welding1682
JF-Expert Member
- Aug 20, 2019
- 2,151
- 4,681
Endelea kunywa doblekick ukijifariji Ni bei rahis!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie acheni mambo ya ajabu, mungu anakuacha kwenye umaskini unakula mlo mmoja kwa siku na una watoto na mke?. Kupata riziki tu tabu... huyu ni mungu au kifurushi cha matatizo?Mungu katuumba ili tumpende, tumuheshimu, tumuabudu, kumtukuza na kumtumikia ili tupate kufika kwake mbinguni. Katika kusali kuna kusifu, kushukuru, kuomba na kuombea wengine! Mungu asikilizi malalamiko au kero; maana kukuweka hapo ulipo na kwa namna ulivyo ana sababu. Shukuru japo tu hata kwa kukupa uhai na utaona malango ya neema yanafunguka!
Mwaga hisia zako zote kwa Mungu Baba bila unafiki wala uoga.Mwambie unavyojisikia. kwa dhati kabisa.Alafu muombe akupiganie.Utaona mambo makubwa.Mimi sio bora kuliko wengine ila napambana kwa namna ilio haki, kwa namna ilio ya juhudi huku namtanguliza alioiumba dunia hii.
Kila nachogusa ni kama kiko allergic na mikono yangu, hakiwi ridhiki, hakikaii, watoto watakula nini, nimtamtunza vp huyu mrembo ambae Mungu alinijalia.
Mimi ni mpumbavu kuliko wote? Mimi ni mdhambi kuzidi wadhambi wengine?
Je, natwanga maji kwenye kuni? Je nasukuma ukuta? Maana baba jitihada yangu kukufikia hailingani na muelekeo nilio nao.
Mama anataabika, mimi nitaabika, mdogo wangu anataabika,
Nimemuona mama yangu akikuliliia miaka nenda miaka rudi ila bado amekuwa rafiki wa tabu na mateso,.
Je, baba yangu ni laana umeiruhusu katika nzao yake, je ni basi tu hatupo katika mipango ya baraka zako?
Nashuhudia tu makuu ya hii dunia, hata walio na dhambi wakifurahia kiasi, ila mimi nimekuwa cas study ya tabu
Mbona saul alikuwa muuaji ila ulimpa ukuu wa milele, mimi ni wa aina gani hadi niwe mtumwa wa dhiki kiasi hiki
Baba, nimekufanyia makubwa, nimekulilia, hata kama nilikosea ila ilikuwa ni kwa jina lako.
Kwanini utake kuruhusu nifanye maamuzi utafikiri mlugha mlugha ambae hajawi kukutumainia?
Ondoa nishati hasi mwilini mwako kwa chumvi ya mawe utaona mabadiriko.Mimi sio bora kuliko wengine ila napambana kwa namna ilio haki, kwa namna ilio ya juhudi huku namtanguliza alioiumba dunia hii.
Kila nachogusa ni kama kiko allergic na mikono yangu, hakiwi ridhiki, hakikaii, watoto watakula nini, nimtamtunza vp huyu mrembo ambae Mungu alinijalia.
Mimi ni mpumbavu kuliko wote? Mimi ni mdhambi kuzidi wadhambi wengine?
Je, natwanga maji kwenye kuni? Je nasukuma ukuta? Maana baba jitihada yangu kukufikia hailingani na muelekeo nilio nao.
Mama anataabika, mimi nitaabika, mdogo wangu anataabika,
Nimemuona mama yangu akikuliliia miaka nenda miaka rudi ila bado amekuwa rafiki wa tabu na mateso,.
Je, baba yangu ni laana umeiruhusu katika nzao yake, je ni basi tu hatupo katika mipango ya baraka zako?
Nashuhudia tu makuu ya hii dunia, hata walio na dhambi wakifurahia kiasi, ila mimi nimekuwa cas study ya tabu
Mbona saul alikuwa muuaji ila ulimpa ukuu wa milele, mimi ni wa aina gani hadi niwe mtumwa wa dhiki kiasi hiki
Baba, nimekufanyia makubwa, nimekulilia, hata kama nilikosea ila ilikuwa ni kwa jina lako.
