TANZIA Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo auawa kikatili mjini Katoro

TANZIA Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo auawa kikatili mjini Katoro

Status
Not open for further replies.
naam,
miaka imepita sasa , mengi yameshatokea na yanatokea. binadamu tumeumbwa na kusahau. hata leo jioni wapo watakao sahau msiba wa watoto walipungana kama vile hapajatokea kitu.
pamoja na siku kupita sitausahau usiku ule nikiwa nakula mara naona mwili wa mtu aliyekatwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili wake. inatoka sauti kwamba yule hakuwa jambazi wala kibaka bali ni aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo huko kanda ya ziwa anaitwa kamanda Mawazo. maswali ninayojiuliza mpaka leo. ni
1).nani alimua kamanda mawazo? kwanini hajakamatwa mpaka leo?
2) kamanda mawazo alikuwa mtu mbaya hata kustahili kifo cha mateso namna ile? aliyemuua alipata faida gani?
3) je ni sawa kuita nchi kisiwa cha amani wakati watu wanauwawa kwa kukatwa mapanga kama walivyouwawa kina mawazo na akwilini?
Nani alimua kamanda mawazo kwanini hajakamatwa mpaka leo?
UHAI/ HAKI YA KUISHI NDIYO HAKI MAMA. KUMUA MTU KWA SABABU YEYOTE ILE NI MAKOSA MAKUBWA MBELE YA MUNGU. NI ADHABU YA JUU KABISA.
pumzika kwa amani kamanda mawazo.
ipo siku wauji.na watesi wako watajulikana tu.
Haihitaji sayansi au forensic investigation kugundua aliyemuua alphonce mawazo ni LORENSIA BUKWIMBA yote ni sababu mawazo alishakuwa ameshinda ubunge ila walimchakachua hivyo akaelekea mahakamani na dalili zote zilionyesha yule mama angeangukia pua...... All in all duniani hakuna haki, haki itapatikana mbinguni tu ila msiba wa mawazo uliniuma sana maana ndio alikua msingi na nembo ya wapigania maslahi wananchi hasa kwenye jamii za usukumani

RIP mawazo
 
Kabla MTU hajatenda dhambi kuna sauti ya upole inatoka kwa mbali ikikuonya usifanye hiyo kitu.
Sasa nawaza MTU kabla hajaua huyo MTU hiyo sauti kweli hakuisikia
Biblia iko wazi Mathew chp 19 kama sijakosea ameelezea hili kitu, kweli hiyo sauti kabla ya kutenda hukuisikia?

Sio kuua tu jiulize kabla hujamfanyia ubaya mwenzako hiyo sauti hukuisikia? Je hukuwaza kama na wewe ukitendewa??.

Maccm kwenye kusaka madaraka hayajali sauti wala nini yenyewe ni mbele kwa mbele hata kama ni kwa kumwaga damu za watu
 
naam,
miaka imepita sasa , mengi yameshatokea na yanatokea. binadamu tumeumbwa na kusahau. hata leo jioni wapo watakao sahau msiba wa watoto walipungana kama vile hapajatokea kitu.
pamoja na siku kupita sitausahau usiku ule nikiwa nakula mara naona mwili wa mtu aliyekatwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili wake. inatoka sauti kwamba yule hakuwa jambazi wala kibaka bali ni aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo huko kanda ya ziwa anaitwa kamanda Mawazo. maswali ninayojiuliza mpaka leo. ni
1).nani alimua kamanda mawazo? kwanini hajakamatwa mpaka leo?
2) kamanda mawazo alikuwa mtu mbaya hata kustahili kifo cha mateso namna ile? aliyemuua alipata faida gani?
3) je ni sawa kuita nchi kisiwa cha amani wakati watu wanauwawa kwa kukatwa mapanga kama walivyouwawa kina mawazo na akwilini?
Nani alimua kamanda mawazo kwanini hajakamatwa mpaka leo?
UHAI/ HAKI YA KUISHI NDIYO HAKI MAMA. KUMUA MTU KWA SABABU YEYOTE ILE NI MAKOSA MAKUBWA MBELE YA MUNGU. NI ADHABU YA JUU KABISA.
pumzika kwa amani kamanda mawazo.
ipo siku wauji.na watesi wako watajulikana tu.
Umegonga cha arusha mapema sana! Kesi si ipo huko alikofia, ulienda Kituoni kuuliza? Au ndio umekurupuka toka chooni na wazo hilo baada ya msuba!!
 
