geita. Pole pia nazitoa kwa familia,ndugu na jamaa wa marehemu. Namuomba Mwenyezi Mungu ailaze roho ya Kamanda Mawazo mahali pema peponi, Amina.
Nakwepa kuzungumzia namna na mahali kilipotokea na kilivyotokea kifo cha Mawazo kwakuwa hayo ni mambo ya vyombo vya dola. Najielekeza moja kwa moja kwenye hoja yangu. Nikiri mapema kuwa namfahamu Hayati Mawazo kwa kiasi kidogo sana.
Kadiri ninavyojua,Hayati Mawazo alihama vyama viwili. Alihama TLP kuhamia CCM na baadaye akahama CCM kwenda CHADEMA. Alipokuwa CCM,Hayati Mawazo alifanikiwa kugombea na kushinda Udiwani wa Kata ya Sombetini kule Arusha Mjini.
Alihamia CHADEMA akiwa bado Diwani wa Sombetini na kusababisha uchaguzi mdogo uliowapa CHADEMA ushindi. Hayati Mawazo alihama vyama akihama na fikra zake alizozisimamia hadi kifo chake.
Hayati Mawazo alitamani na kusimamia demokrasia Tanzania.Alikuwa na ushawishi kwa ujenzi wa hoja alipokuwa vyama vyote vitatu. Alitamani na kusimamia ubishani wa kujenga hoja za kuimarisha demokrasia. Ndiyo maana hakuchoka kushiriki kutangaza na kuimarisha vyama vyake. Kila chama kilichomkosa kiliathirika. Hata CHADEMA itaathirika ingawa fikra zake zitaendelezwa. Demokrasia ni watu kusikia,kujua na kupambanua. Hayati Mawazo aliyafanya hayo yote.
Pia,Hayati Mawazo alikuwa na fikra za kuleta maendeleo kwa watu na uthubutu. Katika kuyasimamia hayo,alikuwa Diwani wa Sombetini na hata kugombea Ubunge huko Busanda mwaka huu. Kama kijana,amekuwa mfano wa kuthubutu na kufanya.
RIP Hayati Alphonse Mawazo
Hivi watu humu mna dini? Mliona wapi Mungu anapangiwa kazi za kulipiza visasi!? Kama mnataka kulipiza visasi dhidi ya hao mnao wahisi wamefanya hilo tukio basi hukumu hiyo iwe mikononi mwenu na wala msimuhuhusihe Mungu na hatua mtakazo zichukua au zitakazo chukuliwa kwa waliotenda huo ukatili.
Tumuogope Mungu na jina lake lisitajwe kimzaha mzaha.
Acha kukurupuka wewe. Hivi mbowe alipouza chama na kukaribisha mamvi mbona hamkupinga kiasai hiki? Kwa nini uhusishe hili suala na chama?? Yaani nyie nyumbu akili zenu zimepinda kweli. Sisi tunasikitika lakini hatukubali huo uzushi wenu wa kusema ni vijana wa CCM. Ninyi chadema mna historia ya kutishia kuua na kuua. Mbona Dr Slaa mlimtishia kipindi kile mpaka akamuua kuondoka nchini?? Tumieni akili, acheni vyombo vya ulizni vifanye uchunguzi na vitoe taarifa, siyo kuendeshwa na mihemuko.
Damu ya mtu haipotei bure...kwa taarifa zinazosambaa wauwaji wanafahamikaNa huko makaburini tuimbe 'FREDOOM IS COMING TOMORROW'
Huna elimu ya criminology na wala hujui nini maana ya motives behind murders. Hivyo mambo usiyoyajua ni bora ukayaacha kama yalivyo.
Unashangaa CHADEMA kumuua Mawazo, wakati mtoto anamuua baba yake na mama yake kwa hamu tu ya kutaka kujua atajisikiaje baada ya wazazi wake kufa. Au kitaalamu tunasema mtu anataka ku-convert his/her fant reality. Kitaalamu tunasema 'unusual suspects'....Yani watu ambao huwezi kabisa kudhania kuwa wao ndio wauaji. Na kwa hii case ndio hao CHADEMA wenyewe. Katika jicho la wapelelezi, hata CHADEMA nao ni suspects. Tukianza ku-take sides na kufanya judgement mapema kuwa wauaji ni CCM, ita-ruin the course of investigation yote.
Kitaalamu mtu anapokufa tunasema everyone who is connected or not connected to the deceased is a suspect. Ruling no one out. Hata mimi niko Dar ni mtuhumiwa wa hicho kifo, hata wewe pia ni mtuhumiwa. Njia pekee ya kuniondoa mimi na wewe kwenye tuhuma ni baada ya upelelezi kufanyika tu. Hakuna namna nyingine.
Hivyo kwenye mambo haya ya mauaji kuna somo kubwa la kujifunza na huwezi kuamini akili ya mwanadamu hata siku moja. Baada ya kusema hayo naomba tuache vyombo vya dola vichunguze na vitoe taarifa juu ya nani kahusika na mauaji hayo.