Uchaguzi 2020 Mwenyekiti wangu Dkt. Magufuli kuna kitu ambacho haukukifanya kitakuangusha tu kwenye Uchaguzi huu

WALTER RODNEY ameandika rubbish dhana zake zinapingana na hali halisi,za kuwalaumu wazungu juu ya kushindwa kwetu na alitumika na watawala wa kiafrica baada ya kushindwa kuwaletea waafrika maendeleo tarajiwa baada ya kuwadanganya waafrica wawape sapoti wawaondoe wakoloni watakula mema ya nchi, matokeo yakawa kinyume chake,wapigania uhuru ndo wakawa wakoloni weusi kwa kuwatendea waafrika mabaya na ukatili wa hali ya juu kuliko hata mkoloni mweupe alivomtendea mwafrika kwa kuwauwa waafrika wenzao,kufisadi kodi zao,kuendekeza ukabila,kuiba na kupora mali za waafrkia na kujigeuza miungu watu huku watawala wakiishi peponi hali wakiuwa chumi nzuri za nchi zao.
 
Hivi mbona hata wale wa feki vyeti hatukuona hata kama ilisaidia wengine waajiriwe au hata mishahara kupanda?
 
Hivi mbona hata wale wa feki vyeti hatukuona hata kama ilisaidia wengine waajiriwe au hata mishahara kupanda?
ZILE ZILIKUWA NI CHUKI KAMA KISASI CHA MALIPIZI KWA BASHITE KIPENZI KUSEMWA VIBAYA
 
Sijakuelewa mtoa mada maisha magumu watu hawana Milo kwa hiyo ulitakaje yaani..uletewe chakula? Vijana wanaojielewa wanapiga kazi mchana na usiku na maisha yanaenda ukipenda vya bure Sana Kama mwanaume utaolewa bure
 
Kiuhalisia Mh. Magufuli atashinda,tena kwa asilimia kubwa sana tofauti na ilivyowahi kuwa tangu multipartism ilipoanza tena hapa bongo.
 
Hoja zikipangiliwa historia itajianza kujiweka maktaba
 
2020 watanzania tutamchagua JPM kwa kura za kutosha.
Mazuri ya JPM ni mengi sana,changamoto huwa zipo tu.hata U.S kuna raia wanalalamikia changamoto za taifa lao.
ilhali tunaambiwa U.S ni kinara wa kila jambo la kimaendeleo.
Maendeleo siyo Hisani za CCM maendeleo hayaletwi na Pesa binafsi toka mfukoni mwa mtukufu, maendeleo ni pesa za walipa kodi
 
Mkuu nimekuelewa na ni sawa kabisa
Tatizo kwenye nchi hii wakubwa wanapokea mishahara mikubwa Sana. Mfano wabunge, hawa mishahara ,viinua mgongo na marupurupu yangepunguzwa kabisa.

Huku kada za chini ualimu na afya ambako kazi ni ngumu Maisha ni magumu Sana.

Hakuna usawa katika vipato mpaka najiuliza hivi TZ ni ya mfumo wa KIJAMAA au KIBEPARI?

JPM awamu ya pili ajitahidi pia kuboresha vipato vya wa watumishi . Hii ndio njia pekee ya kuongeza MZUNGUKO wa FEDHA nchini.
 
Wewe kama ni daktari basi ni wa kutibu vinyesi! Unaishi dunia gani ambayo huoni watu wakila kuku?
 
2020 watanzania tutamchagua JPM kwa kura za kutosha.
Mazuri ya JPM ni mengi sana,changamoto huwa zipo tu.hata U.S kuna raia wanalalamikia changamoto za taifa lao.
ilhali tunaambiwa U.S ni kinara wa kila jambo la kimaendeleo.

Kuna maendeleo gani ambayo JPM ameyaleta katika miaka yake mitano ya utawala? Hebu tutajie machache hapa tuweze kuyatafakari.
 
Kwa anayetaka hicho kitabu cha Walter Rodney anicheki inbox au hats kitabu chochote kile ila siyo cha kibongo,bei ni buku tano hadi kumi,kitabu chochote kile unapata
 
2020 watanzania tutamchagua JPM kwa kura za kutosha.
Mazuri ya JPM ni mengi sana,changamoto huwa zipo tu.hata U.S kuna raia wanalalamikia changamoto za taifa lao.
ilhali tunaambiwa U.S ni kinara wa kila jambo la kimaendeleo.

Wako kabisa wengine barabarani
 

Wanasiasa ndiyo wanatunga sera,na sera ndiyo zinaweza kufanya maisha kuwa magumu au mepesi. Na wasiasa wengine wanatoa matamko tu na kuhatibu maisha ya watu. Mfano wa matamko ni lile la sukari,korosho,kahawa nk ambayo yameharibu maisha ya mamilioni ya wananchi.

Mpaka hapa nimejiridhisha ya shaka wewe ni mkuu wa vilaza hapa Jf.
 
Kilaza ni wewe na wengine aina yako ambao bado fikra zenu ni kufanyiwa kila kitu na serikali. Utaolewa usipokua makini
 
Aliyekuambia hakuna tatizo la kinyesi ni nani?
Kumbe wewe ni mbumbu kabisa,nimekudharau sana 🚮
Unajikumbusha tu wewe mwenyewe kuwa wenye akili walishakudharau miaka mingi
 
Wenye akili wanamuheshimu Walter Rodney, mburula kama wewe lazima wawe na mawazo ya kipunguani yanayoshabihiana na muhanga wa risasi 16, kama mnavyodai
 
[SUB]CCM hawataki kuambiwa ukweli. "Uchaguzi huu utapaleka balaa CCM. CCM hawata amini kitakachotokea October 28. Mda ndio utasema.[/SUB]
 
Ni kweli umesema na watu wamekusikia na kukusoam humu JF vizuri; lakini yote uliyosema ni kama unazungumzia na kuwasemea Watanzania wasioziona fursa za kazi (hapa nina maana ya kazi za kujiajiri siyo KUAJIRIWA), wasio ziona fursa za biashara, ziwe ndogo au kubwa au wasio ziona fursa huko kwenye ARDHI HII YA AJABU tuliyopewa na Mungu ambayo majirani zetu na wageni kutoka nje wanaimezea mate kufa na kupona. Anyway nadhani ni suala la mtazamo na MINDSET ya kila mmoja wetu kwenye hoja hizo. Ila binafsi nadhani hata wasomi wa ngazi ya elimu ya juu wameanza kuuona ukweli wa ulazima wa KUJIARI, na hata watu wa kawaida siku hizi wameelewa kuwa Tanzania hii ya +255 SIYO MASKINI na suala la watu kujituma na kuchangamkia fursa zilizopo hapa nchini limeeleweka kwa wengi. Hoja hizo hizo zinawahusu pia wafanyakazi wa umma, siku hizi wana fursa nyingi za mikopo ya kuwawezesha kujijasiriamali na hivyo kupunguza makali ya mshahara. Halafu hakuna mahali popote duniani, ambapo MSHAHARA ULISHAWAHI KUMUONDOA MTU KWENYE UMASIKINI WA KIPATO. HAKUNA. Tujitume tushinde vita hii ya umasikini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…