Mwenyezi Mungu: Sifa, Uwezo na Alama za uwepo wake


Kwenye quran lipo na kwenye biblia hebu kasome kutoka 7 mstari wa 3.
 

nani alimzawadia mwanadamu uwezo wa kujua mema na mabaya?

ni shetani au Mungu?
 
nani alimzawadia mwanadamu uwezo wa kujua mema na mabaya?

ni shetani au Mungu?

Ni Mwenyezi Mungu ndiye aliyempa mwanadamu akili ya kupambanua jema na baya.Na kwa mapenzi makubwa ya Mungu kwetu AMETUWEKEA WAZI kwamba baya lipi na jema ni lipi.
 

Sasa kwanini alipanda mti ambao anajua fika ukasababisha matatizo? Huo mti wa kujua mema na mabaya ulikuwa na ulazima gani kuwepo?

Na kama watu walikuwa bado hawajajua mema na mabaya, yeye aliwapaje onyo kuwa wasile tunda kutoka kwenye mti huo?
Na kama mwanzoni walikula tunda la uzima kwanini walikufa? Au tunda hilo lilikuwa halifanyi kazi vizuri?
 
Last edited by a moderator:
Wapi hapo huyo Mungu ametuweka wazi? Ikiwa hata yeye mwenyewe ameshindwa kujiweka wazi?

Ameshindwa kujiweka wazi kivipi? Mwenyezi Mungu amejipambanua kwa ALAMA au DALILI nyingi mno.Wewe mwenyewe ni alama ya kwanza kabisa ya uwepo wa Mungu.We uliataka kumuona physically?
 
Ameshindwa kujiweka wazi kivipi? Mwenyezi Mungu amejipambanua kwa ALAMA au DALILI nyingi mno.Wewe mwenyewe ni alama ya kwanza kabisa ya uwepo wa Mungu.We uliataka kumuona physically?

Sasa HORSE POWER we unataka kuleta hadithi za abunuwasi tu, huyo Mungu amejipambanua wapi? Acha ngonjera mkuu unapojibu hoja ni lazima uambatanishe na vithibitisho.
 
Last edited by a moderator:

Hili swali la MUNGU ALIWAACHIAJE MAAGIZO/ONYO VIUMBE AMBAO HAWAJUI JEMA NA BAYA, ndio naulizaga sana lakini wanalikimbia mkuu
 
Ameshindwa kujiweka wazi kivipi? Mwenyezi Mungu amejipambanua kwa ALAMA au DALILI nyingi mno.Wewe mwenyewe ni alama ya kwanza kabisa ya uwepo wa Mungu.We uliataka kumuona physically?

Sisi tunahoji uwepo wa Mungu na sifa zake wewe unasema kuwa sisi ni alama ya Mungu?
 
Ni Mwenyezi Mungu ndiye aliyempa mwanadamu akili ya kupambanua jema na baya.Na kwa mapenzi makubwa ya Mungu kwetu AMETUWEKEA WAZI kwamba baya lipi na jema ni lipi.

kasome tena biblia halafu ndiyo uje hapa kubishana na sisi!!

aliyekuzawadia ujuzi wa mema na mabaya kulingana na biblia ni Ibilisi,na baadae Mungu mwenyewe aka confirm kuwa ibilisi ni mkweli(ref:genesis 3:22)

kitu cha ziada ambacho Mungu alikifanya baada ya Adam's deception ni kumzuia kuwa immortal sinner.
(case closed)

anyway,wewe bado ni mwanafunzi sana katika dini,nakushauri ukajifunze kwanza halafu rudi hapa,sisi utatukuta tu.

NB:if you don't believe in bible,i will use quran to verify my statement above.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…