Mwenza wangu hapendi tendo la ndoa

Hayo yote mfanyie lakini kama humtoshelezi ni kazi bure. Humkojoleshi mara mbili Kaa mbali hasa anapokuwa na aliyewahi kumkojolesha
Kumkojolesha hilo ni swala lake na saikolojia yake. Wanawake ni wepesi sana kukojoa pale anapokuwa amekupenda na unampatia mahitaji yake japokuwa kuna exceptions za wenye matatizo kwenye ubongo wao. Hao ndo wanaua figo za wanaume kwa madawa ili wapigwe bao 8 kila wiki na ukikutana na wa hivyo achana nae usikazane utakufa before 60.
 
Mkongwe mwenzangu hujawahi kuniangusha hata!
 
Tatizo dogo Kama hili unalileta hapa mjukuu wangu?
Kwa kuanzia fanya hivi...
Kila simu yako ikiita ichukue fasta ukaongee ukiwa nje au mbali na wife.
Chelewa kurudi.
Thank me later
Mbinu na kigaidi
 
Kumkojolesha hilo ni swala lake na saikolojia yake. Wanawake ni wepesi sana kukojoa pale anapokuwa amekupenda na unampatia mahitaji yake....
..na penzi lenu ni jipya au la wizi, hapo mwanamke atakojoa mpaka ubongo.

Ila cha ajabu ni kwamba mwanamke kadri unavyokaa nae ndio rate ya kukojoa inavyopungua. Inafika mahali hata umuandae vipi, upige mashine kiasi gani mwisho wa gemu 1-0.
 
..na penzi lenu ni jipya au la wizi, hapo mwanamke atakojoa mpaka ubongo.

Ila cha ajabu ni kwamba mwanamke kadri unavyokaa nae ndio rate ya kukojoa inavyopungua. Inafika mahali hata umuandae vipi, upige mashine kiasi gani mwisho wa gemu 1-0.
Ni Kweli, ila ukibadilisha mazingira kidogo inabadilika.
Mfano mmekaa mwezi/miezi bila tendo halafu ghafla weekend mkatoka mkasafiri kwa mapumziko mkalala hoteli nzuri siku hiyo atakojoa vzur kweli.
 
Wanawake hatuna asili ya kuanza kutaka kufanywa.

Asili yetu ni kubembelezwa, kushikwa kuambiwa maneno mazuri tunaishia kuliwa.
Maneno mazuri mnapoyasikia kwa mtu yule yule hamkinai? Mwanaume mmoja kila usiku anakuambia maneno mwaka wa 8.
 
Mke wako anafanya kazi wapi mkuu ?! Hizo ngebe wanakuanazo wanawake "masupawumani"
 
Ni Kweli, ila ukibadilisha mazingira kidogo inabadilika.
Mfano mmekaa mwezi/miezi bila tendo halafu ghafla weekend mkatoka mkasafiri kwa mapumziko mkalala hoteli nzuri siku hiyo atakojoa vzur kweli.
Changamoto inakuja sasa kwa maisha ya mtanzania wa kawaida, mtakua mnatoka kwenda hoteli nzuri mara ngapi? Na kama mke wako ni mpaka umpeleke hotelini ndio akojoe,
 
Wadau wanaomsema mtoa mada labda atakuwa amridhishi mkewe watakuwa wanakosea mkiingia kwenye ndoa yani ni mwili mmoja kama aridhishwi alitakiwa kumwambia mumewe na kwa upole na jamaa angeelewa aongeze nini mwanamke anayemuacha mume au mchumba wake kisa amridhishi uyo ni mweu inatakiwa mkae pamoja mjadili tatizo ni nini na mlipatie ufumbuzi kwa pamoja
 
Changamoto inakuja sasa kwa maisha ya mtanzania wa kawaida, mtakua mnatoka kwenda hoteli nzuri mara ngapi? Na kama mke wako ni mpaka umpeleke hotelini ndio akojoe,
Ni changamoto kweli sababu ya gharama. Ila mara nyingi mkitoka hata mkirudi huwa harudi mwanzo inamchukua muda kurudi kwenye hali ya kutokukojoa. Hata kama kila mwaka mnatoka mara moja au mbili. Halafu hapo katikati kuna events huwa zinamrudisha mchezoni kama mmeenda kwenye party/harusi ya rafiki mkaenjoy, J2 fulani umemchanganyia kawine kwenye kinywaji wakati hajazoea n.k. NDOA NI KAZI MAANA KUKAA NA BINADAMU MMOJA MIAKA NA MIAKA NI YEYE TU LAZIMA MCHOKANE.
 
Unajua mimi naamini ili tendo linoge, inatakiwa litokee automatically sio mpaka uombe au muweke mipango na kuingia gharama ndio mtu awe kwenye 'mood'..

Mfano mnapoanza mahusiano, hua hamna cha nini wala nini yani mkifika kitandani wote wawili mnakua tayari mpo kwenye mood iwe ni geto, lodge au popote na gemu inakua na ladha balaa.

Gemu ya aina hiyo utaipata tu kwa mpenzi mpya au kwa mchepuko. Kwa mke wa ndoa aisee ni nadra sana..
 
Ushauri wa bure: ili mwanaume uishi kwa amani na furaha kwenye ndoa ni vyema ukawa na michepuko miwili visu kweli kweli alafu hakikisha mkeo anawajua hao michepuko na pia anatambua kuwa yeye ndio number one priority basi.
Wew huyo😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…