october ndo njia pekee iliyobaki ya kukomesha njaaNaomba na Kufunga kwa Mungu, ili amruhusu Yesu arudi tu. Inatosha. Naipenda nchi yangu, lakini mimi na watu mtaani tupo kwenye dhiki kubwa sana. Mungu amuamshe kiongozi wetu akumbuke wananchi wake, maana wote wema na wabaya wapo kwenye ugumu.