Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Mkuu msiache kufuatilia hii issue na kutupa updates humu humu jf hii serikali ni ya Kise... Sana.Mwenyekiti wetu wa NETO Joseph Paulo Kaheza amekamatwa na police mkoani Geita. Tumethibitisha hizi taarifa kutoka kwa mjomba wake ambaye alifika katika kituo hicho cha Central Geita Mjini na kutaka kumwekea dhamana kitu ambacho kilishindikana.
Soma Pia: Umoja wa Walimu Wasio Na Ajira (NETO) wakubali wito wa Simbachawene lakini wataka kuwepo na Ulinzi kwenye kikao
View attachment 3248480
Sasa unavuka mipaka Mkuu. Uwe na asubuhi njema.Mamaako anajua kama mimi na baba yako wa hiari kwahiyo kuhusu kukua kwangu muulize mama yako
Haya kalaleSasa unavuka mipaka Mkuu. Uwe na asubuhi njema.
Acha ujinga, watu wanapambania fani zao wewe unaleta utani.Publicity without thinking about the current situation, hapo ngoja awe mfano.
huyu nahisi ni mwana jf aka ona apite na upepo, haya hao member wa neto wampambanie Sasa.
Kwahiyo wanataka kumuua??? Huyo mwl itakuwa ajabu sana mwlimu kuuwawa na serikali ya JMT chini ya uongozi wa samia kwa kukulalamika kukosa ajira na mwenendo mbaya wa ajira zinatolewa na serikali kwa usimamizi wa taasisi iliyojaa upendeleo undugu na rushwa, ucheleweshwaji wa mchakato bila sababu wala maelezo ya hali juu secretariat
Umejitahidi kuandika Big Up japo nawe ni wa mlengo uleLabda kuzua taharuki na kusambaza taarifa za uongo mtandaoni. Unajua ukitamka jambo la kitakwimu inabidi uwe makini sana.
Hawa walitakiwa hizo hotuba na maelezo yao yote wapitishe kwenye jopo la mawakili, ili kuangalia madhara na matokeo yake. Hivyo ndio mambo yanapaswa kwenda na sio hivi kwenda kiholela, lazima uzingue tu na unajua Jamhuri haina time na raia mwema (mfuata sheria) tatizo lipo ukijichanganya pahali tu wana wewe.
Huyu jamaa nilimsikiliza kidogo ila nikajua hapa na hapa kazingua na wameruka naye tayari.
Vijana tunataki tujue kuwa tufanye yote ila kamwe tusijaribu kusababisha kitisho kwenye usalama wa hili taifa, utapotea na hakuna atakayejutia. Sasa kutaka kuinua hasira za graduates ni big move inayoitaji akili sana, sio jambo la mchezo au masihara.
Kunyimwa dhamans kuna sababu nyingi ila za moja kwa moja huwa ni ama hajakamatwa kwa kosa lolote, hapo hawezi kupewa dhamana sababu hana kosa alilokamatwa nalo.
Sababu nyingine inaweza ikawa kwa ajili ya kuulinda usalama wake yeye mwenyewe. Baada ya intelijensia ya polisi kuona ipo hiyo sababu.
Sasa usiniulize mtu anakamatwaje bila kosa, hilo linawezekana na limeruhusiwa na sheria zetu wenyewe. Kukamatwa sio kosa kosa ni lile lililofanyika tu.
At least Madikteta wa urusi na china wameleta maendeleo makubwa mnoo kwenye mataifa yao, sio hawa wa TANZAGIZANchini Zaire (DRC)! ilikuwa ni Kosa kubwa sana kwa kufanya Kitendo cha Kumkosoa mtawala wa nchi hiyo Dikteta Mobutu Sese Seko au kuukosoa Utawala wake. Hali ipo hivyo pia nchini Urusi kwa Putin na nchini China.
Kuwakosoa Madikteta ni sawa sawa na kujikatia tiketi ya kifo.
Itakes mtu ambae yupo serikalini or ambae alishapita huko tena kwenye vyombo husika kujua weakness ya hao watu na namna wana operate.Aise, achana na taasisi inayoitwa serikali. Sio ndogo hivyo unavyowaza. Sawa hautakiwi kuiogopa serikali ila amini nakuambia unatakiwa kuiheshimu kwa.adabu zote ulizofundishwa kwenu.
Hapa unaweza ukafikiri hawakujui ila na jina lako hili wakikuamulia ni haraka sana wanakujua, na kukuchukua itakuwa ni uamuzi wao tu wala sio wako 😂😂
Unless uwe ni keyboard worrior au ubishe tu kutokana na uelewa mdogo.
Unataka kusema Tz kuna udictator?Nchini Zaire (DRC)! ilikuwa ni Kosa kubwa sana kwa kufanya Kitendo cha Kumkosoa mtawala wa nchi hiyo Dikteta Mobutu Sese Seko au kuukosoa Utawala wake. Hali ipo hivyo pia nchini Urusi kwa Putin na nchini China.
Kuwakosoa Madikteta ni sawa sawa na kujikatia tiketi ya kifo.
Unaweza kuwa na haki lkn usijue namna yakuzidai, au unajua kuzidai na bado usizipate, au ukazipata lkn usijue namna yakuzitumia. Nmeisikiliza clip ile vizuri. Yule kijana ameongea pointi za msingi sana Sana. Tena ilitakiwa apewe ajira mapema maana Ni nguvu kazi nzuri inayorandaranda mtaani kulingana na uwezo wake.Wanapokosea namna ya kushinikiza madai yao lazima tuseme, hilo ni swala la lazima kabisa.
Kwan unasoma ili upate ufahamu au ili uajiriwe?Ratio ya graduates na ajira zinazotolewa ni mbingu na nchi...hizo nafasi zote zinajazwa na vyuo vya UDSM, UDOM na SAUT tu, sasa wengine waende wapi, shule za private kutokana na usimamizi mbovu wa serikali wanalipa mpaka laki na nusu, haya ni Matatizo, na hizi Ajira kiduchu kiduchu ndio zinazidi kutia watu Hasira.
Siku utaelewa kwann watoto wa maskini wanasoma na wali major kwenye education kwa sasa....Endelea kugombea remote kwa shemeji huku usiku ukisikilizia miguno ya dada ako anavyopigwa miti.Kwan unasoma ili upate ufahamu au ili uajiriwe?
Kwa scenario ya jamaa ambaye amekamatwa siku chache baada ya kuilalamikia serikaliKunyimwa dhamans kuna sababu nyingi ila za moja kwa moja huwa ni ama hajakamatwa kwa kosa lolote, hapo hawezi kupewa dhamana sababu hana kosa alilokamatwa nalo.
Sababu nyingine inaweza ikawa kwa ajili ya kuulinda usalama wake yeye mwenyewe. Baada ya intelijensia ya polisi kuona ipo hiyo sababu.
Sasa usiniulize mtu anakamatwaje bila kosa, hilo linawezekana na limeruhusiwa na sheria zetu wenyewe. Kukamatwa sio kosa kosa ni lile lililofanyika tu.
Hapa sasa mi ndio sijuiHiyo taasisi ya NETO imesajiliwa?