Tufanye siasa za majukwaani. Tusifike mahali pa kupoteza maisha ya vijana ambao ni hazina ya Taifa hili kama marehemu Alfonce Mawazo. Huyu ndiye aliyekuwa nguzo ya chadema kanda ya ziwa.
Uccm na uchadema uwe majukwaani tu. Usiende mpk kwenye maisha binafsi ya watu.
Kamanda Mbowe ametulia, sina shaka anasubiri tamko la kalipio toka kwa Makomeo. Endapo Makomeo hatosema chochote, chondechonde kamanda Mbowe toa kauli mujarabu itakayotoa dira na mustakabali wa makamanda wako wote walioko pande zote za nchi hii. Inatia shaka, inatia woga lakini pia inatuamsha.
Kwa mwenye upeo amenielewa. R.I.P kamanda Mawazo. Your name shall be young forever.
Uccm na uchadema uwe majukwaani tu. Usiende mpk kwenye maisha binafsi ya watu.
Kamanda Mbowe ametulia, sina shaka anasubiri tamko la kalipio toka kwa Makomeo. Endapo Makomeo hatosema chochote, chondechonde kamanda Mbowe toa kauli mujarabu itakayotoa dira na mustakabali wa makamanda wako wote walioko pande zote za nchi hii. Inatia shaka, inatia woga lakini pia inatuamsha.
Kwa mwenye upeo amenielewa. R.I.P kamanda Mawazo. Your name shall be young forever.