mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Tulia zamu yako inakuja.
MMoja mmoja ndo mpango.
MMoja mmoja ndo mpango.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jikaze tu mkuu mwanaume hamna rangi ataacha kuona hapa duniani
Usikate tamaa mkuuNdugu nimefanya kwa siku 30
Na siku nyingine pia
😢😢😢
Pole mkuuYaaani mkuu acha tu
Mhubiri 9:11Mimi sio bora kuliko wengine ila napambana kwa namna ilio haki, kwa namna ilio ya juhudi huku namtanguliza alioiumba dunia hii.
Kila nachogusa ni kama kiko allergic na mikono yangu, hakiwi ridhiki, hakikaii, watoto watakula nini, nimtamtunza vp huyu mrembo ambae Mungu alinijalia.
Mimi ni mpumbavu kuliko wote? Mimi ni mdhambi kuzidi wadhambi wengine?
Je, natwanga maji kwenye kuni? Je nasukuma ukuta? Maana baba jitihada yangu kukufikia hailingani na muelekeo nilio nao.
Mama anataabika, mimi nitaabika, mdogo wangu anataabika,
Nimemuona mama yangu akikuliliia miaka nenda miaka rudi ila bado amekuwa rafiki wa tabu na mateso,.
Je, baba yangu ni laana umeiruhusu katika nzao yake, je ni basi tu hatupo katika mipango ya baraka zako?
Nashuhudia tu makuu ya hii dunia, hata walio na dhambi wakifurahia kiasi, ila mimi nimekuwa cas study ya tabu
Mbona saul alikuwa muuaji ila ulimpa ukuu wa milele, mimi ni wa aina gani hadi niwe mtumwa wa dhiki kiasi hiki
Baba, nimekufanyia makubwa, nimekulilia, hata kama nilikosea ila ilikuwa ni kwa jina lako.
Kwanini utake kuruhusu nifanye maamuzi utafikiri mlugha mlugha ambae hajawi kukutumainia?
ammeeeeeenMhubiri 9:11
Nikarudi na kuona chini ya jua, ya kwamba si wenye mbio washindao katika michezo, wala si walio hodari washindao vitani, wala si wenye hekima wapatao chakula, wala si watu wa ufahamu wapatao mali, wala wenye ustadi wapatao upendeleo, lakini wakati na bahati huwapata wote.
Ahsante boss😭😭😭Pole mkuu
AmenUsikate tamaa, Endelea kumtumainia Mungu, Kadri Giza linavyozidi kuwa nene, Ndivyo Pambazuko linakaribia. Kumbuka Mungu hachelewi wala hawahi kujibu maombi yetu, Bali hujibu kwa wakati na majira yanayofaa! Huenda anazo sababu zake ambazo sisi hatuzioni wala hatuwezi kuzielewa, Huenda tukaomba gari ila akakawia kujibu ombi akikuepusha na ajali mbaya ambayo ingekupata na hilo gari! Endelea kumuamini Mungu, Yupo, anajua, na atakujibu!
Isaya 41:10 “usiogope, kwa maana mimi ni pamoja nawe; usifadhaike, kwa maana mimi ni Mungu wako; nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia, naam, nitakushika kwa mkono wa kuume wa haki yangu”.
UnaondoajeOndoa nishati hasi mwilini mwako kwa chumvi ya mawe utaona mabadiriko.
Roho mbaya tu weweHakuna asiye na shida wewe, au unadhani uko peke yako? Na watoto wanaokufa njaa nao wamlilie nani? Maisha sio fair, fanya unachoweza au kaa chini upoteze muda kulaumu na kulalamikia imaginations.
Honestly hutakiwi kuonewa huruma wala kufarijiwa hata kidogo kama wafanyavyo hawa members.
Hahaha ila jf konyoKwahiyo unaamini, akiiona hii thread yako hapa ndo atakusikia,...Watu mna imanii aisseeeeh..!
Yaaani mkuu acha tu
Huna akili wewe mbwa kabisa.Shirki hiyo, unamshirikisha Mungu kwenye huo ulozi wa chumvi?
Chumvi ni ya kuweka kwenye chakula siyo kujipata ili Mungu akusikie.
Usimpangie Mungu namna ya kukubariki. Bado kidogo utaenda kwa waganga.Mimi sio bora kuliko wengine ila napambana kwa namna ilio haki, kwa namna ilio ya juhudi huku namtanguliza alioiumba dunia hii.
Kila nachogusa ni kama kiko allergic na mikono yangu, hakiwi ridhiki, hakikaii, watoto watakula nini, nimtamtunza vp huyu mrembo ambae Mungu alinijalia.
Mimi ni mpumbavu kuliko wote? Mimi ni mdhambi kuzidi wadhambi wengine?
Je, natwanga maji kwenye kuni? Je nasukuma ukuta? Maana baba jitihada yangu kukufikia hailingani na muelekeo nilio nao.
Mama anataabika, mimi nitaabika, mdogo wangu anataabika,
Nimemuona mama yangu akikuliliia miaka nenda miaka rudi ila bado amekuwa rafiki wa tabu na mateso,.
Je, baba yangu ni laana umeiruhusu katika nzao yake, je ni basi tu hatupo katika mipango ya baraka zako?
Nashuhudia tu makuu ya hii dunia, hata walio na dhambi wakifurahia kiasi, ila mimi nimekuwa cas study ya tabu
Mbona saul alikuwa muuaji ila ulimpa ukuu wa milele, mimi ni wa aina gani hadi niwe mtumwa wa dhiki kiasi hiki
Baba, nimekufanyia makubwa, nimekulilia, hata kama nilikosea ila ilikuwa ni kwa jina lako.
Kwanini utake kuruhusu nifanye maamuzi utafikiri mlugha mlugha ambae hajawi kukutumainia?