Mwenyezi Mungu huleta nusura yake kimaajabu- Huenda Ukombozi wa Wapalestina utapitia Iran

Mwenyezi Mungu huleta nusura yake kimaajabu- Huenda Ukombozi wa Wapalestina utapitia Iran

Kabla ujio wa mungu wenu, kuna miungu mingi ilijaribu kuwafuta Wayahudi, kulikua hata na mungu baal, dagon, na wote hao walishindwa maana Mungu Muumba wa bingu na nchi hawezi kuruhusu watu wake wafutwe kwenye uso wa dunia.
 
Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema halali usingizi, na anaona kila kitu kinachoendelea katika matendo ya wanadamu.

Katika nyakati mbalmbali katika historia ya mwanadamu Mwenyezi Mungu ametoa msaada na kunusuru wanaodhulimiwa pale ambapo usingetegemea.

Binafsi naanza kufikiri kuwa Mapinduzi ya Iran ya mwaka 1979 huenda ni mpango wa Mungu kuwanusru wapalestina. Hata ukiangalia survival ya mapinduzi yenyewe mpaka leo ni maajabu.

1. Miaka miwili baada ya mapinduzi ya kiislamu ya Iran nchi hiyo yashambuliwa na Irak ikisaidiwa na Marekani, USSR na nchi za kiarabu

Katika kipindi kigumu cha nchi ya Iran ni pale, Iran iliposhambuliwa na Iraki, huku Iraki ikipewa msaada wa mahela, silaha kutoka kwa nchi zenye nguvu mno kijeshi za wakati huo yaani USA pamoja na USSR na at the same time nchi za kiarabu zikimgea Saddam mihela mingimngi, huku nchi kam Ujerumani zikimgea Saddam silaha za Sumu za kuwaua wairan. Katika hiyo vta Iran alisimama mwenyewe na kupigana kwa miaka minane

2. Iran imeshikwa shati kwenye mambo ya uchumi kutokana na vikwazo lakini inasimama kiume

Kama kuna nchi zilizoshindiliwa vikwazo na nchi za West basi ni Iran, hata hivyo pamoja na vikwazo hivyo, Iran imeweza kujitegemea yenyewe katika mahitaji ya ndani, zana za kijeshi na imefikia hatua hata ya kupeleka sattelite angani. Hili taifa siyo la kubeza.

3. Historia inaonyesha wale waonevu mwisho wao huwa mbaya

Japan ilikuwa na mambo hayahaya ya kiboya ya kuonea majirani zake, ilichapa wachina, ikachapa korea, lakini mwisho wake Mungu akainua mataifa ya kuipa kibano, leo hii imetulia tuli. Hivyohivyo Hitler alichapachapa nchi za ulaya na pale alipobakisha chini ya kilometa 30 kuingia Moscow kibao kikamgeukia, akaanza kupigwa mpaka jeshi la WanaZi likarudishwa berlin iliyokuja kuanguka. Israel ianyojiona ina nguvu leo ijitazame, Huenda hili Taifa la Iran likageuka shubiri kwao.

4. Vita vya Badr, Uvamizi wa Mongols na jeshi la crusaders

Vita vya badr ni muujiza katika miujiza ya vita, waislamu chini ya uongozi wa mtume Muhammad ambao kwa namna zote walikuwa dhaifu kijeshi kulinganisha na mahasimu wao lakini waislamu walishinda, Wamongol walikuwa na jeshi kubwa lenye nguvu mno ambalo lilishapiga east asia nzima lakini walizuiwa na Waislamu hapo middle east wasiweze kwenda hadi Europe

5. Jeshi la Pharaoh dhidi ya wana wa Israel

Jinsi wana wa israel walivyonyanyaswa, kuchinjwa na utawala wa firauni. kila mmoja anajua mwisho wa firauni

6. Wakiristu wa Yemen walivyokuwa wakichinjwa na mfalme myahudi wa dola ya Yemen

Mungu akamuinua mfalme Caleb wa Ethiopia aliyetuma jeshi kwenda kuwaokoa wakiristu hao ambao walikuwa wameshachinjwa na mfalme huyo katili wa yemen. Kisa hiki kimerokodiwa katika Qur'an tukufu (Suratul Buruj). Kwa wanaotaka kujua kuhusu hiki kisa qoogle kuhusu Saint Caleb, the Ethiopian emperor aliyetawala zaidi ya miaka 1500 iliyopita

SASA KUHUSU PALESTINE:

Huenda Nusura ya Wapalestina inapitia Tehran. Hata hivyo nusura yao huenda ikaumiza maelfu na maelfu ya watu, Itaumiza wale wanaoona wapalestina wanaonewa lakini hawafanyi chochote, hizo nchi za kiarabu zenye nguvu ya kutumia uchumi wao kuleta nusura kwa wapalestina lakini hawafanyi hivyo nao wataumia maana vita ikitokea lazima na nyenzo za uchumi wao nazo zitaathirika vibaya mno. Nusura yao huenda ikapatikana baada ya vita kali itakayoathiri dunia nzima, kitu kitakacholazimisha mataifa yaseme enough is enough. Kila mtu ataumia pale bei ya petroli itakapofika shilingi 10000 kwa lita!.

