Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Hela ya sosho ishatoka huko?Mzuka wanaJF!
Baba Muumba wa mbingu na nchi na mkambidhi President Donald Trump achaguliwe tena muhula wake wa pili. View attachment 1618222
Silaha aliyoishika ni hatarii na ndio itamrudisha tena White House.
Die hard Trump supporter!
Machadema bangi tu, unamsapoti jinga jinga anayetuita nyani kweli!!?
Picha tu imekudanganya!Mzuka wanaJF!
Baba Muumba wa mbingu na nchi na mkambidhi President Donald Trump achaguliwe tena muhula wake wa pili. View attachment 1618222
Silaha aliyoishika ni hatarii na ndio itamrudisha tena White House.
Die hard Trump supporter!
Akilini mwangu huwaza hivyo kuwa Magu na Trump ni ndugu kwa tabia zao!Chakusikitisha zaidi ni kwamba hizi ulizozitaja zote zinafit kwa huyu wa kwetu hapa.
Hayo ndio matumizi sahihi ya irony
Halafu Trump si muumini wa kanisa lolote.Picha tu imekudanganya!
Usiende nje ya mada wala usirukeruke.Narudia nilichokiandika, kama Trump angejua kuna watu wa akili hizi huku, angetumia neno kali zaidi ya alilotumia.
Unanijua personal?
Kama hunijui basi hiyo inaprove kauli ya trump inaaply kwako.
Unauhakika na maneno yako hayo??!tatizo unakurupuka sana tu trump hawezi kuongea kitu kama hicho hayo ni maneno yako binafsi na fikra zako weweMachadema bangi tu, unamsapoti jinga jinga anayetuita nyani kweli!!?
Tayari ameanza kuiba kura
View attachment 1618698
We tuambie neno moja tu zuri ambalo Trump alinena kuhusu sisi weusiUnauhakika na maneno yako hayo??!tatizo unakurupuka sana tu trump hawezi kuongea kitu kama hicho hayo ni maneno yako binafsi na fikra zako wewe
Machadema hayajitambuiHuyu kaandika kwa chuki ya kushindwa sijawahi kuona marekani wamepata raisi kichaa kama miaka hii raisi anashinda tweeter kuliko wananchi wake
Ukweli ni mbaya siku zote kwa wasioelewaAlikosea?
Sithole! Unamzungumzia Ndabhaningi Sithole muasisi wa ZANU PF ya Zimbabwe?Jamaa nilikua namchukua sana kwa kauli zake juu ya Africa....lakn kwa nilio yashuhudia 28th namuunga mkono kwamba Africa yetu ni Shit hole kabisaa
Hela ya sosho ishatoka huko?
Nini wewee nut crackerNyolooooo
Unampenda Tirampu unamchukia Magu