GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kama kuna sehemu ambayo GENTAMYCINE nilikuwa nakutamani ujilete Mwenyewe na nikuparure Kihasira kama Simba Mnyama afanyavyo Msituni ni hii uliyoingia ( uliyojiingiza ) Mwenyewe.
Mwenyekiti wa Wanachama Simba SC Murtaza Mangungu hivi karibuni umekuja na Shutuma kuwa kuna Watu ndani ya Simba SC wanakuja na Propaganda ili Kuwavurugeni Viongozi, Benchi la Ufundi na Wachezaji wa Simba SC ili iharibikiwe na isifanye vizuri.
Mwenyekiti Mangungu najua hapa wana Simba SC Oya Oya ( Majuha ) watakuamini na Kukuona ni bonge la Kiongozi ila wenye Akili Kukuzidi na tunaokujua vyema tunajua kuwa Umejitokeza hivi sasa Ili Kuwazuga wana Simba SC kwakuwa muda wako wa Uongozi ndani ya Simba SC umeshamalizika na unajua hutakiwi na hutochaguliwa tena hivyo Unajipendekeza kwa Wanachama na wana Simba SC wote ili Wakuamini na Uchaguliwe tena ili uendelee Kuisaliti na Kuiangamiza Simba SC.
Mwenyekiti Mangungu Wabobezi wa Uchunguzi na Ufukuaji wa Taarifa Ngumu na za Hatari akina GENTAMYCINE tunajua ( najua ) kuwa Kwanza Wewe siyo mwana Simba SC 100% kama alivyo Mdogo wako mwenye Rafiki yake mkubwa Kawe ( ambaye zamani alikuwa Mstahiki Meya ) na Mwanae Kipenzi Haji.
Mwenyekiti Mangungu Mimi GENTAMYCINE natambua na nina uhakika kuwa hukutakiwa kuwa hapo Simba SC, ila umewekwa Kimkakati na Kiongozi Mmoja mkubwa tu na Mstaafu Kikatiba ndani ya Tanzania Ili Kuihujumu Simba SC na Kutuhujumu wana Simba SC.
Mwenyekiti Mangungu MImi GENTAMYCINE natambua tena nikiwa na uhakika kuwa huyo Kiongozi mkubwa Mstaafu nchini Tanzania alikupa Pesa nyingi mno ulipogombea Uchaguzi Simba SC na ukazitumia kwa Kuhonga Wajumbe wengi huku zingine ukiwapa baadhi ya Waandishi wa Habari ( hasa wa Redio ) ili wawe Wanakupigia Promo kuongeza Ushawishi na ukubalike na upite.
Mwenyekiti Mangungu wana Simba SC wote wenye Akili walikuwa ( tulikuwa ) tunamtaka Mtani wangu wa Kirangi ( Kondoa Dodoma ) Kamarada ( Comrade ) Juma Suleiman Nkamia, ila Nguvu yako ya Pesa nyingi ulizokuwa nazo baada ya kupewa na Kiongozi huyo mkubwa Mstaafu Kikatiba nchini zilimshinda na ukashinda ( ukachaguliwa ) Wewe.
Mwisho kwani naona Hasira zangu za Kizanaki, Kimakuwa na Kitutsi ni kwamba Mwenyekiti Mangungu Mimi GENTAMYCINE najua ( tena nikiwa na uhakika ) kuwa umewekwa hapo Simba SC Kimkakati na huyo Kiongozi mkubwa Mstaafu Kikatiba nchini ambaye pia ni Shabiki Tukuka wa Yanga SC ili ufanikishe Kuihujumu Simba SC yetu kwa makubaliano kuwa atakupigia Chapuo ( Pande ) kwa Mheshimiwa Rais Samia ( ambaye anammudu na pia ni Mshauri wake ) ili akuteue kuwa Mbunge au akupe hata Ubalozi au Uenyekiti wa Bodi za Kitaasisi hapa nchini.
Nanyi wana Simba SC hasa akina Salim Abdallah 'Try Again', CEO Barbara Gonzalez, Mwekezaji Mo Dewji na Wanachama pamoja na Mashabiki huu ni mwaka wa Uchaguzi Mkuu wa Wanachama hivyo GENTAMYCINE sitarajii tena kuona mnarudia Kosa kwa kumrejesha Kirusi Murtaza Mangungu au kumpa tena Kirusi mwingine bali tulieni na Chagueni mwana Simba SC hasa na siyo hawa mnaopachikiwa Kimkakati na wana Yanga SC ( hasa huyu Kiongozi mkubwa Mstaafu Kikatiba ) kwa kuitumia Kampuni inayotamba sasa Kibiashara nchini na ambayo ana Shea ( Share ) nayo Kubwa japo wengi wanajua ni ya Mwarabu MSG.
