Mwenyezi Mungu awajalie maisha marefu wamiliki wa Puma Energy Tanzania

GAPCO nao vipi?.
 
Mimi Nina mentality ya kijewish au kijapani, huwa napenda zaidi output ya kile ninachokifanya ambacho ni kipimo Cha ufanisi wangu, mshaara kwangu ni secondary thing to consider
Hiyo mentality yako inafaa ukiwa umejiajiri

Hauwezi Ku offer ubora ikiwa hakuna incentives mbali mbali

Unadaiwa Ada za watoto
Kodi ya Nyumba
Mafuta ya gari

Then utoe ufanisi kazini hakuna kitu utakuwa kama walimu tu
 

Wamejua siri ya biashara.ukilipa vizuri staff wanafanya vizuri pia.ukiwabana utasumbuka pia maana watatafuta namna ya ku survive kwa njia ambayo itakuathiri pia.Ila pia naona kama gap yao kubwa sana.Kwani Victoria na Total Energies wao imekaeje?.maana nanaona hao ni makampuni yanayoikaribia karibia kwa mbali Puma
 
Bakheresa na Mo wao wameamua kuwafuraisha watawala... wafanyakazi unaambiwa huwezi kutajirikia kwa mtu katafungue kampuni yako ujilipe unavyotaka!
 
Hii ni igizo la wapi?
 
Kabisa za kuambiwa changanya na za kwako.
Vp migodini? na ktk miradi fedenge watu anapopiga JANGUSHO kimya kimya.
 
Mimi Nina mentality ya kijewish au kijapani, huwa napenda zaidi output ya kile ninachokifanya ambacho ni kipimo Cha ufanisi wangu, mshaara kwangu ni secondary thing to consider
Endelea mkuu kupenda kazi. Lakini huwezi kupenda kazi ukiwa na njaa, hujalipia ada watoto, mkeo/mwanao akiumwa huna uhakika wa matibabu yake, usafir asubuhi wagombania daladala au mwendokas masaa 2 upo stand. Then uwe wawaza kazi kwanza kuliko mshahara basi utakua vizuri.
 
1.PUMA
2.ORYX'S
3.TOTAL
 
Boss anafunga turnover ya billion 6 kila mwezi halafu wafanyakazi anawalipa laki 3/3 bila aibu halafu mkiishi nae,,, oh vijana wa kitanzania wezi sana🤣!

Hakuna mtu anapenda kusindikiza mwenzake kwenye utajiri.
Inafikirisha sana mtu unamuingizia faida kubwa ila ww umsindikize kwenye utajiri
Ila kufanya kazi na ma boss wahindi jau sanaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…