Mwenyezi Mungu msaidie Trump ashinde uchaguzi kesho

Mwenyezi Mungu msaidie Trump ashinde uchaguzi kesho

Mzuka wanaJF!

Baba Muumba wa mbingu na nchi na mkambidhi President Donald Trump achaguliwe tena muhula wake wa pili. View attachment 1618222
Silaha aliyoishika ni hatarii na ndio itamrudisha tena White House.

Die hard Trump supporter!
Ilikuwa Obama USA
akawa JK Tz
Sasa ni Trump USA
Na sasa ni JPM Tz

Mwenye picha zao aweke hapa
 
Hata sitaki kuamini kuna thread kama hizi, ila ndiyo uhuru wa tulionawo TZ, sema chochote toka akilini na moyoni kwako bila kuvunja sheria na amani...
 
Pompeo anavyomkimbiza mzee baba bora ashinde Trump ili faili lisitupwe...uchaguzi kidogo tu lazima watu wapotezwe harafu mkiitwa shit hole mnakua wakali yaani watu hawathamini binadamu wanaona madaraka ni zaidi ya maisha ya watu...
 
Ndio.

Hujui kama huyo rais ni mzungu na ana superiority mindset sababu ya pesa zake.

Mzungu ni kawaida yake kumuona mwafrika si chochote.
Mzungu anamuona mwafrika si chochote si lolote kutokana na matendo ya viongozi wa Kiafrika dhidi ya WAAFRIKA wenzao! Tazama matendo ya viongozi wetu wa Kiafrika..... it's ridiculously [emoji27]
 
TRUMP chaliii mpaka mda huu ni 206 biden kwa 119 trump na zinahitajika 270 hili mtu ashinde
CHADEMA mwaka huu kazi mnayo
 
Kitabu kitakatifu alicho shika Trump kinakataa
-Uongo-Trump ndio rais muongo kuliko marais wote waliopata kuwepo Marekani.

-Uzinzi-Trump ndio Rais mzinzi kuliko wote .

-Ubaguzi-Trump ni mmoja wa marais wabaguzi sana kuliko wote waliopata kutoke Marekani

-Ukwepaji wa kodi -Trump ni mwizi wa kalamu. Halipi kodi na hajifichi.(hata kwa viwango vya Tanzania , mimi nalipa kodi kuliko yeye anaaye jiita bilionea)

-Ulaghai-Trump i rais mlaghai pengiine kuliko kiongozi wa juuyeyote kupata kutokea.

-Kukosa upendo-Trump hana upendo na mtu yeyote asiye na pesa, wal asiye katika kundi lake. Kama wewe utakufa kwa saabu ya shida yako yeye atakutakia heri tu na wala hakusaidii kwa lolote hata kama ana uwezo.

-Kisasi- Trump ni mtu wa kisasi sana. Ukikmkosea atahakikisha ana kufix, tela ile ya kimtaani. Ndivyo alivyo kua maishani mwake.

Mtoa mada hala fu kwa sifa hizo unamwita Trump mtu wa Mungu!
Aliposhika hiyo Biblia hata watu wa Mungu walishangaa maana Trump hana historia ya kusali wala kuabudu. Anatumia Biblia kisiasa tu.

Trump kwa kifupi ana sifa zote za Ibilisi.
JE KWANI AMESHAUWA BINAADAMU ? MAANA NDIYO SIFA KUU ILI UWE SHETANI KAMILI HATA MCHAWI AMAPOUA MTU NDIO HUWE AMEHITIMU Phd.
 
JE KWANI AMESHAUWA BINAADAMU ? MAANA NDIYO SIFA KUU ILI UWE SHETANI KAMILI HATA MCHAWI AMAPOUA MTU NDIO HUWE AMEHITIMU Phd.

Kazi ya kuuwa ni ya Mungu, yeye ndo mwenye mamlaka juu ya roho... shetani anaingiaje kama sio kumchafua tu!
 
JE KWANI AMESHAUWA BINAADAMU ? MAANA NDIYO SIFA KUU ILI UWE SHETANI KAMILI HATA MCHAWI AMAPOUA MTU NDIO HUWE AMEHITIMU Phd.
Hujaona waafrika wenzetu kina Floyd wanavyouwawa chini ya utawala wake?
Hitler aliua wayahudi milioni 6, yeye mwenyewe hakurusha risasi hata moja!
 
Naona Trump analialia sana Twitter na kuongea. Anataka uchaguzi usimamwishwe 🤣🤣😩😩. Electoral College Votes Trump 213 JB 225. Ila bado mtanange unaendekea ila Trump aliye madarakani anauogopa Mtanange anataka usimame
 
"We are up Big, they are trying to steal the election, we will never allow them to do it": Trump's voice🤣🤣🤣🤣. Nacheka kwa nguvu Beberu anapolialia sasa huku shutholes si ndiyo machozi ya damu?
 
Chama tawala wanaomba usiku na mchana Trump na biden wake washindwe hawajui kuwa hao Democrat ndio nooma zaidi na mambo ya kuminya watu yapo kwenye mafaili hata aingie nani watafanyia kazi...
 
Hujaona waafrika wenzetu kina Floyd wanavyouwawa chini ya utawala wake?
Hitler aliua wayahudi milioni 6, yeye mwenyewe hakurusha risasi hata moja!
Aliyekudanganya kwamba wale ni waafrika wenzetu ni nani.
Kumbuka mtu mweusi sio mwafrika.
Mwafrika ni mzaliwa wa bara la Afrika wale ni BLACK AMERICA
 
Kama vile Trump ataliwa kiboga 😂😂😂
 
Pompeo anavyomkimbiza mzee baba bora ashinde Trump ili faili lisitupwe...uchaguzi kidogo tu lazima watu wapotezwe harafu mkiitwa shit hole mnakua wakali yaani watu hawathamini binadamu wanaona madaraka ni zaidi ya maisha ya watu...
Democratic ndio balaa.

Wanafuatilia haki za binadamu mpaka nukta. Kikwete alijitahidi sana ila walimsumbua,bangekywa Magufuli angepat shida mnooo
 
Back
Top Bottom