Kwanini utake kuruhusu nifanye maamuzi utafikiri mlugha mlugha ambae hajawi kukutumainia?
Kuna swahaba wa mtume alikuwa masikini wa kutupwa,ila alikuwa anafanya ibada mwanzo mwisho sambamba na Mtume,Mimi sio bora kuliko wengine ila napambana kwa namna ilio haki, kwa namna ilio ya juhudi huku namtanguliza alioiumba dunia hii.
Kila nachogusa ni kama kiko allergic na mikono yangu, hakiwi ridhiki, hakikaii, watoto watakula nini, nimtamtunza vp huyu mrembo ambae Mungu alinijalia.
Mimi ni mpumbavu kuliko wote? Mimi ni mdhambi kuzidi wadhambi wengine?
Je, natwanga maji kwenye kuni? Je nasukuma ukuta? Maana baba jitihada yangu kukufikia hailingani na muelekeo nilio nao.
Mama anataabika, mimi nitaabika, mdogo wangu anataabika,
Nimemuona mama yangu akikuliliia miaka nenda miaka rudi ila bado amekuwa rafiki wa tabu na mateso,.
Je, baba yangu ni laana umeiruhusu katika nzao yake, je ni basi tu hatupo katika mipango ya baraka zako?
Nashuhudia tu makuu ya hii dunia, hata walio na dhambi wakifurahia kiasi, ila mimi nimekuwa cas study ya tabu
Mbona saul alikuwa muuaji ila ulimpa ukuu wa milele, mimi ni wa aina gani hadi niwe mtumwa wa dhiki kiasi hiki
Baba, nimekufanyia makubwa, nimekulilia, hata kama nilikosea ila ilikuwa ni kwa jina lako.
Kwanini utake kuruhusu nifanye maamuzi utafikiri mlugha mlugha ambae hajawi kukutumainia?
Ayoub alifanyaje?Halafu ukiambiwa Mungu hayupo unakataa.
Endelea kumlilia, jifanye mjinga kama Ayubu.
Tuone utafika wapi.
Ndugu zangu maombi ya usiku wa manane au tisa yana matokeo bora sana,inaonyesha ni kiasi gani unataka msaada wa Mungu
Wakati wenzio wamelala wewe unamtakasa Mungu na kuomba rehema zake,yeyote mwenye changamoto za maisha na madhila mbali mbali awe anaamka usiku mzito walau hata mara tatu kwa wiki kheri kubwa itapatikana
Mbona wewe shida zako hujaziandika hapa? We mtu hapati hela ya kula na ana mke na watotoHakuna asiye na shida wewe, au unadhani uko peke yako? Na watoto wanaokufa njaa nao wamlilie nani? Maisha sio fair, fanya unachoweza au kaa chini upoteze muda kulaumu na kulalamikia imaginations.
Honestly hutakiwi kuonewa huruma wala kufarijiwa hata kidogo kama wafanyavyo hawa members.
POLE SANA.Kila nachogusa ni kama kiko allergic na mikono yangu, hakiwi ridhiki, hakikaii, watoto watakula nini, nimtamtunza vp huyu mrembo ambae Mungu alinijalia
Naomba unipatie hintsOndoa nishati hasi mwilini mwako kwa chumvi ya mawe utaona mabadiriko.
Inaumiza sanaaaNyie acheni mambo ya ajabu, mungu anakuacha kwenye umaskini unakula mlo mmoja kwa siku na una watoto na mke?. Kupata riziki tu tabu... huyu ni mungu au kifurushi cha matatizo?
AhsanteMwaga hisia zako zote kwa Mungu Baba bila unafiki wala uoga.Mwambie unavyojisikia. kwa dhati kabisa.Alafu muombe akupiganie.Utaona mambo makubwa.
