Mwenyezi Mungu huleta nusura yake kimaajabu- Huenda Ukombozi wa Wapalestina utapitia Iran

Mwenyezi Mungu huleta nusura yake kimaajabu- Huenda Ukombozi wa Wapalestina utapitia Iran

You are seeing the word believe, in religious perspective and that's the big problem here,
When we say a ballistic missile will hit the target with 98.6 certainty, we believe that number will have a tangible results
What is believing?
 
Invisibility or visibility does not prove s9mething exists. It does not prove God exists.

I will give you an example.

When you look in the sky at night, you see many stars. These stars are so far away. The closest one, Proxima Centauri, in the Alpha Centauri star system, is about 4.246 light years away.

Light from this star takes 4.246 years to get to earth.

That means, when you are looking at the closest star to us (apart from the sun), you are not seeing it as it is right now, you are seeing it as it was sometime ago, sometime in our earth year 2020, that is when the light we see today from Proxima Centauri started its journey from that star.

So, if Proxima Centauri were to undergo a sudden supernovae and extinguish itself today, we would not know that right away. We will start to know that sometime in the year 2028.

So, when we look at Proxima Centauri today and say "There is Proxima Centauri, we know it exists now, because we can see it", that is a product of our ignorance. We do not know that Proxima Centauri exists now. We can't know this. Because light from Proxima Centauri takes 4.246 years to reach us.

This is only the closest star. There are stars that are millions of light years away from us. Our closest large galaxy neighbor, the Andromeda Galaxy, is some 2.5 million light years away.

That means, when we look at light from the Andromeda Galaxy, we do not see the galaxy as it is now, but we see it as it was some 2.5 million years away.

Light from the sun takes about 8 minutes and twenty seconds to get to us. That means, if the sun suddenly goes dark right now, we will not know that for another 8 minutes and 20 seconds.

So why are you putting so much importance on what we can see, while a lot of what we see doesn't even exist ( example dead stars that died million of years ago, but we still see them because of the speed of light limit)?

Why are you making visibility or invisibility important, if it cannot even tell us if something is there or not?
You write in a very logical sequence, you build your arguments in a logical way possible

Lakini kuna changamoto kidogo kuhusu hii forum nimeandika post mbili zote zimefutwa my intentions were pure to let people know about the hard truth about war lakini jamii forum wamezifuta zote bila kutoa sababu zenye mashiko, it has come to my attention that inawezekana jamii forum wanasupport vita au wapo umpande fulani au ni mamluki , kwanini wanaacha post zilizojaa ujinga na kufuta mind opening ones, something is fishy here. As the platinum member kindly help me out to raise awareness that war has no winner. It only bring anguish and vengeance
 
Israel inapigana vita na zaidi ya vikundi Saba, nashindwa kuwaelewa waarabu hao, yaani kwa population ya wa-israeli wanashindwa kuungana kuwasaidia wapalestina? Israel ina eneo dogo sana kiasi kwamba tunashangaa kuiona Israel ipo hapo ilipo mpka sasa
Kwani Israel anapigana peke yake,upo Dunia ya ngapi Mkuu,wewe ndio wale kuwa Ukraine ndogo inaizidije Russia hadi leo pasipo kujua kuwa Ukraine anasapotiwa na nchi za NATO nchi zote tajiri Duniani kiuchumi na kijeshi.Hivyo hivyo kwa Israel au usikilizagi news kila siku USA anapeleka misaada ya kijeshi Israel.
Hapo anayeougana sio Israel bali ni USA& UK dhidi ya Palesitana,Lebanoni na Irani.
 
You write in a very logical sequence, you build your arguments in a logical way possible

Lakini kuna changamoto kidogo kuhusu hii forum nimeandika post mbili zote zimefutwa my intentions were pure to let people know about the hard truth about war lakini jamii forum wamezifuta zote bila kutoa sababu zenye mashiko, it has come to my attention that inawezekana jamii forum wanasupport vita au wapo umpande fulani au ni mamluki , kwanini wanaacha post zilizojaa ujinga na kufuta mind opening ones, something is fishy here. As the platinum member kindly help me out to raise awareness that war has no winner. It only bring anguish and vengeance
We can talk about that separately.

I count Maxence Melo as a very dear friend of mine who is very progressive and receptive to genuine and constructive criticism.

In fact Max is the sort of fellow with enough grit and self awareness to give an ear even to some rubbish criticism without erupting, in a calm manner I wish I had. We started this JF journey together many years ago (hence the Platinum status) and he fought the hard fight. So we can definitely circle back to this with JF leadership to see hiw can we stay true to tge core principles if promoting freedom of expression touting JF per our motto "Where We Dare To Talk Openly".

You will have to prepare to particulars to build your case.

In the meantime, let us proceed with the topic at hand please.
 
