mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,227
- 6,670
Je, ni kauli ya hovyo kuliko ya huyo anayemdharilisha mama mzazi wa Rais, ati tu kampeleka nyumbani kwa ndege, akijua mama wa watu ni mgonjwa hadi leo yu kitandani mahtuti? Shame on youMkiwachagua hao wengine hawataweza kuendeleza miradi niliyoianzisha-Magufuli.
Apige picha akifa leo hakuna atakae we za kuingoza nchi? Hizi ni kauli za hovyo kutolewa na kiongozi.