Mwenyezi Mungu huleta nusura yake kimaajabu- Huenda Ukombozi wa Wapalestina utapitia Iran

Mwenyezi Mungu huleta nusura yake kimaajabu- Huenda Ukombozi wa Wapalestina utapitia Iran

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema halali usingizi, na anaona kila kitu kinachoendelea katika matendo ya wanadamu.

Katika nyakati mbalmbali katika historia ya mwanadamu Mwenyezi Mungu ametoa msaada na kunusuru wanaodhulumiwa pale ambapo usingetegemea.

Binafsi naanza kufikiri kuwa Mapinduzi ya Iran ya mwaka 1979 huenda ni mpango wa Mungu kuwanusru wapalestina. Hata ukiangalia survival ya mapinduzi yenyewe mpaka leo ni maajabu.

1. Miaka miwili baada ya mapinduzi ya kiislamu ya Iran nchi hiyo yashambuliwa na Irak ikisaidiwa na Marekani, USSR na nchi za kiarabu

Katika kipindi kigumu cha nchi ya Iran ni pale, Iran iliposhambuliwa na Iraki, huku Iraki ikipewa msaada wa mahela, silaha kutoka kwa nchi zenye nguvu mno kijeshi za wakati huo yaani USA pamoja na USSR na at the same time nchi za kiarabu zikimgea Saddam mihela mingimngi, huku nchi kam Ujerumani zikimgea Saddam silaha za Sumu za kuwaua wairan. Katika hiyo vta Iran alisimama mwenyewe na kupigana kwa miaka minane

2. Iran imeshikwa shati kwenye mambo ya uchumi kutokana na vikwazo lakini inasimama kiume

Kama kuna nchi zilizoshindiliwa vikwazo na nchi za West basi ni Iran, hata hivyo pamoja na vikwazo hivyo, Iran imeweza kujitegemea yenyewe katika mahitaji ya ndani, zana za kijeshi na imefikia hatua hata ya kupeleka sattelite angani. Hili taifa siyo la kubeza.

3. Historia inaonyesha wale waonevu mwisho wao huwa mbaya

Japan ilikuwa na mambo hayahaya ya kiboya ya kuonea majirani zake, ilichapa wachina, ikachapa korea, lakini mwisho wake Mungu akainua mataifa ya kuipa kibano, leo hii imetulia tuli. Hivyohivyo Hitler alichapachapa nchi za ulaya na pale alipobakisha chini ya kilometa 30 kuingia Moscow kibao kikamgeukia, akaanza kupigwa mpaka jeshi la WanaZi likarudishwa berlin iliyokuja kuanguka. Israel ianyojiona ina nguvu leo ijitazame, Huenda hili Taifa la Iran likageuka shubiri kwao.

4. Vita vya Badr, Uvamizi wa Mongols na jeshi la crusaders

Vita vya badr ni muujiza katika miujiza ya vita, waislamu chini ya uongozi wa mtume Muhammad ambao kwa namna zote walikuwa dhaifu kijeshi kulinganisha na mahasimu wao lakini waislamu walishinda, Wamongol walikuwa na jeshi kubwa lenye nguvu mno ambalo lilishapiga east asia nzima lakini walizuiwa na Waislamu hapo middle east wasiweze kwenda hadi Europe

5. Jeshi la Pharaoh dhidi ya wana wa Israel

Jinsi wana wa israel walivyonyanyaswa, kuchinjwa na utawala wa firauni. kila mmoja anajua mwisho wa firauni

6. Wakiristu wa Yemen walivyokuwa wakichinjwa na mfalme myahudi wa dola ya Yemen

Mungu akamuinua mfalme Caleb wa Ethiopia aliyetuma jeshi kwenda kuwaokoa wakiristu hao ambao walikuwa wameshachinjwa na mfalme huyo katili wa yemen. Kisa hiki kimerokodiwa katika Qur'an tukufu (Suratul Buruj). Kwa wanaotaka kujua kuhusu hiki kisa qoogle kuhusu Saint Caleb, the Ethiopian emperor aliyetawala zaidi ya miaka 1500 iliyopita

SASA KUHUSU PALESTINE:

Huenda Nusura ya Wapalestina inapitia Tehran. Hata hivyo nusura yao huenda ikaumiza maelfu na maelfu ya watu, Itaumiza wale wanaoona wapalestina wanaonewa lakini hawafanyi chochote, hizo nchi za kiarabu zenye nguvu ya kutumia uchumi wao kuleta nusura kwa wapalestina lakini hawafanyi hivyo nao wataumia maana vita ikitokea lazima na nyenzo za uchumi wao nazo zitaathirika vibaya mno. Nusura yao huenda ikapatikana baada ya vita kali itakayoathiri dunia nzima, kitu kitakacholazimisha mataifa yaseme enough is enough. Kila mtu ataumia pale bei ya petroli itakapofika shilingi 10000 kwa lita!.

