Una maanisha watumishi wa umma walikua wababaishaji?Ambao wako taabani huko mitaani ni wale waliozeoa mishemishe na kuishi kisanii, sisi ambao tunajitambua na kuamini jasho lako ndio mkombozi namba moja tunaona maisha ni kawaida tu.
Changamoto haizwezi kukosekana katika maisha. Kama wewe ni mmoja wa wale walionufaika na ubabaishaji uliokiwepo awamu iliyopita, lazima awamu hii uone maisha magumu.
Changamsha akili, si Magufuli, Lisu, Membe n.k atakaebadilisha maisha yako.
Unajiangaisha kuelimisha watu wengine huwa hawaelewi kitu Mana kwenye vichwa vyao zimejaa funza tu wale wa chooni.Mimi nina mdogo wangu amegraduate udsm mwaka 2016 na hana ajira hadi leo. Huyu alikuwa mpiga dili gani???
Mie niligraduate SUA mwaka 2009 na 2010 kipindi cha JK nilipata kazi kwenye kampuni binafsi ya utafiti wa mazao!!
Magufuli wenu amefeli vibaya na lazima aanguke mwaka huu pamoja na kubebwa na vyombo vyenu vya Habari uchwara.
Hii ni hatari yaani unamzungumzia Bakharesa ...kweli mtu mweusi ni half humanHao walizoea kuingiza containers from abroad na kuzitoa bila ushuru. Zama hizo zimepitwa na wakati, ni wale tu ambao walikua wanalipa kodi ya serikali tangu enzi zile ndio wanaendelea na businesses. Kwa nini huzungumzii Baharesa na wengineo?
Asante ndugu. Wapuuzi sana hawa watu!!Unajiangaisha kuelimisha watu wengine huwa hawaelewi kitu Mana kwenye vichwa vyao zimejaa funza tu wale wa chooni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapo waliokuwa wababaishaji, semina za uongo, safari fake, nk. If you don't know you better ask, uliwasikiliza wasiojua watakupoteza na hutajikwamua hapo ulipo sasaUna maanisha watumishi wa umma walikua wababaishaji?
Mwambie huyo mpumbavuEndelea kuleta maneno ya mtaani na nadharia tu ukijifanya Eti unampamba au kumjenga huyo Magufuli kumbe unazidi kumuharibia.
Na marafiki zangu waliopoteza kazi Quality Group baada ya kampuni kufungwa kutokana na Mwenye kampuni kufirisiwa na serikali na kubambikiwa makesi na Serikali ya Magufuli nao unawaambiaje????
Na rafiki yangu ambae Ghala lake limeuzwa na bank baada ya kushindwa kurudisha mkopo baada ya serikali kuwapiga marufuku kununua korosho na kuchukua korosho kupitia jeshi nae unamwambiaje??? Tena kwenye kampuni yake alikuwa na watumishi 12 nao unawaambiaje????
Magufuli is a failure ndugu. Habebeki huyo mtu wenu. Kaharibu uchumi wa nchi!!
Maendeleo ni kuboresha kwanza maisha ya watu then social infrastructure inafuata. Wadhani ni wote wanaokuelewa hiki alichokisema?Ndugu Mahanju, ni kweli unayoyasema; Lakini, nawaomba Watanzania tutangulize uzalendo kwanza. Uzalendo ambao ndani mwake mna kujitoa (mhanga) kwa hali na mali kwa ajili ya Nchi; kuna kujikana nafsi na kutengeneza kwa ajili ya watoto wetu, watoto wa watoto wetu, watoto wa watoto wa watoto wetu, na kuendelea.
Hebu jiulize, lipi bora, kujinyima (kwa muda) ili kile tunachokusanya tukitumie kujenga kwanza miundombinu mbalimbali (SGR, Stiglers HEP, Barabara nzuri, hospitali na vifaa tiba, eropleni, mifumo ya maji, mashule na vyuo, n.k.); Au, tukitumie kuongeza mishahara ya watumishi, na kadhalika?
Ni wazi huwezi fanya mambo yote kwa wakati mmoja. Hakutokuwa na efficiency. Lazima uwe na priority and options.
