TANZIA Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo auawa kikatili mjini Katoro

TANZIA Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo auawa kikatili mjini Katoro

Status
Not open for further replies.
Hili jitu linastahili kufa kibudu!. Kabla halijafa, lipewe maiti za wanauawa na ccm lilazimishwe kula kisha lizikwe likiwa hai. Lipumbavu sana hili guruwe pori lijiitalo wakatiwote. Lazima life hili.

Akili hizi si ndogo tuu, bali ni matopee kabisa.
 
sipati picha kama mwenyekiti wa ccm geita ndo angeuawa duh kikosi chote cha polis mkoa wa simiyu kingeahamia hapo na kukata wafuasi wengi sana wa upinzani maeneo hayo....
 
sipati picha kama mwenyekiti wa ccm geita ndo angeuawa duh kikosi chote cha polis mkoa wa simiyu kingeahamia hapo na kukata wafuasi wengi sana wa upinzani maeneo hayo....

Mbona watu hao hao wa kanda ya ziwa walimuua Mabina na sisi CCM hatukunyooshea kidole kuwa ni CHADEMA ndio walihusika na mahuaji na badala yake tuliviacha vyombo vya dola vitoe taarifa? Ningeomba na nyinyi pia muwe na subira wakati vyombo vya dola vikiendelea kufanya upelelezi.
 
Mbona watu hao hao wa kanda ya ziwa walimuua Mabina na sisi CCM hatukunyooshea kidole kuwa ni CHADEMA ndio walihusika na mahuaji na badala yake tuliviacha vyombo vya dola vitoe taarifa? Ningeomba na nyinyi pia muwe na subira wakati vyombo vya dola vikiendelea kufanya upelelezi.

jifunze kua mkweli ata cku moja itakusaidia kumbuka sababu ya kifo cha mabina ilikua ni mgogoro wa aridhi na aliuwawa na wananchi wala halikua na chembe ya siasa
 
Mbona watu hao hao wa kanda ya ziwa walimuua Mabina na sisi CCM hatukunyooshea kidole kuwa ni CHADEMA ndio walihusika na mahuaji na badala yake tuliviacha vyombo vya dola vitoe taarifa? Ningeomba na nyinyi pia muwe na subira wakati vyombo vya dola vikiendelea kufanya upelelezi.

Kuna watu wamezoea kunynyasa wapinzani na kuwaua ...juzi tu kijana mmoja kule Tarime aliuawa leo mwenyekiti wa chadema geita.....Kifo hiki cha Mawazo ni aibu kwa Tanzania wahusika wakamatwe ...mara moja.
 
Acha kukurupuka wewe. Hivi mbowe alipouza chama na kukaribisha mamvi mbona hamkupinga kiasai hiki? Kwa nini uhusishe hili suala na chama?? Yaani nyie nyumbu akili zenu zimepinda kweli. Sisi tunasikitika lakini hatukubali huo uzushi wenu wa kusema ni vijana wa CCM. Ninyi chadema mna historia ya kutishia kuua na kuua. Mbona Dr Slaa mlimtishia kipindi kile mpaka akamuua kuondoka nchini?? Tumieni akili, acheni vyombo vya ulizni vifanye uchunguzi na vitoe taarifa, siyo kuendeshwa na mihemuko.

Mpumba. Vu mkubwa wewe people are grieving wewe unaleta uhayawani wako hapa, waache watu wagrieve machungu yawatoke mioyoni mwao wewe inakuhusu nini? Lofa mkubwa wewe
 
Acha kukurupuka wewe. Hivi mbowe alipouza chama na kukaribisha mamvi mbona hamkupinga kiasai hiki? Kwa nini uhusishe hili suala na chama?? Yaani nyie nyumbu akili zenu zimepinda kweli. Sisi tunasikitika lakini hatukubali huo uzushi wenu wa kusema ni vijana wa CCM. Ninyi chadema mna historia ya kutishia kuua na kuua. Mbona Dr Slaa mlimtishia kipindi kile mpaka akamuua kuondoka nchini?? Tumieni akili, acheni vyombo vya ulizni vifanye uchunguzi na vitoe taarifa, siyo kuendeshwa na mihemuko.

------------------------
Nadhani kichwani hapo lazima utakuwa na Ma...v....i na si ubongo....Kayumaaaa mkumbwa!
 
Mkuu kabla atujawahukumu green guard, inabidi tuwaulize

Mbowe nani alimuuwa chacha wangwe?

Lowassa nani alimuuwa Mtikila?

Lowassa nani alimumwagia tindikali kubenea?

Mbowe nani alitishia kumuuwa Dr Slaa wakati wa kampeni?