Huenda mapinduzi ya kiislamu ya Iran ikawa ni mpango wa Mungu kuinua Taifa litakoloweza kuzichapa na mazayuni ili kutengeneza mazingira ya ishu ya wapalestina kupatiwa suluhu.
 
Inshaallah kama ndio nusura yenyewe hio na bora ije sio kwa uonevu huu wanaoufanya wazayun kiukweli wangekua wanapiga jeshi husika hakuna mtu angepiga kelele huwezi kuua mtoto ambae hajui lolote linaloendelea ambae ni yatima yuko kambini ananjaa ya siku 2
 
Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema halali usingizi, na anaona kila kitu kinachoendelea katika matendo ya wanadamu.

Katika nyakati mbalmbali katika historia ya mwanadamu Mwenyezi Mungu ametoa msaada na kunusuru wanaodhulimiwa pale ambapo usingetegemea.

Binafsi naanza kufikiri kuwa Mapinduzi ya Iran ya mwaka 1979 huenda ni mpango wa Mungu kuwanusru wapalestina. Hata ukiangalia survival ya mapinduzi yenyewe mpaka leo ni maajabu.

1. Miaka miwili baada ya mapinduzi ya kiislamu ya Iran nchi hiyo yashambuliwa na Irak ikisaidiwa na Marekani, USSR na nchi za kiarabu

Katika kipindi kigumu cha nchi ya Iran ni pale, Iran iliposhambuliwa na Iraki, huku Iraki ikipewa msaada wa mahela, silaha kutoka kwa nchi zenye nguvu mno kijeshi za wakati huo yaani USA pamoja na USSR na at the same time nchi za kiarabu zikimgea Saddam mihela mingimngi, huku nchi kam Ujerumani zikimgea Saddam silaha za Sumu za kuwaua wairan. Katika hiyo vta Iran alisimama mwenyewe na kupigana kwa miaka minane

2. Iran imeshikwa shati kwenye mambo ya uchumi kutokana na vikwazo lakini inasimama kiume

Kama kuna nchi zilizoshindiliwa vikwazo na nchi za West basi ni Iran, hata hivyo pamoja na vikwazo hivyo, Iran imeweza kujitegemea yenyewe katika mahitaji ya ndani, zana za kijeshi na imefikia hatua hata ya kupeleka sattelite angani. Hili taifa siyo la kubeza.

3. Historia inaonyesha wale waonevu mwisho wao huwa mbaya

Japan ilikuwa na mambo hayahaya ya kiboya ya kuonea majirani zake, ilichapa wachina, ikachapa korea, lakini mwisho wake Mungu akainua mataifa ya kuipa kibano, leo hii imetulia tuli. Hivyohivyo Hitler alichapachapa nchi za ulaya na pale alipobakisha chini ya kilometa 30 kuingia Moscow kibao kikamgeukia, akaanza kupigwa mpaka jeshi la WanaZi likarudishwa berlin iliyokuja kuanguka. Israel ianyojiona ina nguvu leo ijitazame, Huenda hili Taifa la Iran likageuka shubiri kwao.

4. Vita vya Badr, Uvamizi wa Mongols na jeshi la crusaders

Vita vya badr ni muujiza katika miujiza ya vita, waislamu chini ya uongozi wa mtume Muhammad ambao kwa namna zote walikuwa dhaifu kijeshi kulinganisha na mahasimu wao, Wamongol walikuwa na jeshi kubwa lenye nguvu mno ambalo lilishapiga east asia nzima lakini walizuiwa na Waislamu hapo middle east wasiweze kwenda hadi Europe

5. Jeshi la Pharaoh dhidi ya wana wa Israel

Jinsi wana wa israel walivyonyanyaswa, kuchinjwa na utawala wa firauni. kila mmoja anajua mwisho wa firauni

6. Wakiristu wa Yemen walivyokuwa wakichinjwa na mfalme myahudi wa dola ya Yemen

Mungu akamuinua mfalme Caleb wa Ethiopia aliyetuma jeshi kwenda kuwaokoa wakiristu hao ambao walikuwa wameshachinjwa na mfalme huyo katili wa yemen. Kisa hiki kimerokodiwa katika Qur'an tukufu (Suratul Buruj). Kwa wanaotaka kujua kuhusu hiki kisa qoogle kuhusu Saint Caleb, the Ethiopian emperor aliyetawala zaidi ya miaka 1500 iliyopita

SASA KUHUSU PALESTINE:

Huenda Nusura ya Wapalestina inapitia Tehran. Hata hivyo nusura yao huenda ikaumiza maelfu na maelfu ya watu, Itaumiza wale wanaoona wapalestina wanaonewa lakini hawafanyi chochote, hizo nchi za kiarabu zenye nguvu ya kutumia uchumi wao kuleta nusura kwa wapalestina lakini hawafanyi hivyo nao wataumia maana vita ikitokea lazima na nyenzo za uchumi wao nazo zitaathirika vibaya mno. Nusura yao huenda ikapatikana baada ya vita kali itakayoathiri dunia nzima, kitu kitakacholazimisha mataifa yaseme enough is enough. Kila mtu ataumia pale bei ya petroli itakapofika shilingi 10000 kwa lita!.

