Pre GE2025 Mwenyekiti wa Chadema Wakili T Lissu Leo atasindikizana na wependa haki wengine kwenye kesi ya Dr Slaa

Pre GE2025 Mwenyekiti wa Chadema Wakili T Lissu Leo atasindikizana na wependa haki wengine kwenye kesi ya Dr Slaa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Dr slaa huyu aliesema lissu kajipiga risasi? Na kutunga kitabu kwamba Chadema chama cha kigaidi?Yaani leo slaa ni muhimu anaheshimiwa na lissu kuliko mbowe alievurumishiwa matusi? Kweli lissu anafata maelekezo ya maria
Dr hajawahi sema Tundu alijipiga risasi
Dr Slaa alifafanua vizuri kabisa mambo yaliyofanyika ndani ya CHADEMA behind his back alipokuwa katibu mkuu. Hivyo alitutahadharisha tu kuwa makini ku-run into conclusion.
Mbona hata Lema juzi katuthibitishia mipango ovu ya Mbowe kuhusu kuwa-exit Tundu na marafiki zake ndani ya CHADEMA? na ikawa sababu ya Tundu Lisu kuamua kuchukua fomu ya kugombea uwenyekiti?
 
Chadema wanasahau mapema sana,huyu mzee aliwakashifu sana sana kipindi cha meko, leo hii wamesahau na kuanza kumpambania!!
Kwenye siasa MANENO yanavumilika. Ndiyo maana unaona hata CCM wapo watu wengi ambao wamewahi kupita upinzani na walikuwa na maneno makali ya kuumiza na kukera.
 
Dr hajawahi sema Tundu alijipiga risasi
Dr Slaa alifafanua vizuri kabisa mambo yaliyofanyika ndani ya CHADEMA behind his back alipokuwa katibu mkuu. Hivyo alitutahadharisha tu kuwa makini ku-run into conclusion.
Mbona hata Lema juzi katuthibitishia mipango ovu ya Mbowe kuhusu kuwa-exit Tundu na marafiki zake ndani ya CHADEMA? na ikawa sababu ya Tundu Lisu kuamua kuchukua fomu ya kugombea uwenyekiti?
Unamuamini Lema? Lema katika kitabu chake kaandika mbowe mwizi, tapeli na gaidi. Lengo lilikuwa kumchafua ili yeye na kundi lake Lopate madaraka ya chama. Juzi umemsikia anajikosha kwa Mbowe
 
Kwanini wewe na mumeo msimsaidie Mbowe kama unaona Lisu kamtupa Mbowe?
Huyu dada malaria sugu kabla ya uchaguzi wa Chadema alikuwa anatoa mada nyingi za dini na mawaidha ya kiislamu lakini siku hizi mada zake ni za kumnanga Lisuu tu amesahau kabisa Uislamu wake kazi ni moja tu kumshambulia Lissu sijui kama Uislamu ndiyo unamulekeza kuendekeza chuki kiasi hiki.
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Mheshimiwa Wakili TUNDU LISSU, leo tarehe 30 Januari 2025 ataungana na WAPENDA HAKI WENGI katika KUPOKEA Uamuzi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar Es Salaam kwenye KESI ya DKT. WILBROD SLAA dhidi ya JAMHURI.
slaa ni msaliti, alikimbia katikati ya mapambano akaenda kwa magfuli...huyo Sweden leo mnamkumbatia msaliti

mmesha sahau tayari....
Ngoja wavunjwe miguu
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Mheshimiwa Wakili TUNDU LISSU, leo tarehe 30 Januari 2025 ataungana na WAPENDA HAKI WENGI katika KUPOKEA Uamuzi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar Es Salaam kwenye KESI ya DKT. WILBROD SLAA dhidi ya JAMHURI.
Lissu na wenzie wanakwenda kama Wanasheria na siyo kama CHADEMA, kumbuka pia kwamba TLS na Wanasheria wengine si mali ya CHADEMA bali ni mali ya Watanzania wote
 
Huyu dada malaria sugu kabla ya uchaguzi wa Chadema alikuwa anatoa mada nyingi za dini na mawaidha ya kiislamu lakini siku hizi mada zake ni za kumnanga Lisuu tu amesahau kabisa Uislamu wake kazi ni moja tu kumshambulia Lissu sijui kama Uislamu ndiyo unamulekeza kuendekeza chuki kiasi hiki.
Namfahamu hana dini yoyote ni tapeli tu kama UWT wenzake akina Lucas Mwashambwa
 
Unamuamini Lema? Lema katika kitabu chake kaandika mbowe mwizi, tapeli na gaidi. Lengo lilikuwa kumchafua ili yeye na kundi lake Lopate madaraka ya chama. Juzi umemsikia anajikosha kwa Mbowe
Kwenye suala la Utapeli wala sihitaji Lema aniaminishe.
 
Dr slaa huyu aliesema lissu kajipiga risasi? Na kutunga kitabu kwamba Chadema chama cha kigaidi?Yaani leo slaa ni muhimu anaheshimiwa na lissu kuliko mbowe alievurumishiwa matusi? Kweli lissu anafata maelekezo ya maria
sifa kubwa ya masikini yeyote ni chuki,sasa kama alisemwa lissu mbona kipele kinakuwasha wewe
 
Dr slaa huyu aliesema lissu kajipiga risasi? Na kutunga kitabu kwamba Chadema chama cha kigaidi?Yaani leo slaa ni muhimu anaheshimiwa na lissu kuliko mbowe alievurumishiwa matusi? Kweli lissu anafata maelekezo ya maria
Can you share that clip where he spoke those words! It’s good we remind ourselves.
 
Back
Top Bottom