"Roma haikujengwa kwa siku moja"; hali kadhalika Ulaya magharibi au Asia. Watu walijifunga vibwebwe na leo hii vitukuu wa vitukuu ndio wanafaidi jasho la babu zao
Kwa hiyo, JPM yuko sawa. Watumishi wa Serikali na Watanzania kwa jumla, tunapaswa kujifunga mkanda na kuridhika na hiki kidogo tunachopata sasa.
Ni dhiki ya muda tu kwani tukiisha kamilisha kutengeneza miundombinu hii, Pesa inayokusanywa kutoka vyanzo mbalimbali itatumika sasa kuboresha maisha ya watu.
Tena kwa ulaiini kabisa. Serikali itakuwa na uwezo wa hata kufanya KCCCM kuwa zaidi ya 2,000/= kwa mwezi!
Mungu ibariki Tanzania.
Mungu mbariki JPM.
Tunajinyima kwa lipi, au ndio tuseme tunanyimwa wachache afu Wengine wanajilia?Ndugu Mahanju, ni kweli unayoyasema; Lakini, nawaomba Watanzania tutangulize uzalendo kwanza. Uzalendo ambao ndani mwake mna kujitoa (mhanga) kwa hali na mali kwa ajili ya Nchi; kuna kujikana nafsi na kutengeneza kwa ajili ya watoto wetu, watoto wa watoto wetu, watoto wa watoto wa watoto wetu, na kuendelea.
Hebu jiulize, lipi bora, kujinyima (kwa muda) ili kile tunachokusanya tukitumie kujenga kwanza miundombinu mbalimbali (SGR, Stiglers HEP, Barabara nzuri, hospitali na vifaa tiba, eropleni, mifumo ya maji, mashule na vyuo, n.k.); Au, tukitumie kuongeza mishahara ya watumishi, na kadhalika?
Ni wazi huwezi fanya mambo yote kwa wakati mmoja. Hakutokuwa na efficiency. Lazima uwe na priority and options.
"Roma haikujengwa kwa siku moja"; hali kadhalika Ulaya magharibi au Asia. Watu walijifunga vibwebwe na leo hii vitukuu wa vitukuu ndio wanafaidi jasho la babu zao
Kwa hiyo, JPM yuko sawa. Watumishi wa Serikali na Watanzania kwa jumla, tunapaswa kujifunga mkanda na kuridhika na hiki kidogo tunachopata sasa.
Ni dhiki ya muda tu kwani tukiisha kamilisha kutengeneza miundombinu hii, Pesa inayokusanywa kutoka vyanzo mbalimbali itatumika sasa kuboresha maisha ya watu.
Tena kwa ulaiini kabisa. Serikali itakuwa na uwezo wa hata kufanya KCCCM kuwa zaidi ya 2,000/= kwa mwezi!
Mungu ibariki Tanzania.
Mungu mbariki JPM.
changamoto za kuwapiga watu risasi, kuwateka, kuwapoteza, kuwabambikia kesi... una kichaa umelogwa!2020 watanzania tutamchagua JPM kwa kura za kutosha.
Mazuri ya JPM ni mengi sana,changamoto huwa zipo tu.hata U.S kuna raia wanalalamikia changamoto za taifa lao.
ilhali tunaambiwa U.S ni kinara wa kila jambo la kimaendeleo.
Shilingi milioni 50 kwa kila kijiji zipo wapi? Alitudanganya watu wa vijijini uchaguzi uliopita tukampa kura, uchaguzi huu hatudanganyiki!!!!!!Mimi nina mdogo wangu amegraduate udsm mwaka 2016 na hana ajira hadi leo. Huyu alikuwa mpiga dili gani???
Mie niligraduate SUA mwaka 2009 na 2010 kipindi cha JK nilipata kazi kwenye kampuni binafsi ya utafiti wa mazao!!
Magufuli wenu amefeli vibaya na lazima aanguke mwaka huu pamoja na kubebwa na vyombo vyenu vya Habari uchwara.