Hapo tunaweza kupata pa kuanzia.

Hayo maswali yko yote kawaulize Lumumba na Jeshi la polisi
 
Kifo cha huyu mpambanaji kilikuwa cha kikatili sana,kimeumiza wengi hasa kwa kutambua harakati za Marehemu Alphonce toka akiwa Diwani Sombetini Arusha hadi Mwenyekiti Geita na mgombea jimbo la Busanda.

Mengi yamesemwa.lakini kifo kimemkuta akiwa kazini kwenye kampeni za by elections

Kamanda Mawazo ameacha familia inayomtegemea...SO SAD.Tunamtazamaje mkewe na watoto baada ya maziko?

Suala hili si la kulifumbia macho wala kupepesa..kama alipigiwa simu je walkompigia wamekamatwa?
Je kama alitekwa na watu alikuwa peke yake? Hakuna waliowaona watekaji ama gari yao?

Natoa WITO kwa Chama chake kuandaa mazishi makubwa kitaifa kuonyesha kuguswa na mazingira ya kifi chake na kuthamini mchango wake katika chama, pia kuonyesha umma kuwa huko tuendako siko

Uandaliwe utaratibu wa kumfungulia mjane shughuli endelevu ya kuikimu familia

Ukifuatilia post za marehemu siku za mwisho kwenye mitandao ya kijamii unaweza kuona kuna jambo alishalihisi.

Tuungane pamoja pasi kujali itikadi za kisiasa tumzike mwenzetu huyu na kukemea matendo haya kwenye jamii yetu.

Nianze kutoa pole kwa Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA,Freeman Mbowe na viongozi wengine wa chama hicho kwa kifo cha Alphonse Mawazo,aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA wa mkoa wa Geita. Pole pia nazitoa kwa familia,ndugu na jamaa wa marehemu. Namuomba Mwenyezi Mungu ailaze roho ya Kamanda Mawazo mahali pema peponi, Amina.

Nakwepa kuzungumzia namna na mahali kilipotokea na kilivyotokea kifo cha Mawazo kwakuwa hayo ni mambo ya vyombo vya dola. Najielekeza moja kwa moja kwenye hoja yangu. Nikiri mapema kuwa namfahamu Hayati Mawazo kwa kiasi kidogo sana.

Kadiri ninavyojua,Hayati Mawazo alihama vyama viwili. Alihama TLP kuhamia CCM na baadaye akahama CCM kwenda CHADEMA. Alipokuwa CCM,Hayati Mawazo alifanikiwa kugombea na kushinda Udiwani wa Kata ya Sombetini kule Arusha Mjini.

Alihamia CHADEMA akiwa bado Diwani wa Sombetini na kusababisha uchaguzi mdogo uliowapa CHADEMA ushindi. Hayati Mawazo alihama vyama akihama na fikra zake alizozisimamia hadi kifo chake.

Hayati Mawazo alitamani na kusimamia demokrasia Tanzania.Alikuwa na ushawishi kwa ujenzi wa hoja alipokuwa vyama vyote vitatu. Alitamani na kusimamia ubishani wa kujenga hoja za kuimarisha demokrasia. Ndiyo maana hakuchoka kushiriki kutangaza na kuimarisha vyama vyake. Kila chama kilichomkosa kiliathirika. Hata CHADEMA itaathirika ingawa fikra zake zitaendelezwa. Demokrasia ni watu kusikia,kujua na kupambanua. Hayati Mawazo aliyafanya hayo yote.

Pia,Hayati Mawazo alikuwa na fikra za kuleta maendeleo kwa watu na uthubutu. Katika kuyasimamia hayo,alikuwa Diwani wa Sombetini na hata kugombea Ubunge huko Busanda mwaka huu. Kama kijana,amekuwa mfano wa kuthubutu na kufanya.

RIP Hayati Alphonse Mawazo
 
Mudawote akili yako kama jina lako mda wore haifikiri vizuri sasa mamvi kaingiaje hapa. ...wewe fa....kweli
 
Siasa inatupeleka pabaya sana, hata kwenye kifo? RIP Mawazo Alphonce!
 
Hivi watu humu mna dini? Mliona wapi Mungu anapangiwa kazi za kulipiza visasi!? Kama mnataka kulipiza visasi dhidi ya hao mnao wahisi wamefanya hilo tukio basi hukumu hiyo iwe mikononi mwenu na wala msimuhuhusihe Mungu na hatua mtakazo zichukua au zitakazo chukuliwa kwa waliotenda huo ukatili.

Tumuogope Mungu na jina lake lisitajwe kimzaha mzaha.

Ahsante mkuu!
 