Haihitaji sayansi au forensic investigation kugundua aliyemuua alphonce mawazo ni LORENSIA BUKWIMBA yote ni sababu mawazo alishakuwa ameshinda ubunge ila walimchakachua hivyo akaelekea mahakamani na dalili zote zilionyesha yule mama angeangukia pua...... All in all duniani hakuna haki, haki itapatikana mbinguni tu ila msiba wa mawazo uliniuma sana maana ndio alikua msingi na nembo ya wapigania maslahi wananchi hasa kwenye jamii za usukumani

RIP mawazo
Nilikuwa sijapata kumuona Mawazo kabla ila nilikuwa namfatilia misimamo yake na style yake ya kujieleza hadi wiki moja kabla ya kifo chake ndio nilikutana naye mjini Geita.
Nilikuwa katika shughuli zangu na ilikuwa ndio mara ya kwanza nimelala Geita. Nikiwa na wenzangu katika hotel moja mchana tunapata chakula na baada ya hapo moja mbili alitokea Mawazo na nikamtambua kuwa ndio yeye na kumkaribisha mezani kwa maongezi ya hapa na pale. Hakika jamaa alikuwa mcheshi na mwenye hoja nzito zisizo na hisia ya chuki kabisa na kila apitaye pale akawa anamsalimia.
Baada ya kuagana na sisi kuondoka nilikuja kusikia na kuona picha akiwa kauwawa, ile picha haitaki kufutika katika kumbukumbu zangu. Ni ukatili usiosemeka kufanyiwa mwanasiasa katika nchi hii.
Mimi naamini kuwa pamoja na walio fanya dola kuwafahamu na kuwalinda, iko siku haya mambo yatakuja kuwa wazi na watenda wa tukio hilo watalipa uovu wao sio huko mbele za Mungu tuu bali hapa mbele yetu sote tulio umizwa sana na tukio lile ikiwemo familia yake na hasa yule mwanae mpendwa.
 
naam,
miaka imepita sasa , mengi yameshatokea na yanatokea. binadamu tumeumbwa na kusahau. hata leo jioni wapo watakao sahau msiba wa watoto walipungana kama vile hapajatokea kitu.
pamoja na siku kupita sitausahau usiku ule nikiwa nakula mara naona mwili wa mtu aliyekatwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili wake. inatoka sauti kwamba yule hakuwa jambazi wala kibaka bali ni aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo huko kanda ya ziwa anaitwa kamanda Mawazo. maswali ninayojiuliza mpaka leo. ni
1).nani alimua kamanda mawazo? kwanini hajakamatwa mpaka leo?
2) kamanda mawazo alikuwa mtu mbaya hata kustahili kifo cha mateso namna ile? aliyemuua alipata faida gani?
3) je ni sawa kuita nchi kisiwa cha amani wakati watu wanauwawa kwa kukatwa mapanga kama walivyouwawa kina mawazo na akwilini?
Nani alimua kamanda mawazo kwanini hajakamatwa mpaka leo?
UHAI/ HAKI YA KUISHI NDIYO HAKI MAMA. KUMUA MTU KWA SABABU YEYOTE ILE NI MAKOSA MAKUBWA MBELE YA MUNGU. NI ADHABU YA JUU KABISA.
pumzika kwa amani kamanda mawazo.
ipo siku wauji.na watesi wako watajulikana tu.
Uzi huu nilikuwa nauhitaji sana na nina mengi sana kuhusu marehemu Mawazo,sitaweza kuyaweka hapa kwa sababu za kiusalama (familia yangu iliyoko Tz) ukizigatia kipindi cha uchaguzi baadhi ya wana jamiiforum tulipeana namba za simu na akaunti za Facebook. Mie waliohusika huwa kila nikimkumbuka Mawazo nawashitakia tu kwa mungu
 
