Mwenyezi Mungu angeongeza siku za kuishi walau miaka 100,hii 60-70 haitoshi kutimiza malengo yetu

Mwenyezi Mungu angeongeza siku za kuishi walau miaka 100,hii 60-70 haitoshi kutimiza malengo yetu

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Hebu nenda kwenye makaburi ya umma ya wakristo utarudi nyumbani na kusema asante Mungu.

Kumbe watanzania wengi hatutoboi 70,Yaani narehemu wengi ni miaka 50 kushuka chini,

Kwa mujibu wa sensa iliyopita idadi ya wazee kuanzia miaka 60 hawazidi 10 percent,
Serikali inashindwa nini kuwapa bima ya bure wazee hawaili waendelee kuishi?

Unajua ni kwa niniwaganga wa jadi husema tukaroge makaburini?

Makaburi mengi yamejaa marehemu waluokufa bila kutimiza ndoto zao,ndoto nyingi ziko makaburini kuliko duniani,umienda kuroga makaburini unachota ndoto za watu waliokufa bila kuzitimiza,

Kuna vijana waligraduate ule mwaka JPM anaingia ikulu mpaka leo hawana ajira,miaka 30+ hawajaoa ,hawana watoto,hawana kazi,alafu wanakufa miaka 20 ijayo,harusi nyingi High table kutakuwa hakuna waxazi ,wote marehemu.

Kwa wale matajiri nao wapate muda wa kula naisha kidogo,sio unakufa unaachia mali watu wengine hata hawajui zimeoatikanaje

Mungu tuongezee siku kwa kweli,mbona kwenye Biblia akina Yakobo waliishi miaka mingi
 
Hebu nenda kwenye makaburi ya umma ya wakristo utarudi nyumbani na kusema asante Mungu.

Kumbe watanzania wengi hatutoboi 70,Yaani narehemu wengi ni miaka 50 kushuka chini,

Kwa mujibu wa sensa iliyopita idadi ya wazee kuanzia miaka 60 hawazidi 10 percent,
Serikali inashindwa nini kuwapa bima ya bure wazee hawaili waendelee kuishi?

Unajua ni kwa niniwaganga wa jadi husema tukaroge makaburini?

Makaburi mengi yamejaa marehemu waluokufa bila kutimiza ndoto zao,ndoto nyingi ziko makaburini kuliko duniani,umienda kuroga makaburini unachota ndoto za watu waliokufa bila kuzitimiza,

Kuna vijana waligraduate ule mwaka JPM anaingia ikulu mpaka leo hawana ajira,miaka 30+ hawajaoa ,hawana watoto,hawana kazi,alafu wanakufa miaka 20 ijayo,harusi nyingi High table kutakuwa hakuna waxazi ,wote marehemu.

Kwa wale matajiri nao wapate muda wa kula naisha kidogo,sio unakufa unaachia mali watu wengine hata hawajui zimeoatikanaje

Mungu tuongezee siku kwa kweli,mbona kwenye Biblia akina Yakobo waliishi miaka mingi
Mkuu fuata kanuni za afya kwenye maisha yako utaishi miaka mingi. Fuata ushauri wa Dr Janabi
 
Mkuu fuata kanuni za afya kwenye maisha yako utaishi miaka mingi. Fuata ushauri wa Dr Janabi
Sio kweli,kuishi miaka m8ngi imekuwa ni neema tu ya mwenyezi Mungu,kuna watu nawajua walifuata kanuni wakafa mapema,na waouuzi fulani dont care wapo wanadunda tu
 
Hakuna andiko limekataza wewe kuishi miaka 100 ila lifestyle yako ndio itakufanya ushindwe kutimiza iyo miaka unayoitaka,
Lupo biblia imestate kabisa
Mwanadamu aliyezakiwa na Mwanamke,siku zake si nyingi

ZABURI 90:10 Miaka 70 akiwa na nguvu miaka 80
 
Back
Top Bottom