Mwenyezi Mungu awajalie maisha marefu wamiliki wa Puma Energy Tanzania

Mwenyezi Mungu awajalie maisha marefu wamiliki wa Puma Energy Tanzania

Kijana wa kitanzania akiajiriwa sehemu yoyote ile kitu Cha kwanza kinachomuijia akilin ni namna gani atatimiza malengo yake binafsi kwa haraka kupitia kazi hiyo na atafanya juu chini hili ajue kama Kuna mwanya wowote wa kujiingizia pato la ziada kinyume na utaratibu(ubadhirifu) nje na mshaara anaolipwa..... Na ikitokea amekosa loophole yoyote ya upigaji anajikuta ghafla anauchukia hiyo kazi.

Ni wachache sana ambao huwa wanafikiria kuleta ufanisi wao kwa 100%, wao vipaumbele vyao ni mishaara na upigaji.

Muda wa kazi wenyewe hawautumii ipasvyo, unakuta wakienda kunywa chai wanatumia masaa 2 na Bado wakiwa wanafanya kazi concentration hamna, muda mwingi simu ziko mkononi anaangalia nini kinatrend mjini,
Huwa nachukia watu wanaowasema vijana wakibongo hivi, vijana wakibongo vile. Kwani ni raia wa nchi gani ambao sio wapigaji?. Kwenye Kila taifa lazima liwe na hao watu. Au kwa vile mnaajiri wahindi wanawaibia kisha wanaenda kujenga magorofa kwao kwa vile hampajui wanapotoka basi mnadhani wao sio wapigaji?. Na kama nihivyo mbona tunaona baadhi ya wabongo wameshika nyadhifa nzuri tu kwenye baadhi ya private company?.

Boss yeyote anaejielewa atahakikisha mfanyakaazi wake hawazi chakula na maradhi hivyo inakua ni uhakika Ili kumpa utulivu wa akili afanye kazi vizuri.

Mtu anafanya kazi wamlipa let's say mil 7 per month au 10. Chakwanza atakachokiwaza nikutimiza majukumu yake Ili asipoteze hio kazi.

Wewe unalipa mtu laki Tano, sijui laki 8 unataka asikuibie?. Huku wewe unaingiza mabilion ya Fedha?. Waajir lipen wafanyakazi wenu kadri ya mapato yenu. Otherwise mtaibiwa mbaki mnalialia.
 
Mimi Nina mentality ya kijewish au kijapani, huwa napenda zaidi output ya kile ninachokifanya ambacho ni kipimo Cha ufanisi wangu, mshaara kwangu ni secondary thing to consider
Huwezi timiza majukumu yako vizuri, ukiwa namawazo yachakula au ada, au Kodi. Jambo la kwanza ni mental health ndio ufanisi wa kazi hufuata.
 
Huwezi timiza majukumu yako vizuri, ukiwa namawazo yachakula au ada, au Kodi. Jambo la kwanza ni mental health ndio ufanisi wa kazi utafuata.
Na ndio maana mzungu atahakikisha huna mawazo ya ada, transport, communication, accomodation pamoja na health costs. Kisha anakupa kazi yake uifanye kwa ufanisi. Ukishindwa ku deliver hapo ana assume wewe ni bomu kabisa 🤣
 
Na ndio maana mzungu atahakikisha huna mawazo ya ada, transport, communication, accomodation pamoja na health costs. Kisha anakupa kazi yake uifanye kwa ufanisi. Ukishindwa ku deliver hapo ana assume wewe ni bomu kabisa 🤣
Nikweli mkuu, nahawa Hawa ndio wanasema wazungu wanalipa vizuri.wakiwa hawajui lengo hasa ni nini na kwa nini wanalipa vizuri. Wao waendelee kutulipa laki 5 kisha watulaumu tuko tayari kupokea lawama zao kwamba tumewapiga.
 
Puma wanamwaga pesa sana, nakumbuka kipindi nmemaliza kidato cha sita nlifanya nao kazi kama Data collector kwenye kampuni moja ya tafiti za masoko. Task ilikua ni kuhoji watumiaji na wasio watumiaji wa Puma petrol station, kwa mwezi mmoja nakumbuka nililipwa 1.4M plus posho za kila siku ilifika kama 1.7M
Hio Kampuni nina hakika hawajaingiza wahindi kwenye Top Management anayetawala ni mzungu😁!

