BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Tuombe corona iishe ligi ziendelee maana naona wazee wa mikeka mnaanza kukosa cha kufanya mnaanza kujazana kwenye siasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sioni anayesema hayo kama sio DC, RC. Mkurugenzi, mwenyekiti CCM hakuna mwananchi anayependa wezi, wala rushwa. Watekaji na wauaji.Kila anakopita mpaka uchagani wanasema asante CCM, asante Dr Magufuli, hiyo ni dalili kubwa ya ushindi wa kishindo
Mkuu umemaliza kila kitu sina cha kuongezea ...Mkuu Hijja Madava, unaonyesha wewe ama ni mgeni na siasa, au utakua bado huzijui vizuri siasa za Bongo.
Ili CCM kiweze kuwa chama cha upinzani, lazima kwanza pawepo na chama mbadala wa CCM ambacho Watanzania watakiaminia na kukikabidhi Ikulu yetu.
Mimi kwa upande wangu bado sijaona chama hicho, hivyo CCM itatawala milele
Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
P
Acha unafiki, wewe siyo CCM, na ungekuwa mwana CCM ungeona jinsi CCM inavyopendwa kwa sasa. Kibano kiendelee hivyo hivyo. Tunajua nyie majizi na mnaoendekeza ukabila roho zinawauma sana maana ile mianya ya kuwekana kwa kazi na kuiba imezibwa yote
Huo ndiyo ujinga mnaoambukizana, yaani hata wewe unaingia kundi la wasioelimika mbumbu mbutuyuyu, yaani huwezi tofautisha kwamba Libya hapakuwa na vyama vya upinzani? Dkt Mqgufuli yupo pale kwa sababu kura zilitosha na zitaendelea kutosha. Mnajifanya kumtukana yeye kumbe hamjui mnatukana taasisi, na ndiyo maana mnapukutika kwa umaarufu kwa sababu mnachezea mifumo inayowalindaHata Gadaffi alijiaminisha hivyo hivyo
Tutahakikisha tunatumia dollars kubaki madarakani2020 rais wetu lazima awe ngosha Dr Magufuli, utake usitake maana kila mtanzania atampigia kura ya ndiyo!
Enzi za jk wenzio walisema sio tu kuwa chama cha upinzani ila kinamfia kabisa jk mikononi.Salam sana wapenzi wana jamvi.
mjumbe hauwawi mimi ni CCM kindakindaki ila kwa huyu mwenyekiti wetu wa sasa anaingizwa mtegoni kirahisi sana ns hawa wahuni kinachokwenda kutokea msiniulize ila CCM tunaenda kuwa chama cha upinzani
Juzi wamekodi vijana ili waonekane wana watu, hahahaKwema hapo ufipa lakini?
Aliweza kwenye nchi za wapuuzi.Watakao kuelewa ni wachache sana marekani hajawai kuingia kwenye operation akafeli
Acha unafiki, wewe siyo CCM, na ungekuwa mwana CCM ungeona jinsi CCM inavyopendwa kwa sasa. Kibano kiendelee hivyo hivyo. Tunajua nyie majizi na mnaoendekeza ukabila roho zinawauma sana maana ile mianya ya kuwekana kwa kazi na kuiba imezibwa yote
2020 rais wetu lazima awe ngosha Dr Magufuli, utake usitake maana kila mtanzania atampigia kura ya ndiyo!
DKT MAGUFULI BABA LAO NA CCM BABA LAO, wapinzani wanajua kabisa rais after 2020 ni dkt Magufuli.Ni kati ya Wanawake wa hovyo sana uwezo wa kufikiri ni chini ya udogo wa sisimizi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Hijja Madava, unaonyesha wewe ama ni mgeni na siasa, au utakua bado huzijui vizuri siasa za Bongo.
Ili CCM kiweze kuwa chama cha upinzani, lazima kwanza pawepo na chama mbadala wa CCM ambacho Watanzania watakiaminia na kukikabidhi Ikulu yetu.
Mimi kwa upande wangu bado sijaona chama hicho, hivyo CCM itatawala milele
Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
P
Hivi upinzani huu uliong’olewa meno utauita ni upinzani kweli? Hata akishinda kwa 99% lakini ukweli mwenyewe anaujua na pamoja na kushinda kwa kishindo lakini amani moyoni hana.Huo ndiyo ujinga mnaoambukizana, yaani hata wewe unaingia kundi la wasioelimika mbumbu mbutuyuyu, yaani huwezi tofautisha kwamba Libya hapakuwa na vyama vya upinzani? Dkt Mqgufuli yupo pale kwa sababu kura zilitosha na zitaendelea kutosha. Mnajifanya kumtukana yeye kumbe hamjui mnatukana taasisi, na ndiyo maana mnapukutika kwa umaarufu kwa sababu mnachezea mifumo inayowalinda
Paskali siku hizi mbona umekuwa mdebwedo kiasi hicho? Siku hizi hujadili issues kwa hoja ni mwendo wa hisia tu. Kule kwetu Mayala inamaanisha njaa sasa hii naona inaelekea kuwa Mayala kali!Mkuu Hijja Madava, unaonyesha wewe ama ni mgeni na siasa, au utakua bado huzijui vizuri siasa za Bongo.
Ili CCM kiweze kuwa chama cha upinzani, lazima kwanza pawepo na chama mbadala wa CCM ambacho Watanzania watakiaminia na kukikabidhi Ikulu yetu.
Mimi kwa upande wangu bado sijaona chama hicho, hivyo CCM itatawala milele
Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
P
Ushindani ninmkubwa, na upo. Ila CCM ushindi ni lazima.Hivi upinzani huu uliong’olewa meno utauita ni upinzani kweli? Hata akishinda kwa 99% lakini ukweli mwenyewe anaujua na pamoja na kushinda kwa kishindo lakini amani moyoni hana.
Wewe muongoSalam sana wapenzi wana jamvi.
mjumbe hauwawi mimi ni CCM kindakindaki ila kwa huyu mwenyekiti wetu wa sasa anaingizwa mtegoni kirahisi sana ns hawa wahuni kinachokwenda kutokea msiniulize ila CCM tunaenda kuwa chama cha upinzani
Umesema kila mtanzania!2020 rais wetu lazima awe ngosha Dr Magufuli, utake usitake maana kila mtanzania atampigia kura ya ndiyo!
Watanzania wanaangalia mtu kwa sehemu kubwa. Wamechoka na wengi hata kupiga kura hawaoni haja. Hii ndio inawapa ccm ahueni.Mkuu Hijja Madava, unaonyesha wewe ama ni mgeni na siasa, au utakua bado huzijui vizuri siasa za Bongo.
Ili CCM kiweze kuwa chama cha upinzani, lazima kwanza pawepo na chama mbadala wa CCM ambacho Watanzania watakiaminia na kukikabidhi Ikulu yetu.
Mimi kwa upande wangu bado sijaona chama hicho, hivyo CCM itatawala milele
Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
P