Hiyo hoja yenu siyo mpya infact ilikuwa raised na malaika for the first time pale Mwenyezi Mungu alipowaambia kuwa anakusudia kuumba mtu ambaye atakuwa ndiye mfalme wa dunia, wakamjibu unaumbaje kiumbe ambacho kinaptential ya kumwaga damu, akawajibu kuwa YEYE ANAJUA WASIYOYAJUA!.

Kwa hiyo tulieni, Mungu ndiye mwenye busara katika yote ya kheri na shari
Basi huyo Mungu ni katili, mbaya na Muuaji kwa kuumba viumbe wenye kumwaga damu.

Na huyo Mungu hana hata chembe ya wema.

Huyo Mungu hafai kabisa kuitwa mwema na wala hastahili kabisa.
 
Hiyo hoja yenu siyo mpya infact ilikuwa raised na malaika for the first time pale Mwenyezi Mungu alipowaambia kuwa anakusudia kuumba mtu ambaye atakuwa ndiye mfalme wa dunia, wakamjibu unaumbaje kiumbe ambacho kinaptential ya kumwaga damu, akawajibu kuwa YEYE ANAJUA WASIYOYAJUA!.

Kwa hiyo tulieni, Mungu ndiye mwenye busara katika yote ya kheri na shari
Hujathibitisha Malaika yupo wala Mungu yupo.

Uwapo wa Malaika na Mungu haujathibitishwa kwa njia yoyote, ni hadithi za kiimani tu.

Thibitisha Mungu yupo.

Thibitisha Malaika wapo.
 
...

SASA KUHUSU PALESTINE:

Huenda Nusura ya Wapalestina inapitia Tehran. Hata hivyo nusura yao huenda ikaumiza maelfu na maelfu ya watu, Itaumiza wale wanaoona wapalestina wanaonewa lakini hawafanyi chochote, hizo nchi za kiarabu zenye nguvu ya kutumia uchumi wao kuleta nusura kwa wapalestina lakini hawafanyi hivyo nao wataumia maana vita ikitokea lazima na nyenzo za uchumi wao nazo zitaathirika vibaya mno. Nusura yao huenda ikapatikana baada ya vita kali itakayoathiri dunia nzima, kitu kitakacholazimisha mataifa yaseme enough is enough. Kila mtu ataumia pale bei ya petroli itakapofika shilingi 10000 kwa lita!.

Huenda mapinduzi ya kiislamu ya Iran ikawa ni mpango wa Mungu kuinua Taifa litakoloweza kuzichapa na mazayuni ili kutengeneza mazingira ya ishu ya wapalestina kupatiwa suluhu.

Sasa huyo Sir God, muweza wa yote, si amalize tu mzozo bila ulazima wa kuumiza au kuua binadamu wengine? Kuna haja gani ya kuruhusu watu wafe ndio wapalestina wapate nafuu?
 
Hujathibitisha Malaika yupo wala Mungu yupo.

Uwapo wa Malaika na Mungu haujathibitishwa kwa njia yoyote, ni hadithi za kiimani tu.

Thibitisha Mungu yupo.

Thibitisha Malaika wapo.
Anything that exist as subjective experiences within the mind is reality.
MUNGU yupo kwenye ulimwengu wa imani, kitu ambacho hakipo huwezi hata kukijua ukakitamka, ubongo wako hauna utambuzi juu ya uwepo wake hivyo huwezi kujadili sababu hakipo.
 
Basi huyo Mungu ni katili, mbaya na Muuaji kwa kuumba viumbe wenye kumwaga damu.

Na huyo Mungu hana hata chembe ya wema.

Huyo Mungu hafai kabisa kuitwa mwema na wala hastahili kabisa.
Shida iko kwako hekima ya Mungu ameumba kila kitu kutoka katika maji na ameumba kwa pair. Kwahio kila jambo au kitu kina pair yake na huo ndio ukamilifu equation iliyowekwa. Halafu Mungu anao viumbe ambao hawana evil na evil haiwakuti kabisa wao ni amani na furaha (angels) vilevile Kaumba wanadamu na majini wao wanakutana na vyote viwili pia so the problem is your ability to solve God's equation. Elimu yake na maarifa yake ni mapana zaidi ya uelewa wako wa just science and technology go beyond that na uwe free katika reasoning kuna jambo utaelewa
 
Binafsi najua MUNGU anaexist ila anaanzia kwenye imani lakini analeta matokeo katika ulimwengu huu halisi ndo maana mpaka leo kuna mambo yanafanyika sayansi inasema haina majibu hili jambo limewezekana vipi.
 
Hujathibitisha Malaika yupo wala Mungu yupo.

Uwapo wa Malaika na Mungu haujathibitishwa kwa njia yoyote, ni hadithi za kiimani tu.

Thibitisha Mungu yupo.

Thibitisha Malaika wapo.