Siku akiingizwa gabacholi muje muurudie uzi huu. Tucheke kwa pamoja.
 
Huwa nachukia watu wanaowasema vijana wakibongo hivi, vijana wakibongo vile. Kwani ni raia wa nchi gani ambao sio wapigaji?. Kwenye Kila taifa lazima liwe na hao watu. Au kwa vile mnaajiri wahindi wanawaibia kisha wanaenda kujenga magorofa kwao kwa vile hampajui wanapotoka basi mnadhani wao sio wapigaji?. Na kama nihivyo mbona tunaona baadhi ya wabongo wameshika nyadhifa nzuri tu kwenye baadhi ya private company?.

Boss yeyote anaejielewa atahakikisha mfanyakaazi wake hawazi chakula na maradhi hivyo inakua ni uhakika Ili kumpa utulivu wa akili afanye kazi vizuri.

Mtu anafanya kazi wamlipa let's say mil 7 per month au 10. Chakwanza atakachokiwaza nikutimiza majukumu yake Ili asipoteze hio kazi.

Wewe unalipa mtu laki Tano, sijui laki 8 unataka asikuibie?. Huku wewe unaingiza mabilion ya Fedha?. Waajir lipen wafanyakazi wenu kadri ya mapato yenu. Otherwise mtaibiwa mbaki mnalialia.
Boss anafunga turnover ya billion 6 kila mwezi halafu wafanyakazi anawalipa laki 3/3 bila aibu halafu mkiishi nae,,, oh vijana wa kitanzania wezi sana🤣!

Hakuna mtu anapenda kusindikiza mwenzake kwenye utajiri.
 
Huwa nachukia watu wanaowasema vijana wakibongo hivi, vijana wakibongo vile. Kwani ni raia wa nchi gani ambao sio wapigaji?. Kwenye Kila taifa lazima liwe na hao watu. Au kwa vile mnaajiri wahindi wanawaibia kisha wanaenda kujenga magorofa kwao kwa vile hampajui wanapotoka basi mnadhani wao sio wapigaji?. Na kama nihivyo mbona tunaona baadhi ya wabongo wameshika nyadhifa nzuri tu kwenye baadhi ya private company?.

Boss yeyote anaejielewa atahakikisha mfanyakaazi wake hawazi chakula na maradhi hivyo inakua ni uhakika Ili kumpa utulivu wa akili afanye kazi vizuri.

Mtu anafanya kazi wamlipa let's say mil 7 per month au 10. Chakwanza atakachokiwaza nikutimiza majukumu yake Ili asipoteze hio kazi.

Wewe unalipa mtu laki Tano, sijui laki 8 unataka asikuibie?. Huku wewe unaingiza mabilion ya Fedha?. Waajir lipen wafanyakazi wenu kadri ya mapato yenu. Otherwise mtaibiwa mbaki mnalialia.
Mtu anaelipwa 7m per month anapiga kazi kinoma. Huwezi kuta anategea
 
Natamani Bakharesa & MO na makampuni mengine yaige namna yakuwapa thaman wafanyakazi wao kama PUMA inavyofanya licha ya mishahara mizuri lakini bado bonus za kutosha.
Kazi zote zilizopo PUMA na Bhakresa zipo yaani mlinzi wa PUMA analipwa lukuki kuliko hao uliowasema na wanacholinda kinalingana ?

Pili Ushindani upo vipi ? Sababu huenda ile Mo Energy, Azam na Jambo Energy tofauti ya Profit na Loss ni kiasi gani Kuli ananyonywa... Anyway welcome to Capitalist Environment ambapo profits means cutting costs to the bare minimum...

1732547269675.png


By the way PUMA inamilikiwa na Nusu kwa Nusu (Serikali na Puma Investments Limited)..., Thus next time unavyosema private sectors zinatoa zaidi faida kwa wamiliki tambua kwamba wanabana matumizi na moja ya matumizi hayo ni nguvu kazi...
 
Back
Top Bottom