TANZIA Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo auawa kikatili mjini Katoro

TANZIA Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo auawa kikatili mjini Katoro

Status
Not open for further replies.
Alikuwa kwenye kampeni za kumnadi mgombea udiwani katoro, ndipo walipotokea vijana wa ccm wakawazidi nguvu red bregedia na kumpiga kamanda huyu mawazo
Ni kuzidiana kumbe. Ila mi nadhani siyo green guard. Huyu jamaa atakuwa alikura hela ya mamvi hakuifikisha kunako, maana fisadi aligawa pesa wapewe wapiga kura, sasa yeye kama aliila ndiyo basi. Wote mliochukua hela ya fisadi na hamkufikisha mjiandae. Mimi siamini kama vijana wa ccm wanahusika
 
Taarifa sahihi ni kuwa walikuwa kwenye kikao ndo wakavamiwa na maccm na kuanza kumshambulia kwa mapanga na marungu hadi kumuua
 
Hili Tukio Lita Shake Sana Amani Ya Geita,natabiri Mauaji Ya Kisasi Ni Cdm Vs Ccm
 
RIP KAMANDA!! This is sad!!! Huu ni mcba matusi ya nguon ya nn jaman..toa hoja,maoni au uliza swali!! Na suala la picha plizzz hii ishu sensitive c kila mtu hasa familia itapenda kuona picha ya aina hyo kweny media,,,,huyo ni mtoto wa mtu,kaka,mume na baba wa familia tulifikirie hlo pia,,,picha ambazo huwa zinapigwa ni zile za kuagwa akiwa kweny jeneza that one c nzuri..tuweke picha za uhai wake ili na wengine tumfaham vizur kuweka picha za mtu on his death bed lookin like that sio vizuri!!!!
 
**** la mama ako...**** la mama ako..**** la mama ako ..**** mbwa pamoja na viongoZ wote wa ccm...**** mlaaniwe wote viongozi wa ccm

Ulichokiandika kinasadifu uwezo wako Wa kufikiri sheria ikikuamulia ni sawa na upo kwenye sanduku tu jipime.
 
Hao green gadi wametumwa na nani jamani? Au ndi siasa assassination zimeanza bongo?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom