Mwenyezi Mungu awajalie maisha marefu wamiliki wa Puma Energy Tanzania

Mwenyezi Mungu awajalie maisha marefu wamiliki wa Puma Energy Tanzania

Kazi zote zilizopo PUMA na Bhakresa zipo yaani mlinzi wa PUMA analipwa lukuki kuliko hao uliowasema na wanacholinda kinalingana ?

Pili Ushindani upo vipi ? Sababu huenda ile Mo Energy, Azam na Jambo Energy tofauti ya Profit na Loss ni kiasi gani Kuli ananyonywa... Anyway welcome to Capitalist Environment ambapo profits means cutting costs to the bare minimum...

View attachment 3161432

By the way PUMA inamilikiwa na Nusu kwa Nusu (Serikali na Puma Investments Limited)..., Thus next time unavyosema private sectors zinatoa zaidi faida kwa wamiliki tambua kwamba wanabana matumizi na moja ya matumizi hayo ni nguvu kazi...
GAPCO nao vipi?.
 
Mimi Nina mentality ya kijewish au kijapani, huwa napenda zaidi output ya kile ninachokifanya ambacho ni kipimo Cha ufanisi wangu, mshaara kwangu ni secondary thing to consider
Hiyo mentality yako inafaa ukiwa umejiajiri

Hauwezi Ku offer ubora ikiwa hakuna incentives mbali mbali

Unadaiwa Ada za watoto
Kodi ya Nyumba
Mafuta ya gari

Then utoe ufanisi kazini hakuna kitu utakuwa kama walimu tu
 
Inategemeana position lakini pale kima cha chini kabisa kwa mtu ambae ni seal man, aliemaliza form four nizaid ya 900K. Mtu ngazi ya officer hamna hamna analamba zaid ya 4.5M na Kila mwaka Kuna increments. Lakini pia wanapigwa bonus Kila mwaka. Uki sign contract (Renew) unaweza shangaa umepigwa hata mil 50 kama Bonus yakuongezewa mkataba. Hao ni officers tu sasa ukienda supervisors ndio balaa na niwabongo wenzetu tu hao.

Sasa wewe unaesubil ustaafu ndio upate mil 80 au 100 kama nssf Yako, pale watu wanazipiga kama bonus hizo baada ya ku renew mkataba.

Wamejua siri ya biashara.ukilipa vizuri staff wanafanya vizuri pia.ukiwabana utasumbuka pia maana watatafuta namna ya ku survive kwa njia ambayo itakuathiri pia.Ila pia naona kama gap yao kubwa sana.Kwani Victoria na Total Energies wao imekaeje?.maana nanaona hao ni makampuni yanayoikaribia karibia kwa mbali Puma
 
Sidhani kama Kuna Private energy company inayolipa vizuri kama Puma, na kufata taratibu na Sheria za kazi.

Kiukweli Mungu awaweke na kuwapa maisha marefu maboss wa PUMA, nyie nimfano mzuri wakuigwa.

Natamani Bakharesa & MO na makampuni mengine yaige namna yakuwapa thaman wafanyakazi wao kama PUMA inavyofanya licha ya mishahara mizuri lakini bado bonus za kutosha.

Wenye PUMA mbarikiwe huko duniani mlipo.

"Nimenukuu maneno ya mfanyakaz wa PUMA, Kipindi napiga nae story Leo."
Bakheresa na Mo wao wameamua kuwafuraisha watawala... wafanyakazi unaambiwa huwezi kutajirikia kwa mtu katafungue kampuni yako ujilipe unavyotaka!
 
Inategemeana position lakini pale kima cha chini kabisa kwa mtu ambae ni seal man, aliemaliza form four nizaid ya 900K. Mtu ngazi ya officer hamna hamna analamba zaid ya 4.5M na Kila mwaka Kuna increments. Lakini pia wanapigwa bonus Kila mwaka. Uki sign contract (Renew) unaweza shangaa umepigwa hata mil 50 kama Bonus yakuongezewa mkataba. Hao ni officers tu sasa ukienda supervisors ndio balaa na niwabongo wenzetu tu hao.

Sasa wewe unaesubil ustaafu ndio upate mil 80 au 100 kama nssf Yako, pale watu wanazipiga kama bonus hizo baada ya ku renew mkataba.
Hii ni igizo la wapi?
 
Sidhani kama Kuna Private energy company inayolipa vizuri kama Puma, na kufata taratibu na Sheria za kazi.

Kiukweli Mungu awaweke na kuwapa maisha marefu maboss wa PUMA, nyie nimfano mzuri wakuigwa.

Natamani Bakharesa & MO na makampuni mengine yaige namna yakuwapa thaman wafanyakazi wao kama PUMA inavyofanya licha ya mishahara mizuri lakini bado bonus za kutosha.

Wenye PUMA mbarikiwe huko duniani mlipo.

"Nimenukuu maneno ya mfanyakaz wa PUMA, Kipindi napiga nae story Leo."
Kabisa za kuambiwa changanya na za kwako.
Vp migodini? na ktk miradi fedenge watu anapopiga JANGUSHO kimya kimya.
 
Mimi Nina mentality ya kijewish au kijapani, huwa napenda zaidi output ya kile ninachokifanya ambacho ni kipimo Cha ufanisi wangu, mshaara kwangu ni secondary thing to consider
Endelea mkuu kupenda kazi. Lakini huwezi kupenda kazi ukiwa na njaa, hujalipia ada watoto, mkeo/mwanao akiumwa huna uhakika wa matibabu yake, usafir asubuhi wagombania daladala au mwendokas masaa 2 upo stand. Then uwe wawaza kazi kwanza kuliko mshahara basi utakua vizuri.
 
Wamejua siri ya biashara.ukilipa vizuri staff wanafanya vizuri pia.ukiwabana utasumbuka pia maana watatafuta namna ya ku survive kwa njia ambayo itakuathiri pia.Ila pia naona kama gap yao kubwa sana.Kwani Victoria na Total Energies wao imekaeje?.maana nanaona hao ni makampuni yanayoikaribia karibia kwa mbali Puma
1.PUMA
2.ORYX'S
3.TOTAL
 
Boss anafunga turnover ya billion 6 kila mwezi halafu wafanyakazi anawalipa laki 3/3 bila aibu halafu mkiishi nae,,, oh vijana wa kitanzania wezi sana🤣!

Hakuna mtu anapenda kusindikiza mwenzake kwenye utajiri.
Inafikirisha sana mtu unamuingizia faida kubwa ila ww umsindikize kwenye utajiri
Ila kufanya kazi na ma boss wahindi jau sanaa
 
Back
Top Bottom