Mimi ni Bahari huwa sikai na Uchafu.
Mwenyekiti wa Wanachama Simba SC Murtaza Mangungu hivi karibuni umekuja na Shutuma kuwa kuna Watu ndani ya Simba SC wanakuja na Propaganda ili Kuwavurugeni Viongozi, Benchi la Ufundi na Wachezaji wa Simba SC ili iharibikiwe na isifanye vizuri.
Mwenyekiti Mangungu najua hapa wana Simba SC Oya Oya ( Majuha ) watakuamini na Kukuona ni bonge la Kiongozi ila wenye Akili Kukuzidi na tunaokujua vyema tunajua kuwa Umejitokeza hivi sasa Ili Kuwazuga wana Simba SC kwakuwa muda wako wa Uongozi ndani ya Simba SC umeshamalizika na unajua hutakiwi na hutochaguliwa tena hivyo Unajipendekeza kwa Wanachama na wana Simba SC wote ili Wakuamini na Uchaguliwe tena ili uendelee Kuisaliti na Kuiangamiza Simba SC.
Mwenyekiti Mangungu Wabobezi wa Uchunguzi na Ufukuaji wa Taarifa Ngumu na za Hatari akina GENTAMYCINE tunajua ( najua ) kuwa Kwanza Wewe siyo mwana Simba SC 100% kama alivyo Mdogo wako mwenye Rafiki yake mkubwa Kawe ( ambaye zamani alikuwa Mstahiki Meya ) na Mwanae Kipenzi Haji.
Mwenyekiti Mangungu Mimi GENTAMYCINE natambua na nina uhakika kuwa hukutakiwa kuwa hapo Simba SC, ila umewekwa Kimkakati na Kiongozi Mmoja mkubwa tu na Mstaafu Kikatiba ndani ya Tanzania Ili Kuihujumu Simba SC na Kutuhujumu wana Simba SC.
Mwenyekiti Mangungu MImi GENTAMYCINE natambua tena nikiwa na uhakika kuwa huyo Kiongozi mkubwa Mstaafu nchini Tanzania alikupa Pesa nyingi mno ulipogombea Uchaguzi Simba SC na ukazitumia kwa Kuhonga Wajumbe wengi huku zingine ukiwapa baadhi ya Waandishi wa Habari ( hasa wa Redio ) ili wawe Wanakupigia Promo kuongeza Ushawishi na ukubalike na upite.
Mwenyekiti Mangungu wana Simba SC wote wenye Akili walikuwa ( tulikuwa ) tunamtaka Mtani wangu wa Kirangi ( Kondoa Dodoma ) Kamarada ( Comrade ) Juma Suleiman Nkamia, ila Nguvu yako ya Pesa nyingi ulizokuwa nazo baada ya kupewa na Kiongozi huyo mkubwa Mstaafu Kikatiba nchini zilimshinda na ukashinda ( ukachaguliwa ) Wewe.
Mwisho kwani naona Hasira zangu za Kizanaki, Kimakuwa na Kitutsi ni kwamba Mwenyekiti Mangungu Mimi GENTAMYCINE najua ( tena nikiwa na uhakika ) kuwa umewekwa hapo Simba SC Kimkakati na huyo Kiongozi mkubwa Mstaafu Kikatiba nchini ambaye pia ni Shabiki Tukuka wa Yanga SC ili ufanikishe Kuihujumu Simba SC yetu kwa makubaliano kuwa atakupigia Chapuo ( Pande ) kwa Mheshimiwa Rais Samia ( ambaye anammudu na pia ni Mshauri wake ) ili akuteue kuwa Mbunge au akupe hata Ubalozi au Uenyekiti wa Bodi za Kitaasisi hapa nchini.
Nanyi wana Simba SC hasa akina Salim Abdallah 'Try Again', CEO Barbara Gonzalez, Mwekezaji Mo Dewji na Wanachama pamoja na Mashabiki huu ni mwaka wa Uchaguzi Mkuu wa Wanachama hivyo GENTAMYCINE sitarajii tena kuona mnarudia Kosa kwa kumrejesha Kirusi Murtaza Mangungu au kumpa tena Kirusi mwingine bali tulieni na Chagueni mwana Simba SC hasa na siyo hawa mnaopachikiwa Kimkakati na wana Yanga SC ( hasa huyu Kiongozi mkubwa Mstaafu Kikatiba ) kwa kuitumia Kampuni inayotamba sasa Kibiashara nchini na ambayo ana Shea ( Share ) nayo Kubwa japo wengi wanajua ni ya Mwarabu MSG.
Mimi ni Bahari huwa sikai na Uchafu.