Ilikuwa Obama USAMzuka wanaJF!
Baba Muumba wa mbingu na nchi na mkambidhi President Donald Trump achaguliwe tena muhula wake wa pili. View attachment 1618222
Silaha aliyoishika ni hatarii na ndio itamrudisha tena White House.
Die hard Trump supporter!
Lissu TZIlikuwa Obama USA
akawa JK Tz
Sasa ni Trump USA
Na sasa ni JPM Tz
Mwenye picha zao aweke hapa
Mzungu anamuona mwafrika si chochote si lolote kutokana na matendo ya viongozi wa Kiafrika dhidi ya WAAFRIKA wenzao! Tazama matendo ya viongozi wetu wa Kiafrika..... it's ridiculously [emoji27]Ndio.
Hujui kama huyo rais ni mzungu na ana superiority mindset sababu ya pesa zake.
Mzungu ni kawaida yake kumuona mwafrika si chochote.
JE KWANI AMESHAUWA BINAADAMU ? MAANA NDIYO SIFA KUU ILI UWE SHETANI KAMILI HATA MCHAWI AMAPOUA MTU NDIO HUWE AMEHITIMU Phd.Kitabu kitakatifu alicho shika Trump kinakataa
-Uongo-Trump ndio rais muongo kuliko marais wote waliopata kuwepo Marekani.
-Uzinzi-Trump ndio Rais mzinzi kuliko wote .
-Ubaguzi-Trump ni mmoja wa marais wabaguzi sana kuliko wote waliopata kutoke Marekani
-Ukwepaji wa kodi -Trump ni mwizi wa kalamu. Halipi kodi na hajifichi.(hata kwa viwango vya Tanzania , mimi nalipa kodi kuliko yeye anaaye jiita bilionea)
-Ulaghai-Trump i rais mlaghai pengiine kuliko kiongozi wa juuyeyote kupata kutokea.
-Kukosa upendo-Trump hana upendo na mtu yeyote asiye na pesa, wal asiye katika kundi lake. Kama wewe utakufa kwa saabu ya shida yako yeye atakutakia heri tu na wala hakusaidii kwa lolote hata kama ana uwezo.
-Kisasi- Trump ni mtu wa kisasi sana. Ukikmkosea atahakikisha ana kufix, tela ile ya kimtaani. Ndivyo alivyo kua maishani mwake.
Mtoa mada hala fu kwa sifa hizo unamwita Trump mtu wa Mungu!
Aliposhika hiyo Biblia hata watu wa Mungu walishangaa maana Trump hana historia ya kusali wala kuabudu. Anatumia Biblia kisiasa tu.
Trump kwa kifupi ana sifa zote za Ibilisi.
JE KWANI AMESHAUWA BINAADAMU ? MAANA NDIYO SIFA KUU ILI UWE SHETANI KAMILI HATA MCHAWI AMAPOUA MTU NDIO HUWE AMEHITIMU Phd.
👏👏👏👏👏Trump tena🙏
Hujaona waafrika wenzetu kina Floyd wanavyouwawa chini ya utawala wake?JE KWANI AMESHAUWA BINAADAMU ? MAANA NDIYO SIFA KUU ILI UWE SHETANI KAMILI HATA MCHAWI AMAPOUA MTU NDIO HUWE AMEHITIMU Phd.
Kwani Biden ni mwafrika?Ndio.
Hujui kama huyo rais ni mzungu na ana superiority mindset sababu ya pesa zake.
Mzungu ni kawaida yake kumuona mwafrika si chochote.
Hapana.Kwani Biden ni mwafrika?
Aliyekudanganya kwamba wale ni waafrika wenzetu ni nani.Hujaona waafrika wenzetu kina Floyd wanavyouwawa chini ya utawala wake?
Hitler aliua wayahudi milioni 6, yeye mwenyewe hakurusha risasi hata moja!
Na ukitoka Africa ukienda huko hao black America wanakubagua kama kawaidaAliyekudanganya kwamba wale ni waafrika wenzetu ni nani.
Kumbuka mtu mweusi sio mwafrika.
Mwafrika ni mzaliwa wa bara la Afrika wale ni BLACK AMERICA
Democratic ndio balaa.Pompeo anavyomkimbiza mzee baba bora ashinde Trump ili faili lisitupwe...uchaguzi kidogo tu lazima watu wapotezwe harafu mkiitwa shit hole mnakua wakali yaani watu hawathamini binadamu wanaona madaraka ni zaidi ya maisha ya watu...
Sana sasa jichanganye umuite black African eeeh ndio utajua kwamba hujuiNa ukitoka Africa ukienda huko hao black America wanakubagua kama kawaida