Uzi huu nilikuwa nauhitaji sana na nina mengi sana kuhusu marehemu Mawazo,sitaweza kuyaweka hapa kwa sababu za kiusalama (familia yangu iliyoko Tz) ukizigatia kipindi cha uchaguzi baadhi ya wana jamiiforum tulipeana namba za simu na akaunti za Facebook. Mie waliohusika huwa kila nikimkumbuka Mawazo nawashitakia tu kwa mungu
Fungua ID mpya mkuu uje utiririke boss
 
Nilikuwa sijapata kumuona Mawazo kabla ila nilikuwa namfatilia misimamo yake na style yake ya kujieleza hadi wiki moja kabla ya kifo chake ndio nilikutana naye mjini Geita.
Nilikuwa katika shughuli zangu na ilikuwa ndio mara ya kwanza nimelala Geita. Nikiwa na wenzangu katika hotel moja mchana tunapata chakula na baada ya hapo moja mbili alitokea Mawazo na nikamtambua kuwa ndio yeye na kumkaribisha mezani kwa maongezi ya hapa na pale. Hakika jamaa alikuwa mcheshi na mwenye hoja nzito zisizo na hisia ya chuki kabisa na kila apitaye pale akawa anamsalimia.
Baada ya kuagana na sisi kuondoka nilikuja kusikia na kuona picha akiwa kauwawa, ile picha haitaki kufutika katika kumbukumbu zangu. Ni ukatili usiosemeka kufanyiwa mwanasiasa katika nchi hii.
Mimi naamini kuwa pamoja na walio fanya dola kuwafahamu na kuwalinda, iko siku haya mambo yatakuja kuwa wazi na watenda wa tukio hilo watalipa uovu wao sio huko mbele za Mungu tuu bali hapa mbele yetu sote tulio umizwa sana na tukio lile ikiwemo familia yake na hasa yule mwanae mpendwa.
inaumiza sana
 
mbona wanajulikana mkuu?Nani wa kuwagusa? wanalindwa na shetani la magogoni lenye pembe 28.
Duu
e6cabd6a72963fdc281d367f3da4ea62.jpg
View attachment 795510
 
Nilikuwa sijapata kumuona Mawazo kabla ila nilikuwa namfatilia misimamo yake na style yake ya kujieleza hadi wiki moja kabla ya kifo chake ndio nilikutana naye mjini Geita.
Nilikuwa katika shughuli zangu na ilikuwa ndio mara ya kwanza nimelala Geita. Nikiwa na wenzangu katika hotel moja mchana tunapata chakula na baada ya hapo moja mbili alitokea Mawazo na nikamtambua kuwa ndio yeye na kumkaribisha mezani kwa maongezi ya hapa na pale. Hakika jamaa alikuwa mcheshi na mwenye hoja nzito zisizo na hisia ya chuki kabisa na kila apitaye pale akawa anamsalimia.
Baada ya kuagana na sisi kuondoka nilikuja kusikia na kuona picha akiwa kauwawa, ile picha haitaki kufutika katika kumbukumbu zangu. Ni ukatili usiosemeka kufanyiwa mwanasiasa katika nchi hii.
Mimi naamini kuwa pamoja na walio fanya dola kuwafahamu na kuwalinda, iko siku haya mambo yatakuja kuwa wazi na watenda wa tukio hilo watalipa uovu wao sio huko mbele za Mungu tuu bali hapa mbele yetu sote tulio umizwa sana na tukio lile ikiwemo familia yake na hasa yule mwanae mpendwa.
Damu ya Kamanda Alphonce Mawazo haitapotea bure
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom