Linus w slaa
New Member
- Jan 29, 2025
- 4
- 7
Tundu Lisu, Kibatala, Madeleka n.k wafike kumsaidia huyu mzeeMwenyekiti wa CHADEMA Taifa Mheshimiwa Wakili TUNDU LISSU, leo tarehe 30 Januari 2025 ataungana na WAPENDA HAKI WENGI katika KUPOKEA Uamuzi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar Es Salaam kwenye KESI ya DKT. WILBROD SLAA dhidi ya JAMHURI.
Kwanini wewe na mumeo msimsaidie Mbowe kama unaona Lisu kamtupa Mbowe?Dr slaa huyu aliesema lissu kajipiga risasi? Na kutunga kitabu kwamba Chadema chama cha kigaidi?Yaani leo slaa ni muhimu anaheshimiwa na lissu kuliko mbowe alievurumishiwa matusi? Kweli lissu anafata maelekezo ya maria
Wewe ni Mkristo unaijua vema kanuni ya msamaha 🤣Dr slaa huyu aliesema lissu kajipiga risasi? Na kutunga kitabu kwamba Chadema chama cha kigaidi?Yaani leo slaa ni muhimu anaheshimiwa na lissu kuliko mbowe alievurumishiwa matusi? Kweli lissu anafata maelekezo ya maria
Chadema wanasahau mapema sana,huyu mzee aliwakashifu sana sana kipindi cha meko, leo hii wamesahau na kuanza kumpambania!!Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Mheshimiwa Wakili TUNDU LISSU, leo tarehe 30 Januari 2025 ataungana na WAPENDA HAKI WENGI katika KUPOKEA Uamuzi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar Es Salaam kwenye KESI ya DKT. WILBROD SLAA dhidi ya JAMHURI.
Wapo? Itasaidia nini?TLS wafike kwa wingi haswa
Wanasema wanataka wamkomoe mboweChadema wanasahau mapema sana,huyu mzee aliwakashifu sana sana kipindi cha meko, leo hii wamesahau na kuanza kumpambania!!
Hakuna adui wala rafiki wa kudumu siasani.Chadema wanasahau mapema sana,huyu mzee aliwakashifu sana sana kipindi cha meko, leo hii wamesahau na kuanza kumpambania!!
Wabongo mmezoea kuishi na visasi mpaka mnaenda mchanga mwingi ukiuliza vitu vyenyewe ni siasa tu..Chadema wanasahau mapema sana,huyu mzee aliwakashifu sana sana kipindi cha meko, leo hii wamesahau na kuanza kumpambania!!
Huwezi kuelewa wewe sababu huna akiliKwa
Wapo? Itasaidia nini?
Bora visasi kuliko UNAFIKIWabongo mmezoea kuishi na visasi mpaka mnaenda mchanga mwingi ukiuliza vitu vyenyewe ni siasa tu..
Wewe hujui siasa kwenye siasa hakuna adui wala rafiki wa kudumu, chama kinataka wananchama na siyo maaduiChadema wanasahau mapema sana,huyu mzee aliwakashifu sana sana kipindi cha meko, leo hii wamesahau na kuanza kumpambania!!
Akili ni nywele kila mtu anazakeHuwezi kuelewa wewe sababu huna akili
Sasa kwanini akina mdee hamuwataki? Kwa sababu ya Mbowe?Wewe hujui siasa kwenye siasa hakuna adui wala rafiki wa kudumu, chama kinataka wananchama na siyo maadui
Ni hawa wajinga wasiojua siasa, chama cha siasa kumpoteza mwanachama mmoja ni gharama kubwa na kinahitaji watu, Dr Slaa bado ni mtu mhimu sn popote pale hata kama alikosea naye siyo malaikaWabongo mmezoea kuishi na visasi mpaka mnaenda mchanga mwingi ukiuliza vitu vyenyewe ni siasa tu..
Kaa kwa passwordAkili ni nywele kila mtu anazake
Anakula matunda ya kufuru zakeDr slaa huyu aliesema lissu kajipiga risasi?
Mmeanza matembezi yenu ya hiyari tena?Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Mheshimiwa Wakili TUNDU LISSU, leo tarehe 30 Januari 2025 ataungana na WAPENDA HAKI WENGI katika KUPOKEA Uamuzi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar Es Salaam kwenye KESI ya DKT. WILBROD SLAA dhidi ya JAMHURI.