Mwenyezi Mungu, nifanye lipi ili ujibu ombi langu, niwe vipi ili unitue mzigo huu? Mbona ni kama umenifumbia macho hunioni

Mhubiri 9:11
Nikarudi na kuona chini ya jua, ya kwamba si wenye mbio washindao katika michezo, wala si walio hodari washindao vitani, wala si wenye hekima wapatao chakula, wala si watu wa ufahamu wapatao mali, wala wenye ustadi wapatao upendeleo, lakini wakati na bahati huwapata wote.
 
ammeeeeeen
 
Amen
 
Achana na Mungu mchovu na mdhaifu.

Hakuna Mungu anayejibu maombi.

Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hatakaa awepo.

Kwanza lazima ujue, No one is coming to save you.

You are responsible to save your own life, Pambana kaza mpaka kieleweke.

This world is not for the weak and lazy people. You either go hard, go home or you die.

Acha kulia lia.

Find ways to make money because nobody cares about your sufferings.
 
Roho mbaya tu wewe
 
Angalia nidhamu yako binafsini, Tabia zako zinapatana na malengo?

Mungu, Kuomba , Maombi, havihusiani na mafanikio.

Kuna watu ni matajiri kupitia kuumiza watu, hawa Mungu hawaoni ili awaadhibu au?
 
Shirki hiyo, unamshirikisha Mungu kwenye huo ulozi wa chumvi?
Chumvi ni ya kuweka kwenye chakula siyo kujipata ili Mungu akusikie.
Huna akili wewe mbwa kabisa.


2 Wafalme 2:21​

Elisha akaenda kwenye chemchemi ya maji, akatupa chumvi hiyo ndani na kusema, “Mwenyezi-Mungu asema hivi: Nimeyafanya maji haya kuwa yenye kufaa; tangu sasa hayatasababisha vifo au kutoa mimba.”
 
Usimpangie Mungu namna ya kukubariki. Bado kidogo utaenda kwa waganga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…