Hata uwepo wako haujathibitishwa ila haukufanyi usiwepo.
Dunia nzima inauwezo wa kukuataa kuwa haupo japo upo hiyo haitakufanya usiwepo
 
Shida iko kwako hekima ya Mungu ameumba kila kitu kutoka katika maji na ameumba kwa pair. Kwahio kila jambo au kitu kina pair yake na huo ndio ukamilifu equation iliyowekwa. Halafu Mungu anao viumbe ambao hawana evil na evil haiwakuti kabisa wao ni amani na furaha (angels) vilevile Kaumba wanadamu na majini wao wanakutana na vyote viwili pia so the problem is your ability to solve God's equation. Elimu yake na maarifa yake ni mapana zaidi ya uelewa wako wa just science and technology go beyond that na uwe free katika reasoning kuna jambo utaelewa
Hakuna Mungu aliyeumba chochote.

Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.

Mnahangaika sana kumwelezea na kumuongelea huyo Mungu kwa vile hajawahi kuwepo na hayupo kujiongelea mwenyewe na kujidhihirisha mwenyewe kwamba yupo.
 
Hata uwepo wako haujathibitishwa ila haukufanyi usiwepo.
Dunia nzima inauwezo wa kukuataa kuwa haupo japo upo hiyo haitakufanya usiwepo
Uwepo wangu kutothibitika bado hauthibitishi Mungu yupo.

Ni hivi.

1. Kuna vitu vipo na vinathibitishika vipo.
2. Kuna vitu vipo na havithibitishiki vipo.
3. Kuna vitu havipo lakini vinaonekana kuthibitishika vipo.
4. Kuna vitu havipo na havithibitishiki vipo.

Njia pekee ya kuhakikisha kitu kipo ni kuthibitisha kipo kwa kina.

Thibitisha Mungu yupo.
 
Hakuna Mungu aliyeumba chochote.

Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.

Mnahangaika sana kumwelezea na kumuongelea huyo Mungu kwa vile hajawahi kuwepo na hayupo kujiongelea mwenyewe na kujidhihirisha mwenyewe kwamba yupo.
Sasa boss, Kwani huwa mnatafsiri vipi maana ya kuwepo, Kutokuwepo na Ulimwengu?

Maana kitu kisichokuwepo popote huwezi kukifahamu, Unakifahamu vipi na hakipo? Hayupo maana yake ni nini? Unalo hadi jina lake na unaliita kabisa "MUNGU"
 
S
Shida iko kwako hekima ya Mungu ameumba kila kitu kutoka katika maji na ameumba kwa pair. Kwahio kila jambo au kitu kina pair yake na huo ndio ukamilifu equation iliyowekwa. Halafu Mungu anao viumbe ambao hawana evil na evil haiwakuti kabisa wao ni amani na furaha (angels) vilevile Kaumba wanadamu na majini wao wanakutana na vyote viwili pia so the problem is your ability to solve God's equation. Elimu yake na maarifa yake ni mapana zaidi ya uelewa wako wa just science and technology go beyond that na uwe free katika reasoning kuna jambo utaelewa
Swali langu kwanini mungu aliumba majini wabaya????

"SO THE PROBLEM IS YOUR ABILITY TO SOLVE GOD'S EQUATION"
Kupitia kauli Yako hiyo hiyo ni kama umesema kuwa binadamu ana uamuzi wa kujichagulia kwenda motoni au peponi wakati huo ni uongo kwa mujibu wa vitabu vya dini hizi

Kwenye vitabu vya dini ya ngozi nyeupe vinasema Mungu/Allah anauwezo wa kujua lililopita, lililopo na lijalo, hapo vitabu vinaanisha kuwa MUNGU/Allah anauwezo wa kujua mtoto wako utakayemzaa miaka inayokuja atazaliwa vipi, atakuwa vipi, ataishi vipi maisha yake ya duniani na atakufa vipi na akifa kama ataenda peponi au motoni Mungu huyu anajua, Sasa nikisema MUNGU/Allah kamuumba mwanao ili aende motoni nitakuwa nakosea??? Au nikisema MUNGU kamuumba mwanao kampangia atende dhambi ili akamchome moto nitakuwa nakosea????

Kumbuka kabla hata hajamuumba tayari mungu alikwiahajua matendo yote ya mtoto wako kwa maisha yake yote hapa duniani na Bado mungu akamuumba
 
Kwani Israel anapigana peke yake,upo Dunia ya ngapi Mkuu,wewe ndio wale kuwa Ukraine ndogo inaizidije Russia hadi leo pasipo kujua kuwa Ukraine anasapotiwa na nchi za NATO nchi zote tajiri Duniani kiuchumi na kijeshi.Hivyo hivyo kwa Israel au usikilizagi news kila siku USA anapeleka misaada ya kijeshi Israel.
Hapo anayeougana sio Israel bali ni USA& UK dhidi ya Palesitana,Lebanoni na Irani.
Sijaelewa hata ulichokiandika
 
Back
Top Bottom