Wapo walio graduate mwaka huo huo wakaanzisha ufugaji wa kuku kwa msingi wa TZS 2,000,000 sasa hivi they are talking of 3 - 4mil a month. Msubiri Lisu, wengi wenu mnaamini nyumbani kwake amefunga bomba la ajira ambalo anasubiri achaguliwe ili alifunguwe ambao hamna ajira mpate ajira.
Afadhali kumjaribisha Lissu ambaye ni mwanasheria kuliko kurudia kosa kwa kumchagua Magufuli!!! Sitasahau kauli na attitude yake tulipokumbwa na tetemeko kule Kagera.Na kama kuna mtanzania wa aina yako anaetegemea Lisu ndio atabadilisha maisha yake, nakubaliana na wewe kua mna shida kwenye mifumo yenu ya fahamu. Maisha yako utayabadilisha mwenyewe kwa kuonyesha uthubutu katika kupambana na maisha badala ya kusubiri mwanasiasa akufanyie hivyo. Utasubiri sana kijana.
Mkuu na sisi walimu,unatuweka kwenye hili kundi la wasanii,ujanjaujanja...mishemishe na ubabaishaji!?Ambao wako taabani huko mitaani ni wale waliozeoa mishemishe na kuishi kisanii, sisi ambao tunajitambua na kuamini jasho lako ndio mkombozi namba moja tunaona maisha ni kawaida tu.
Changamoto haizwezi kukosekana katika maisha. Kama wewe ni mmoja wa wale walionufaika na ubabaishaji uliokiwepo awamu iliyopita, lazima awamu hii uone maisha magumu.
Changamsha akili, si Magufuli, Lisu, Membe n.k atakaebadilisha maisha yako.
Huelewi unajadiliana na nani. Hata raisi awe lisu hawezi kutoa ajira kwa watanzania wote ambao hawana ajira. Kama qewe ungekuwa na upeo wa mfuDogo:
Upo shallow Sana kwenye uelewa wa nadharia za uchumi. Unakumbuka Sera ya viwanda kwa kila wilaya? Haikuwa mbaya Kama ingekuwa imepangwa vizuri na kimkakati kwamba ni kiwanda gani kiwe mahali gani kwa akili ya masoko! Leo imebaki story kwani ilikoyeyukia sio wanaccm Wala wengine wanajua!
Sera Ile ingesimamiwa na kuazimwa mitaji Basi uhaba wa ajira ungepunguzwa!
Ona kwenye Sera ya kilimo vile ilivyopuuzwa japo inaajiri watu wengi. Imenyimwa usimamizi na mtaji na masoko ya uhakika na mwishoni inakwenda kufa!
Ajira sio lazima ukae ofisini jombaa!
Akipatika kiongozi mwenye maono na vipaumbele pamoja na uthubutu wa usimamizi wa Sera ya viwanda na kilimo na masoko nakuhakikishia nchi hii itang'aa kiuchumi na ajira zitakuwa zinaajiri kutoka nje ya mipaka ya nchi kwani wa ndani hawatatosha!
Ndugu, mm siwezi kuajiriwa. Porojo unazo wewe na wenzako ambao mlipata elimu ya kusubiri ajira serikali. Mtasubiri sanaaaaAcha porojo wewe unaenufaika na awamu hii huku wenzako wakiangamia..
Lisu akishindwa kutimiza ndoto zako utamtegemea nani?Afadhali kumjaribisha Lissu ambaye ni mwanasheria kuliko kurudia kosa kwa kumchagua Magufuli!!! Sitasahau kauli na attitude yake tulipokumbwa na tetemeko kule Kagera.
Siongelei ndoto. Nasema Wana Kagera hawajasahau!Lisu akishindwa kutimiza ndoto zako utamtegemea nani?
Hizo changamoto kazitengeneza mwenyewe makusudi2020 watanzania tutamchagua JPM kwa kura za kutosha.
Mazuri ya JPM ni mengi sana,changamoto huwa zipo tu.hata U.S kuna raia wanalalamikia changamoto za taifa lao.
ilhali tunaambiwa U.S ni kinara wa kila jambo la kimaendeleo.