Mwenyekiti wa Walimu Wasio Na Ajira (NETO) Joseph Paulo anadaiwa kukamatwa na polisi mkoani Geita

Mkuu msiache kufuatilia hii issue na kutupa updates humu humu jf hii serikali ni ya Kise... Sana.
 
Huyu jamaa angekuwa selected au kaajiriwa hata wazo la kuanzisha NETO lisingekuwepo

Vijana kazeni ajira miaka hii za ushindani sana si lelemama

Hakuna serikali itakayoweza kuajiri walimu wote 200k mlio mtaani

Ni mwendo wa mchujo. Mbona kada zingine hatuwaoni kulalamika na kuanzisha vyema vya kihuni huni
 

Maza kwa sasa anachotaka kusikia ni sifa tu. Inaelekea sifa zinamlewesha.
 
Umejitahidi kuandika Big Up japo nawe ni wa mlengo ule
 

Hiyo sababu ya pili ni ya Ukandamizaji tu. Nsons kwa awamu hii ndiyo imeanza kuwa sababu ya kuwashikila watu kinyume cha sheria.

Watu wanaotoka hadharani kuomba ulinzi kuwa maisha yao yako hatarini huwa hawapewi huo ulinzi.
 
Nilisema mie, kuitwa ofisi ya waziri ni alarm, haya Leo Kakamatwaa M/kiti wa chama. Lol
 
At least Madikteta wa urusi na china wameleta maendeleo makubwa mnoo kwenye mataifa yao, sio hawa wa TANZAGIZA
 
Itakes mtu ambae yupo serikalini or ambae alishapita huko tena kwenye vyombo husika kujua weakness ya hao watu na namna wana operate.
Wako watu walikuwa huko they know how to avoid them because walikuwa huko so mbinu wanazifaham

Ila kwa raia wa kawaida is another story
 
Unataka kusema Tz kuna udictator?
 
Wanapokosea namna ya kushinikiza madai yao lazima tuseme, hilo ni swala la lazima kabisa.
Unaweza kuwa na haki lkn usijue namna yakuzidai, au unajua kuzidai na bado usizipate, au ukazipata lkn usijue namna yakuzitumia. Nmeisikiliza clip ile vizuri. Yule kijana ameongea pointi za msingi sana Sana. Tena ilitakiwa apewe ajira mapema maana Ni nguvu kazi nzuri inayorandaranda mtaani kulingana na uwezo wake.
 
Kwan unasoma ili upate ufahamu au ili uajiriwe?
 
Kwan unasoma ili upate ufahamu au ili uajiriwe?
Siku utaelewa kwann watoto wa maskini wanasoma na wali major kwenye education kwa sasa....Endelea kugombea remote kwa shemeji huku usiku ukisikilizia miguno ya dada ako anavyopigwa miti.
 
Kwa scenario ya jamaa ambaye amekamatwa siku chache baada ya kuilalamikia serikali

Hivi unadhani kama hoja ya kukamatwa kwake na kunyimwa dhamana ni pamoja na kuwepo kwa viashiria vya yeye kuwa hatarini, unafikiri odds zinaonesha ni nani wanaopewa nafasi ya kuhatarisha maisha ya jamaa?

Jamaa hakuwatukana majambazi, hakuwa expose wauza madawa ya kulevya kiasi cha polisi kumuweka kizuizini kulinda usalama wake.

Sasa kama kuikemea serikali kuhusu tatizo la ajira jambo hilo liende kuhatarisha maisha yake basi sioni usalama wake wowote hata akiwa hapo polisi kwasababu nao pia ni sehemu ya serikali na inaweza kupokea maagizo na ikafanya kama ilivyo tumwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…