Mwenyezi Mungu, nifanye lipi ili ujibu ombi langu, niwe vipi ili unitue mzigo huu? Mbona ni kama umenifumbia macho hunioni

Mwenyezi Mungu, nifanye lipi ili ujibu ombi langu, niwe vipi ili unitue mzigo huu? Mbona ni kama umenifumbia macho hunioni

Mimi sio bora kuliko wengine ila napambana kwa namna ilio haki, kwa namna ilio ya juhudi huku namtanguliza alioiumba dunia hii.

Kila nachogusa ni kama kiko allergic na mikono yangu, hakiwi ridhiki, hakikaii, watoto watakula nini, nimtamtunza vp huyu mrembo ambae Mungu alinijalia.

Mimi ni mpumbavu kuliko wote? Mimi ni mdhambi kuzidi wadhambi wengine?

Je, natwanga maji kwenye kuni? Je nasukuma ukuta? Maana baba jitihada yangu kukufikia hailingani na muelekeo nilio nao.

Mama anataabika, mimi nitaabika, mdogo wangu anataabika,

Nimemuona mama yangu akikuliliia miaka nenda miaka rudi ila bado amekuwa rafiki wa tabu na mateso,.

Je, baba yangu ni laana umeiruhusu katika nzao yake, je ni basi tu hatupo katika mipango ya baraka zako?

Nashuhudia tu makuu ya hii dunia, hata walio na dhambi wakifurahia kiasi, ila mimi nimekuwa cas study ya tabu

Mbona saul alikuwa muuaji ila ulimpa ukuu wa milele, mimi ni wa aina gani hadi niwe mtumwa wa dhiki kiasi hiki

Baba, nimekufanyia makubwa, nimekulilia, hata kama nilikosea ila ilikuwa ni kwa jina lako.

Kwanini utake kuruhusu nifanye maamuzi utafikiri mlugha mlugha ambae hajawi kukutumainia?
Usichoke endelea kupambana na kusali, hata ukifa Leo, utasema nilikuwa mwaminifu mpaka mwisho.
 
Mimi sio bora kuliko wengine ila napambana kwa namna ilio haki, kwa namna ilio ya juhudi huku namtanguliza alioiumba dunia hii.

Kila nachogusa ni kama kiko allergic na mikono yangu, hakiwi ridhiki, hakikaii, watoto watakula nini, nimtamtunza vp huyu mrembo ambae Mungu alinijalia.

Mimi ni mpumbavu kuliko wote? Mimi ni mdhambi kuzidi wadhambi wengine?

Je, natwanga maji kwenye kuni? Je nasukuma ukuta? Maana baba jitihada yangu kukufikia hailingani na muelekeo nilio nao.

Mama anataabika, mimi nitaabika, mdogo wangu anataabika,

Nimemuona mama yangu akikuliliia miaka nenda miaka rudi ila bado amekuwa rafiki wa tabu na mateso,.

Je, baba yangu ni laana umeiruhusu katika nzao yake, je ni basi tu hatupo katika mipango ya baraka zako?

Nashuhudia tu makuu ya hii dunia, hata walio na dhambi wakifurahia kiasi, ila mimi nimekuwa cas study ya tabu

Mbona saul alikuwa muuaji ila ulimpa ukuu wa milele, mimi ni wa aina gani hadi niwe mtumwa wa dhiki kiasi hiki

Baba, nimekufanyia makubwa, nimekulilia, hata kama nilikosea ila ilikuwa ni kwa jina lako.

Kwanini utake kuruhusu nifanye maamuzi utafikiri mlugha mlugha ambae hajawi kukutumainia?
Ndg, salaam!
Pole kwa changamoto za dunia.
Nakusihi usikate tamaa,ukikata tamaa umekubali kushindwa.
Soma kitabu cha Habakuki katika Biblia,sali sana na sikiliza nyimbo hii;
Shida za Dunia-ya Josee Chameleon
Zikutie moyo, never give up bro!
 
Mimi sio bora kuliko wengine ila napambana kwa namna ilio haki, kwa namna ilio ya juhudi huku namtanguliza alioiumba dunia hii.

Kila nachogusa ni kama kiko allergic na mikono yangu, hakiwi ridhiki, hakikaii, watoto watakula nini, nimtamtunza vp huyu mrembo ambae Mungu alinijalia.

Mimi ni mpumbavu kuliko wote? Mimi ni mdhambi kuzidi wadhambi wengine?

Je, natwanga maji kwenye kuni? Je nasukuma ukuta? Maana baba jitihada yangu kukufikia hailingani na muelekeo nilio nao.

Mama anataabika, mimi nitaabika, mdogo wangu anataabika,

Nimemuona mama yangu akikuliliia miaka nenda miaka rudi ila bado amekuwa rafiki wa tabu na mateso,.