Huenda mapinduzi ya kiislamu ya Iran ikawa ni mpango wa Mungu kuinua Taifa litakoloweza kuzichapa na mazayuni ili kutengeneza mazingira ya ishu ya wapalestina kupatiwa suluhu.
Waarabu waliweza kutumia silaha Yao vyema mwaka 1974 kuiadhibu Israel na Marekani na walifanikiwa.

Watawala wa Sasa wa kiarabu wote vibaraka tu, wapo kuhakikisha wanalinda maslahi ya Marekani eneo hilo Ili nao wahakikishiwe ulinzi wa falme zao.
 
Kwani Spiderman yupo mkuu!?
Ndio yupo, kama unamjua na umemtaja na umemtengenezea taswira basi yupo. Anaexist kwenye imagination zako. Kwani kuna jambo linalokuwepo bila kuwepo kwenye ulimwengu wa mawazo? Hata mandege yanayopaa na mavifaru yalikuwepo kwenye ulimwengu wa imagination kwanza.
 
Kisichokuwepo kina sifa ya kujicontradict chenyewe kiasi cha kuashiria kwamba ni uongo.

Dhana ya uwepo wa Mungu yenyewe tu imebeba sifa ya kisichokuwepo.
Inajicotradict wapi? Maandiko ya Dini ndo yanajicontradict sababu ya kutumia logic ila sio imani. Imani haina mipaka. Unaweza kuamini chochote, vyovyote sababu ulimwengu wa imani hauna mipaka ya kisayansi. Mipaka na logic vinakuja baada ya kuondoka kwenye hiyo realm ya kiimani na kuileta huku kwenye limitation.
 
Waarabu waliweza kutumia silaha Yao vyema mwaka 1974 kuiadhibu Israel na Marekani na walifanikiwa.

Watawala wa Sasa wa kiarabu wote vibaraka tu, wapo kuhakikisha wanalinda maslahi ya Marekani eneo hilo Ili nao wahakikishiwe ulinzi wa falme zao.

Iran imekataa kuwa kibaraka wa west ndiyo maana inaandamwa sana.
 
Kabla ujio wa mungu wenu, kuna miungu mingi ilijaribu kuwafuta Wayahudi, kulikua hata na mungu baal, dagon, na wote hao walishindwa maana Mungu Muumba wa bingu na nchi hawezi kuruhusu watu wake wafutwe kwenye uso wa dunia.

Wayahudi gani unaowazungumzia, Hawa wajukuu wa mfalme Bhulan wa Khazaria?
 
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Angekuwepo, kusingekuwa na vita kokote. Kusingewezekana kuwa na vita popote, muda wowote.
Wewe hujui Mungu Nini Au nani? Ungejua ,unafikiri Mungu ni Binadamu Ngoja nikupe siri Mungu ni kila kitu yaani Mungu ni system, ni mazingira ya set Natural principle na laws.Mungu ameka Kanuni na Sheria God is everything surrounding us
 
Wewe hujui Mungu Nini Au nani? Ungejua ,unafikiri Mungu ni Binadamu Ngoja nikupe siri Mungu ni kila kitu yaani Mungu ni system, ni mazingira ya set Natural principle na laws.Mungu ameka Kanuni na Sheria God is everything surrounding us
Hii ni kauli ya imani tu, hujathibitisha hilo.
 
Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema halali usingizi, na anaona kila kitu kinachoendelea katika matendo ya wanadamu.

Katika nyakati mbalmbali katika historia ya mwanadamu Mwenyezi Mungu ametoa msaada na kunusuru wanaodhulumiwa pale ambapo usingetegemea.

Binafsi naanza kufikiri kuwa Mapinduzi ya Iran ya mwaka 1979 huenda ni mpango wa Mungu kuwanusru wapalestina. Hata ukiangalia survival ya mapinduzi yenyewe mpaka leo ni maajabu.

