Nyalutubwi
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 573
- 172
Kuna kila dalili za sisa za CCM kuleta shida ndani ya nchi.Wana sasa za kugombnisha na kutenganisha Watanzania halafu kwenye majukwaa wanahubiri amani.Tunaona ambavyo wamehubiri kuhusu kuwatenga wa Kaskazini na sasa wamejenga kanda ya Ziwa.