Je, baba yangu ni laana umeiruhusu katika nzao yake, je ni basi tu hatupo katika mipango ya baraka zako?

Nashuhudia tu makuu ya hii dunia, hata walio na dhambi wakifurahia kiasi, ila mimi nimekuwa cas study ya tabu

Mbona saul alikuwa muuaji ila ulimpa ukuu wa milele, mimi ni wa aina gani hadi niwe mtumwa wa dhiki kiasi hiki

Baba, nimekufanyia makubwa, nimekulilia, hata kama nilikosea ila ilikuwa ni kwa jina lako.

Kwanini utake kuruhusu nifanye maamuzi utafikiri mlugha mlugha ambae hajawi kukutumainia?
Kitabu cha Wafilipi kinatuasa kushukuru kwa kila jambo.
 
Jinsi ulivyolalamika!
Kuna jamaa anaitwa Mauzinde ni shoga lililokubuhu Zanzibar linakula maisha sana na limeenda Canada!
Mungu wetu ni Mungu wa utaratibu. Eñdelea kumwabudu, toa sàdaka, anasikia ila ukikata tamaa lazima utamkaribisha shetani na baraka zote alizokuandalia ndo itakuwa bye bye.
Embu ngoja.
 
Nikufundishe dua bora? Sema
Rabbi ini lima anzalta ilayha min khairin faqir

Kwa kiswahili " Eeh Mwenyezi Mungu hakika mimi ni muhitaji wa kila kheri utakazonipa"
Yule shehe anapiga hii na bado analalamika Waislam hawatoi sadaka.
 
Yule shehe anapiga hii na bado analalamika Waislam hawatoi sadaka.
Hiyo siyo dua ya kuombea Sadaka na pia katika uislam sadaka siyo lazima itolewe msikitini, kama unataka ya kuombea sadaka kawaone wachungaji katika uislam hamna dua hiyo
 
Ndugu nimefanya kwa siku 30

Na siku nyingine pia
😢😢😢
Unasoma neno biblia kila siku asubuhi, mchana, na jioni ? Mungu anasikiliza mateso ya wengi jitahidi kuombea makundi mengine Kuna watu wanaoteseka kuliko wewe
Jifunze Mungu anavyotoa baraka nimeandika hapa kwenye Uzi huu post ya mwisho
 
Nunuwa chumvi ya mawe kilo kadhaa au paketi kadhaa changanya kwenye ndoo ya maji ya kuoga fanya hivyo kwa siku 21 huku ukimuomba Mungu wakati unaoga tamka unaondowa nishati hasi mwilini mwako na unakaribisha nishati chanya na unaondowa nuksi na mikosi yote ndani ya mwili wako hee Mwenyezi Mungu nisaidie.
Shirki hiyo, unamshirikisha Mungu kwenye huo ulozi wa chumvi?
Chumvi ni ya kuweka kwenye chakula siyo kujipata ili Mungu akusikie.
 
Tumchangie mawazo na kiuchumi mbona kama unawaza kujiua.....
 
Mimi sio bora kuliko wengine ila napambana kwa namna ilio haki, kwa namna ilio ya juhudi huku namtanguliza alioiumba dunia hii.

Kila nachogusa ni kama kiko allergic na mikono yangu, hakiwi ridhiki, hakikaii, watoto watakula nini, nimtamtunza vp huyu mrembo ambae Mungu alinijalia.

Mimi ni mpumbavu kuliko wote? Mimi ni mdhambi kuzidi wadhambi wengine?

Je, natwanga maji kwenye kuni? Je nasukuma ukuta? Maana baba jitihada yangu kukufikia hailingani na muelekeo nilio nao.

Mama anataabika, mimi nitaabika, mdogo wangu anataabika,

Nimemuona mama yangu akikuliliia miaka nenda miaka rudi ila bado amekuwa rafiki wa tabu na mateso,.

Je, baba yangu ni laana umeiruhusu katika nzao yake, je ni basi tu hatupo katika mipango ya baraka zako?

Nashuhudia tu makuu ya hii dunia, hata walio na dhambi wakifurahia kiasi, ila mimi nimekuwa cas study ya tabu

Mbona saul alikuwa muuaji ila ulimpa ukuu wa milele, mimi ni wa aina gani hadi niwe mtumwa wa dhiki kiasi hiki

Baba, nimekufanyia makubwa, nimekulilia, hata kama nilikosea ila ilikuwa ni kwa jina lako.

Kwanini utake kuruhusu nifanye maamuzi utafikiri mlugha mlugha ambae hajawi kukutumainia?

View: https://youtu.be/Oba3O_6X02U?si=ExyZWHTXZJs2xwWN
 
Back
Top Bottom