Mwenyekiti yupo Mahabusu, Makamu Mwenyekiti anaugulia risasi 16, viongozi wakaunga juhudi mkono lakini bado chama kipo imara. MUNGU ana makusudi

Hiki ndicho tunachoamini. Wale ni mateka. Ni wahanga. Ndio maana hata chama hakihangaiki nao.
 
Hakika. Ni swala la muda tu. Mbowe kuwa ndani ni kazi ya system, Lissu amepona kwa sababu system haikutaka afe!

Punde si Punde, Historia itabadilika
Kazi ya system.....imaginary system vs Karma
 
Hakika. Ni swala la muda tu. Mbowe kuwa ndani ni kazi ya system, Lissu amepona kwa sababu system haikutaka afe!

Punde si Punde, Historia itabadilika
Akili yako mbovu sana kaka,
 
Wait a minute!!
Chama gani kipo imara dada?!!!!!!!!

Mi ndo huwa maeneo haya tu yanayonipa raha ya kuendelea na kufuatilia siasa.....utasikia;
'Tuna wafuasi milioni 12!'
'Subirini 2015', ikifika utasikia, 'subirini 2020'!
'Sisi tunaanza na Mungu na tunamaliza na Mungu', huku michango ya wztu inaliwa na nafasi kuminywa!
 
N
Na wewe unatakiwa uwe replaced na kichwa kimoja kutoka Cdm. Ukute Ni kiongozi wa ccm ndo mwenye akili ya hivi!!!
 
Kweli tupu
 
Chadema inapambana na dola iliyojivika siasa siku dola ikiichoka ccm mtajua hamjui
 
Kamwe hawawezi kuua chadema kwa kuwaumiza au hata kudhulumu maisha ya wengine!
Bado watazaliwa mbowe 30 na Lissu 30 wengine, Tulianza na Mungu na tutakuwa na Mungu milele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…