Mshukuru Mungu kwa kila jambo na kila uchao, wakati wa Mungu ni siri.Mimi sio bora kuliko wengine ila napambana kwa namna ilio haki, kwa namna ilio ya juhudi huku namtanguliza alioiumba dunia hii.
Kila nachogusa ni kama kiko allergic na mikono yangu, hakiwi ridhiki, hakikaii, watoto watakula nini, nimtamtunza vp huyu mrembo ambae Mungu alinijalia.
Mimi ni mpumbavu kuliko wote? Mimi ni mdhambi kuzidi wadhambi wengine?
Je, natwanga maji kwenye kuni? Je nasukuma ukuta? Maana baba jitihada yangu kukufikia hailingani na muelekeo nilio nao.
Mama anataabika, mimi nitaabika, mdogo wangu anataabika,
Nimemuona mama yangu akikuliliia miaka nenda miaka rudi ila bado amekuwa rafiki wa tabu na mateso,.
Je, baba yangu ni laana umeiruhusu katika nzao yake, je ni basi tu hatupo katika mipango ya baraka zako?
Nashuhudia tu makuu ya hii dunia, hata walio na dhambi wakifurahia kiasi, ila mimi nimekuwa cas study ya tabu
Mbona saul alikuwa muuaji ila ulimpa ukuu wa milele, mimi ni wa aina gani hadi niwe mtumwa wa dhiki kiasi hiki
Baba, nimekufanyia makubwa, nimekulilia, hata kama nilikosea ila ilikuwa ni kwa jina lako.
Kwanini utake kuruhusu nifanye maamuzi utafikiri mlugha mlugha ambae hajawi kukutumainia?
Nunuwa chumvi ya mawe kilo kadhaa au paketi kadhaa changanya kwenye ndoo ya maji ya kuoga fanya hivyo kwa siku 21 huku ukimuomba Mungu wakati unaoga tamka unaondowa nishati hasi mwilini mwako na unakaribisha nishati chanya na unaondowa nuksi na mikosi yote ndani ya mwili wako hee Mwenyezi Mungu nisaidie.Naomba unipatie hints
👉Kuwa na subira basiMimi sio bora kuliko wengine ila napambana kwa namna ilio haki, kwa namna ilio ya juhudi huku namtanguliza alioiumba dunia hii.
Kila nachogusa ni kama kiko allergic na mikono yangu, hakiwi ridhiki, hakikaii, watoto watakula nini, nimtamtunza vp huyu mrembo ambae Mungu alinijalia.
Mimi ni mpumbavu kuliko wote? Mimi ni mdhambi kuzidi wadhambi wengine?
Je, natwanga maji kwenye kuni? Je nasukuma ukuta? Maana baba jitihada yangu kukufikia hailingani na muelekeo nilio nao.
Mama anataabika, mimi nitaabika, mdogo wangu anataabika,
Nimemuona mama yangu akikuliliia miaka nenda miaka rudi ila bado amekuwa rafiki wa tabu na mateso,.
Je, baba yangu ni laana umeiruhusu katika nzao yake, je ni basi tu hatupo katika mipango ya baraka zako?
Nashuhudia tu makuu ya hii dunia, hata walio na dhambi wakifurahia kiasi, ila mimi nimekuwa cas study ya tabu
Mbona saul alikuwa muuaji ila ulimpa ukuu wa milele, mimi ni wa aina gani hadi niwe mtumwa wa dhiki kiasi hiki
Baba, nimekufanyia makubwa, nimekulilia, hata kama nilikosea ila ilikuwa ni kwa jina lako.
Kwanini utake kuruhusu nifanye maamuzi utafikiri mlugha mlugha ambae hajawi kukutumainia?
Ahsante boss wanguNunuwa chumvi ya mawe kilo kadhaa au paketi kadhaa changanya kwenye ndoo ya maji ya kuoga fanya hivyo kwa siku 21 huku ukimuomba Mungu wakati unaoga tamka unaondowa nishati hasi mwilini mwako na unakaribisha nishati chanya na unaondowa nuksi na mikosi yote ndani ya mwili wako hee Mwenyezi Mungu nisaidie.