Mwenyezi Mungu msaidie Trump ashinde uchaguzi kesho

Mzuka wanaJF!

Baba Muumba wa mbingu na nchi na mkambidhi President Donald Trump achaguliwe tena muhula wake wa pili. View attachment 1618222
Silaha aliyoishika ni hatarii na ndio itamrudisha tena White House.

Die hard Trump supporter!

Anashinda, if not now then hata kwa mahakama or something, he wins this battle
 
Umesahau erdogan wa uturuki ni rais wa uturuki anayechukia ukristo na anapambana na wananchi wake wakristo ingawa hajioneshi mbona hamuoni hilo mnapambana na trump tu
NONSENSE!
 
Sifa kuu mbili za madikteta
1. Wanahisi wanapendwa
2. Kukosa maarifa na kutojiamini
 
Sema hizi sifa ni kama za jiwe

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Hili ndiyo dua la kuku?

Ombi la mkaldayo mdhambi halivuki mawingu abadani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…