Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Kumtakasa Mungu ni kutambua sifa njema zote ni zake,kwa maana hana mapungufu kwa namna yoyote ile,amekamilika kwa utukufu wake na ukuu wake1. Point ya kwanza nimeipata.
2.Unamtakasa Mungu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumtakasa Mungu ni kutambua sifa njema zote ni zake,kwa maana hana mapungufu kwa namna yoyote ile,amekamilika kwa utukufu wake na ukuu wake1. Point ya kwanza nimeipata.
2.Unamtakasa Mungu?
Usichoke endelea kupambana na kusali, hata ukifa Leo, utasema nilikuwa mwaminifu mpaka mwisho.Mimi sio bora kuliko wengine ila napambana kwa namna ilio haki, kwa namna ilio ya juhudi huku namtanguliza alioiumba dunia hii.
Kila nachogusa ni kama kiko allergic na mikono yangu, hakiwi ridhiki, hakikaii, watoto watakula nini, nimtamtunza vp huyu mrembo ambae Mungu alinijalia.
Mimi ni mpumbavu kuliko wote? Mimi ni mdhambi kuzidi wadhambi wengine?
Je, natwanga maji kwenye kuni? Je nasukuma ukuta? Maana baba jitihada yangu kukufikia hailingani na muelekeo nilio nao.
Mama anataabika, mimi nitaabika, mdogo wangu anataabika,
Nimemuona mama yangu akikuliliia miaka nenda miaka rudi ila bado amekuwa rafiki wa tabu na mateso,.
Je, baba yangu ni laana umeiruhusu katika nzao yake, je ni basi tu hatupo katika mipango ya baraka zako?
Nashuhudia tu makuu ya hii dunia, hata walio na dhambi wakifurahia kiasi, ila mimi nimekuwa cas study ya tabu
Mbona saul alikuwa muuaji ila ulimpa ukuu wa milele, mimi ni wa aina gani hadi niwe mtumwa wa dhiki kiasi hiki
Baba, nimekufanyia makubwa, nimekulilia, hata kama nilikosea ila ilikuwa ni kwa jina lako.
Kwanini utake kuruhusu nifanye maamuzi utafikiri mlugha mlugha ambae hajawi kukutumainia?
Ndg, salaam!Mimi sio bora kuliko wengine ila napambana kwa namna ilio haki, kwa namna ilio ya juhudi huku namtanguliza alioiumba dunia hii.
Kila nachogusa ni kama kiko allergic na mikono yangu, hakiwi ridhiki, hakikaii, watoto watakula nini, nimtamtunza vp huyu mrembo ambae Mungu alinijalia.
Mimi ni mpumbavu kuliko wote? Mimi ni mdhambi kuzidi wadhambi wengine?
Je, natwanga maji kwenye kuni? Je nasukuma ukuta? Maana baba jitihada yangu kukufikia hailingani na muelekeo nilio nao.
Mama anataabika, mimi nitaabika, mdogo wangu anataabika,
Nimemuona mama yangu akikuliliia miaka nenda miaka rudi ila bado amekuwa rafiki wa tabu na mateso,.
Je, baba yangu ni laana umeiruhusu katika nzao yake, je ni basi tu hatupo katika mipango ya baraka zako?
Nashuhudia tu makuu ya hii dunia, hata walio na dhambi wakifurahia kiasi, ila mimi nimekuwa cas study ya tabu
Mbona saul alikuwa muuaji ila ulimpa ukuu wa milele, mimi ni wa aina gani hadi niwe mtumwa wa dhiki kiasi hiki
Baba, nimekufanyia makubwa, nimekulilia, hata kama nilikosea ila ilikuwa ni kwa jina lako.
Kwanini utake kuruhusu nifanye maamuzi utafikiri mlugha mlugha ambae hajawi kukutumainia?
Thank u my bro, 🥹🥹🥹Ndg, salaam!
Pole kwa changamoto za dunia.
Nakusihi usikate tamaa,ukikata tamaa umekubali kushindwa.
Soma kitabu cha Habakuki katika Biblia na sikiliza nyimbo hii;
Shida za Dunia-ya Josee Chameleon
Zikutie moyo, never give up bro!
Kitabu cha Wafilipi kinatuasa kushukuru kwa kila jambo.Mimi sio bora kuliko wengine ila napambana kwa namna ilio haki, kwa namna ilio ya juhudi huku namtanguliza alioiumba dunia hii.
Kila nachogusa ni kama kiko allergic na mikono yangu, hakiwi ridhiki, hakikaii, watoto watakula nini, nimtamtunza vp huyu mrembo ambae Mungu alinijalia.
Mimi ni mpumbavu kuliko wote? Mimi ni mdhambi kuzidi wadhambi wengine?