Huenda mapinduzi ya kiislamu ya Iran ikawa ni mpango wa Mungu kuinua Taifa litakoloweza kuzichapa na mazayuni ili kutengeneza mazingira ya ishu ya wapalestina kupatiwa suluhu.
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Angekuwepo, kusingekuwa na vita kokote. Kusingewezekana kuwa na vita popote, muda wowote.
 
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na uoendo wote hayupo.

Angekuwepo, kusingekuwa na vita kokote. Kusingewezekana kuwa na vita popote, muda wowote.
Fear the moment, you fear the truth, and so just like a little rat you dig a psychological hole to hide yourself. Fear the moment for GOD exists and so do evil.
 
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Angekuwepo, kusingekuwa na vita kokote. Kusingewezekana kuwa na vita popote, muda wowote.

Busara zake si zako
Realm yake si yako
Wewe mwisho wako wa kufikiri ni 4 dimensions (kama ukiwa genius), yeye anajua yanayojiri katika dimensions zaidi ya hizo
 
Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema halali usingizi, na anaona kila kitu kinachoendelea katika matendo ya wanadamu.

Katika nyakati mbalmbali katika historia ya mwanadamu Mwenyezi Mungu ametoa msaada na kunusuru wanaodhulimiwa pale ambapo usingetegemea.

Binafsi naanza kufikiri kuwa Mapinduzi ya Iran ya mwaka 1979 huenda ni mpango wa Mungu kuwanusru wapalestina. Hata ukiangalia survival ya mapinduzi yenyewe mpaka leo ni maajabu.

1. Miaka miwili baada ya mapinduzi ya kiislamu ya Iran nchi hiyo yashambuliwa na Irak ikisaidiwa na Marekani, USSR na nchi za kiarabu

Katika kipindi kigumu cha nchi ya Iran ni pale, Iran iliposhambuliwa na Iraki, huku Iraki ikipewa msaada wa mahela, silaha kutoka kwa nchi zenye nguvu mno kijeshi za wakati huo yaani USA pamoja na USSR na at the same time nchi za kiarabu zikimgea Saddam mihela mingimngi, huku nchi kam Ujerumani zikimgea Saddam silaha za Sumu za kuwaua wairan. Katika hiyo vta Iran alisimama mwenyewe na kupigana kwa miaka minane

2. Iran imeshikwa shati kwenye mambo ya uchumi kutokana na vikwazo lakini inasimama kiume

Kama kuna nchi zilizoshindiliwa vikwazo na nchi za West basi ni Iran, hata hivyo pamoja na vikwazo hivyo, Iran imeweza kujitegemea yenyewe katika mahitaji ya ndani, zana za kijeshi na imefikia hatua hata ya kupeleka sattelite angani. Hili taifa siyo la kubeza.

3. Historia inaonyesha wale waonevu mwisho wao huwa mbaya

Japan ilikuwa na mambo hayahaya ya kiboya ya kuonea majirani zake, ilichapa wachina, ikachapa korea, lakini mwisho wake Mungu akainua mataifa ya kuipa kibano, leo hii imetulia tuli. Hivyohivyo Hitler alichapachapa nchi za ulaya na pale alipobakisha chini ya kilometa 30 kuingia Moscow kibao kikamgeukia, akaanza kupigwa mpaka jeshi la WanaZi likarudishwa berlin iliyokuja kuanguka. Israel ianyojiona ina nguvu leo ijitazame, Huenda hili Taifa la Iran likageuka shubiri kwao.