1. Miaka miwili baada ya mapinduzi ya kiislamu ya Iran nchi hiyo yashambuliwa na Irak ikisaidiwa na Marekani, USSR na nchi za kiarabu

Katika kipindi kigumu cha nchi ya Iran ni pale, Iran iliposhambuliwa na Iraki, huku Iraki ikipewa msaada wa mahela, silaha kutoka kwa nchi zenye nguvu mno kijeshi za wakati huo yaani USA pamoja na USSR na at the same time nchi za kiarabu zikimgea Saddam mihela mingimngi, huku nchi kam Ujerumani zikimgea Saddam silaha za Sumu za kuwaua wairan. Katika hiyo vta Iran alisimama mwenyewe na kupigana kwa miaka minane

2. Iran imeshikwa shati kwenye mambo ya uchumi kutokana na vikwazo lakini inasimama kiume

Kama kuna nchi zilizoshindiliwa vikwazo na nchi za West basi ni Iran, hata hivyo pamoja na vikwazo hivyo, Iran imeweza kujitegemea yenyewe katika mahitaji ya ndani, zana za kijeshi na imefikia hatua hata ya kupeleka sattelite angani. Hili taifa siyo la kubeza.

3. Historia inaonyesha wale waonevu mwisho wao huwa mbaya

Japan ilikuwa na mambo hayahaya ya kiboya ya kuonea majirani zake, ilichapa wachina, ikachapa korea, lakini mwisho wake Mungu akainua mataifa ya kuipa kibano, leo hii imetulia tuli. Hivyohivyo Hitler alichapachapa nchi za ulaya na pale alipobakisha chini ya kilometa 30 kuingia Moscow kibao kikamgeukia, akaanza kupigwa mpaka jeshi la WanaZi likarudishwa berlin iliyokuja kuanguka. Israel ianyojiona ina nguvu leo ijitazame, Huenda hili Taifa la Iran likageuka shubiri kwao.

4. Vita vya Badr, Uvamizi wa Mongols na jeshi la crusaders

Vita vya badr ni muujiza katika miujiza ya vita, waislamu chini ya uongozi wa mtume Muhammad ambao kwa namna zote walikuwa dhaifu kijeshi kulinganisha na mahasimu wao lakini waislamu walishinda, Wamongol walikuwa na jeshi kubwa lenye nguvu mno ambalo lilishapiga east asia nzima lakini walizuiwa na Waislamu hapo middle east wasiweze kwenda hadi Europe

5. Jeshi la Pharaoh dhidi ya wana wa Israel

Jinsi wana wa israel walivyonyanyaswa, kuchinjwa na utawala wa firauni. kila mmoja anajua mwisho wa firauni

6. Wakiristu wa Yemen walivyokuwa wakichinjwa na mfalme myahudi wa dola ya Yemen

Mungu akamuinua mfalme Caleb wa Ethiopia aliyetuma jeshi kwenda kuwaokoa wakiristu hao ambao walikuwa wameshachinjwa na mfalme huyo katili wa yemen. Kisa hiki kimerokodiwa katika Qur'an tukufu (Suratul Buruj). Kwa wanaotaka kujua kuhusu hiki kisa qoogle kuhusu Saint Caleb, the Ethiopian emperor aliyetawala zaidi ya miaka 1500 iliyopita

SASA KUHUSU PALESTINE:

Huenda Nusura ya Wapalestina inapitia Tehran. Hata hivyo nusura yao huenda ikaumiza maelfu na maelfu ya watu, Itaumiza wale wanaoona wapalestina wanaonewa lakini hawafanyi chochote, hizo nchi za kiarabu zenye nguvu ya kutumia uchumi wao kuleta nusura kwa wapalestina lakini hawafanyi hivyo nao wataumia maana vita ikitokea lazima na nyenzo za uchumi wao nazo zitaathirika vibaya mno. Nusura yao huenda ikapatikana baada ya vita kali itakayoathiri dunia nzima, kitu kitakacholazimisha mataifa yaseme enough is enough. Kila mtu ataumia pale bei ya petroli itakapofika shilingi 10000 kwa lita!.

Huenda mapinduzi ya kiislamu ya Iran ikawa ni mpango wa Mungu kuinua Taifa litakoloweza kuzichapa na mazayuni ili kutengeneza mazingira ya ishu ya wapalestina kupatiwa suluhu.
allah hana akili, lazima apelekewe moto.
 
Inshaallah kama ndio nusura yenyewe hio na bora ije sio kwa uonevu huu wanaoufanya wazayun kiukweli wangekua wanapiga jeshi husika hakuna mtu angepiga kelele huwezi kuua mtoto ambae hajui lolote linaloendelea ambae ni yatima yuko kambini ananjaa ya siku 2
Tunaambiwa wanajeshi wanapenda kujificha kwenye majumba mitaani na sehemu kamahizo zenye mikusanyiko ya watu ilikukwepa kichapo.
 
Back
Top Bottom