Je, natwanga maji kwenye kuni? Je nasukuma ukuta? Maana baba jitihada yangu kukufikia hailingani na muelekeo nilio nao.
Mama anataabika, mimi nitaabika, mdogo wangu anataabika,
Nimemuona mama yangu akikuliliia miaka nenda miaka rudi ila bado amekuwa rafiki wa tabu na mateso,.
Je, baba yangu ni laana umeiruhusu katika nzao yake, je ni basi tu hatupo katika mipango ya baraka zako?
Nashuhudia tu makuu ya hii dunia, hata walio na dhambi wakifurahia kiasi, ila mimi nimekuwa cas study ya tabu
Mbona saul alikuwa muuaji ila ulimpa ukuu wa milele, mimi ni wa aina gani hadi niwe mtumwa wa dhiki kiasi hiki
Baba, nimekufanyia makubwa, nimekulilia, hata kama nilikosea ila ilikuwa ni kwa jina lako.
Kwanini utake kuruhusu nifanye maamuzi utafikiri mlugha mlugha ambae hajawi kukutumainia?
Embu ngoja.Jinsi ulivyolalamika!
Kuna jamaa anaitwa Mauzinde ni shoga lililokubuhu Zanzibar linakula maisha sana na limeenda Canada!
Mungu wetu ni Mungu wa utaratibu. Eñdelea kumwabudu, toa sàdaka, anasikia ila ukikata tamaa lazima utamkaribisha shetani na baraka zote alizokuandalia ndo itakuwa bye bye.
Yule shehe anapiga hii na bado analalamika Waislam hawatoi sadaka.Nikufundishe dua bora? Sema
Rabbi ini lima anzalta ilayha min khairin faqir
Kwa kiswahili " Eeh Mwenyezi Mungu hakika mimi ni muhitaji wa kila kheri utakazonipa"
Hiyo siyo dua ya kuombea Sadaka na pia katika uislam sadaka siyo lazima itolewe msikitini, kama unataka ya kuombea sadaka kawaone wachungaji katika uislam hamna dua hiyoYule shehe anapiga hii na bado analalamika Waislam hawatoi sadaka.
Unasoma neno biblia kila siku asubuhi, mchana, na jioni ? Mungu anasikiliza mateso ya wengi jitahidi kuombea makundi mengine Kuna watu wanaoteseka kuliko weweNdugu nimefanya kwa siku 30
Na siku nyingine pia
😢😢😢
Shirki hiyo, unamshirikisha Mungu kwenye huo ulozi wa chumvi?Nunuwa chumvi ya mawe kilo kadhaa au paketi kadhaa changanya kwenye ndoo ya maji ya kuoga fanya hivyo kwa siku 21 huku ukimuomba Mungu wakati unaoga tamka unaondowa nishati hasi mwilini mwako na unakaribisha nishati chanya na unaondowa nuksi na mikosi yote ndani ya mwili wako hee Mwenyezi Mungu nisaidie.
Mimi sio bora kuliko wengine ila napambana kwa namna ilio haki, kwa namna ilio ya juhudi huku namtanguliza alioiumba dunia hii.
Kila nachogusa ni kama kiko allergic na mikono yangu, hakiwi ridhiki, hakikaii, watoto watakula nini, nimtamtunza vp huyu mrembo ambae Mungu alinijalia.
Mimi ni mpumbavu kuliko wote? Mimi ni mdhambi kuzidi wadhambi wengine?
Je, natwanga maji kwenye kuni? Je nasukuma ukuta? Maana baba jitihada yangu kukufikia hailingani na muelekeo nilio nao.
Mama anataabika, mimi nitaabika, mdogo wangu anataabika,
Nimemuona mama yangu akikuliliia miaka nenda miaka rudi ila bado amekuwa rafiki wa tabu na mateso,.
Je, baba yangu ni laana umeiruhusu katika nzao yake, je ni basi tu hatupo katika mipango ya baraka zako?
Nashuhudia tu makuu ya hii dunia, hata walio na dhambi wakifurahia kiasi, ila mimi nimekuwa cas study ya tabu
Mbona saul alikuwa muuaji ila ulimpa ukuu wa milele, mimi ni wa aina gani hadi niwe mtumwa wa dhiki kiasi hiki
Baba, nimekufanyia makubwa, nimekulilia, hata kama nilikosea ila ilikuwa ni kwa jina lako.
Kwanini utake kuruhusu nifanye maamuzi utafikiri mlugha mlugha ambae hajawi kukutumainia?
🥹Tumchangie mawazo na kiuchumi mbona kama unawaza kujiua.....
Ahsante boss😭Pole sana mkuu
Yaaani mkuu acha tuHaya mambo yakuomba hayana tija minishayashtukiaga