4. Vita vya Badr, Uvamizi wa Mongols na jeshi la crusaders

Vita vya badr ni muujiza katika miujiza ya vita, waislamu chini ya uongozi wa mtume Muhammad ambao kwa namna zote walikuwa dhaifu kijeshi kulinganisha na mahasimu wao, Wamongol walikuwa na jeshi kubwa lenye nguvu mno ambalo lilishapiga east asia nzima lakini walizuiwa na Waislamu hapo middle east wasiweze kwenda hadi Europe

5. Jeshi la Pharaoh dhidi ya wana wa Israel

Jinsi wana wa israel walivyonyanyaswa, kuchinjwa na utawala wa firauni. kila mmoja anajua mwisho wa firauni

6. Wakiristu wa Yemen walivyokuwa wakichinjwa na mfalme myahudi wa dola ya Yemen

Mungu akamuinua mfalme Caleb wa Ethiopia aliyetuma jeshi kwenda kuwaokoa wakiristu hao ambao walikuwa wameshachinjwa na mfalme huyo katili wa yemen. Kisa hiki kimerokodiwa katika Qur'an tukufu (Suratul Buruj). Kwa wanaotaka kujua kuhusu hiki kisa qoogle kuhusu Saint Caleb, the Ethiopian emperor aliyetawala zaidi ya miaka 1500 iliyopita

SASA KUHUSU PALESTINE:

Huenda Nusura ya Wapalestina inapitia Tehran. Hata hivyo nusura yao huenda ikaumiza maelfu na maelfu ya watu, Itaumiza wale wanaoona wapalestina wanaonewa lakini hawafanyi chochote, hizo nchi za kiarabu zenye nguvu ya kutumia uchumi wao kuleta nusura kwa wapalestina lakini hawafanyi hivyo nao wataumia maana vita ikitokea lazima na nyenzo za uchumi wao nazo zitaathirika vibaya mno. Nusura yao huenda ikapatikana baada ya vita kali itakayoathiri dunia nzima, kitu kitakacholazimisha mataifa yaseme enough is enough. Kila mtu ataumia pale bei ya petroli itakapofika shilingi 10000 kwa lita!.

Huenda mapinduzi ya kiislamu ya Iran ikawa ni mpango wa Mungu kuinua Taifa litakoloweza kuzichapa na mazayuni ili kutengeneza mazingira ya ishu ya wapalestina kupatiwa suluhu.
umetumia neno zuri "huenda" ina maana huna uhakika na huyu mungu wako unayejinadi naye!
 
Mkuu hapo chini maelezo sijaelewa, yaani Mfalme myahudi katawala waarabu wa Yemen?!

Wakiristu wa Yemen walivyokuwa wakichinjwa na mfalme myahudi wa dola ya Yemen

Mungu akamuinua mfalme Caleb wa Ethiopia aliyetuma jeshi kwenda kuwaokoa wakiristu hao ambao walikuwa wameshachinjwa na mfalme huyo katili wa yemen. Kisa hiki kimerokodiwa katika Qur'an tukufu (Suratul Buruj). Kwa wanaotaka kujua kuhusu hiki kisa qoogle kuhusu Saint Caleb, the Ethiopian emperor aliyetawala zaidi ya miaka 1500
 
Israel inapigana vita na zaidi ya vikundi Saba, nashindwa kuwaelewa waarabu hao, yaani kwa population ya wa-israeli wanashindwa kuungana kuwasaidia wapalestina? Israel ina eneo dogo sana kiasi kwamba tunashangaa kuiona Israel ipo hapo ilipo mpka sasa
hii ni kumaanisha waisrael wanaposema Mungu wao anawasaidia huwa sio utani maana kwa macho inadhihirika hivi kwa jamii yoote ya waarabu pamoja na jamii zinazowasaidia akiwemo ibilisi iran waliwahi hata kudhani tu kwamba pagers, laptops, solar panels, mobile phones za magaidi zingelipuliwa! na hapo Israel wanasema kwenye akiba yao bado wana namna nyingi mnooo za kuwasuprse magaidi ya mtume mudi.
 
Fear the moment, you fear the truth, and so just like a little rat you dig a psychological hole to hide yourself. Fear the moment for GOD exists and so do evil.
That God (the all knowing, all capable and all loving) existing alongside evil is a contradiction.

The two are mutually exclusive.

Either evil exists, and that God doesn't.

Or that God exists, and evil doesn't.

Evil exists.

Therefore, that God doesn't
 
That God (the all knowing, all capable and all loving) existing alongside evil is a contradiction.

The two are mutually exclusive.

Either evil exists, and that God doesn't.

Or that God exists, and evil doesn't.

Evil exists.

Therefore, that God doesn't
The great mysteries of the world hide from people like you because you can't open up your mind to even comprehend the little thing about quantum physics.
 
That God (the all knowing, all capable and all loving) existing alongside evil is a contradiction.

The two are mutually exclusive.

Either evil exists, and that God doesn't.

Or that God exists, and evil doesn't.

Evil exists.

Therefore, that God doesn't
On basis of arguments of quantum physics, it's logic for me to say everything comes into existence as soon as we observe it, nothing is a wretched bungle here, the description of reality it's nearly or not at all be proven on the regard of it's physicality, just because we don't see something it doesn't mean it's not there that is why electron behaves different when observed compared to when it's not being observed.
 
Back
Top Bottom