Acha kukurupuka wewe. Hivi mbowe alipouza chama na kukaribisha mamvi mbona hamkupinga kiasai hiki? Kwa nini uhusishe hili suala na chama?? Yaani nyie nyumbu akili zenu zimepinda kweli. Sisi tunasikitika lakini hatukubali huo uzushi wenu wa kusema ni vijana wa CCM. Ninyi chadema mna historia ya kutishia kuua na kuua. Mbona Dr Slaa mlimtishia kipindi kile mpaka akamuua kuondoka nchini?? Tumieni akili, acheni vyombo vya ulizni vifanye uchunguzi na vitoe taarifa, siyo kuendeshwa na mihemuko.

Shikamoo mkuu... Mungu akupe maisha marefu....hakaka hautayaonja mauti.... Mungu akujalie ujitambue na utubu makosa yako.
 
Na huko makaburini tuimbe 'FREDOOM IS COMING TOMORROW'
 
Makamanda tusiwe wasemaji sana tuwe wa vitendo si tunafahamiana Lila mwenyekejiri tunamfahamu
 
Mudawote; Mawazo na Kishimbe wa Kishimbe. Mkae mkielewa kwamba siku zote aliki ndogo haiwezi kuitawala au kuiongoza akili kubwa. Mawazo ya kibajajibaji au Kilusindelusinde ni ya kiubabaishaji acheni ushabiki usiokuwa na tija kwa Taifa Letu kuelekea 2020. Ule uchaguzi wa mwanzo wa Busanda uliomwingiza huyu Mbunge Mteule Bungeni CCM waliiba kura Dereva Taxi alisafirisha hizo kura anapaki pale Mwanza Hotel. Police walipiga mabomu ya machozi ili kuwatawanya wafuasi wa Chadema na kuingiza kura za wizi na kutoa kura halali za Chadema. Hivyo hivyo Igunda Green Guard ya CCM iliua tena kijana Musa Tesha na mwingine toka Kinondoni Dar. Dereva wa Ofisi ya Waziri Mkuu alibeba kura za wizi style ile ile ya Busanda. Arumeru wakati Nasari anagombea mara ya kwanza alichinjwa mfuasi wa Chadema kwa style ya Alphoce Mawazo. Kalenga - Rose Kamilki aliteswa mbele ya Police na Mwenyekiti wa CCM. Mwigulu Nchemba mwasisi wa Green Guards imetosha! Kwa Kifupi "Jeshi la Police na Usalama wa Taifa badala ya kuwasaka kwa gharamakubwa watumiaji wa mitandao wenye kuiponda Serikali hii mbovu , Tumieni uwezo wenu huo kuwakamata wahusika wa mauaji haya na kuwafikisha kwenye mikondo ya Sheria hata kama watu walihusika kisiasa wanafahamika kuanzia Mbunge Mteule na sheria ifuate mkondo wake". Tunataka Tume Huru ya Uchaguzi na Katiba Mpya. Full Stop!
 
Huna elimu ya criminology na wala hujui nini maana ya motives behind murders. Hivyo mambo usiyoyajua ni bora ukayaacha kama yalivyo.

Unashangaa CHADEMA kumuua Mawazo, wakati mtoto anamuua baba yake na mama yake kwa hamu tu ya kutaka kujua atajisikiaje baada ya wazazi wake kufa. Au kitaalamu tunasema mtu anataka ku-convert his/her fant reality. Kitaalamu tunasema 'unusual suspects'....Yani watu ambao huwezi kabisa kudhania kuwa wao ndio wauaji. Na kwa hii case ndio hao CHADEMA wenyewe. Katika jicho la wapelelezi, hata CHADEMA nao ni suspects. Tukianza ku-take sides na kufanya judgement mapema kuwa wauaji ni CCM, ita-ruin the course of investigation yote.

Kitaalamu mtu anapokufa tunasema everyone who is connected or not connected to the deceased is a suspect. Ruling no one out. Hata mimi niko Dar ni mtuhumiwa wa hicho kifo, hata wewe pia ni mtuhumiwa. Njia pekee ya kuniondoa mimi na wewe kwenye tuhuma ni baada ya upelelezi kufanyika tu. Hakuna namna nyingine.

Hivyo kwenye mambo haya ya mauaji kuna somo kubwa la kujifunza na huwezi kuamini akili ya mwanadamu hata siku moja. Baada ya kusema hayo naomba tuache vyombo vya dola vichunguze na vitoe taarifa juu ya nani kahusika na mauaji hayo.

Keybord detective umeandika mengi lakini hujasema lolote Ni us...zi mtupu
Mambo ya kitchen party yaashie kwenye kusasambua
Usidhani watu wore Ni wajinga kama wewe
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom