Mwewe kufika mazoezi ya Yanga ni ushindi mkubwa kwa Yanga.

Mwewe kufika mazoezi ya Yanga ni ushindi mkubwa kwa Yanga.

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Mwewe ni ndege mwenye akili, weledi na nguvu kuliko kunguru ama njiwa. Mwewe anaweza kutatiza viumbe wengine kama kuku, nyoka na wanyama wadogowadogo. Hivyo, Mwewe ni alama muhimu kwenye mataifa makubwa yenye mafanikio makubwa kama Marekani na makampuni makubwa ya kibiashara. Siku ukiona mwewe umekutembelea wewe sehemu ulipo ujue kuwa wewe una nguvu nyingi sana kinyota, tofauti na kutembelewa na kunguru, bundi, njiwa au bata. Njiwa na bundi wanatumiwa sana katika hatakati za kijini/kichawi, sio mwewe/tai.

Nasikia kuwa hivi karibuni mwewe kafika kwenye mazoezi ya Yanga wasichana kusalimia na kubeba zawadi na kuondoka nayo. Hii ni nzuri sana sana sana kwa timu. Naomba kwa kitendo hiki Yanga ifikirie kuweka alama ya mwewe/tai kwenye jezi yake ya timu japo kwenye mikono ya jezi na pajani mwa bukta kuheshimu ujumbe huu uliofikishwa kwa na mwewe kutoka kwa mwenyezimungu.
 
Mwewe ni ndege mwenye akili, weledi na nguvu kuliko kunguru ama njiwa. Mwewe anaweza kutatiza viumbe wengine kama kuku, nyoka na wanyama wadogowadogo. Hivyo, Mwewe ni alama muhimu kwenye mataifa makubwa yenye mafanikio makubwa kama Marekani na makampuni makubwa ya kibiashara. Siku ukiona mwewe umekutembelea wewe sehemu ulipo ujue kuwa wewe una nguvu nyingi sana kinyota, tofauti na kutembelewa na kunguru, bundi, njiwa au bata. Njiwa na bundi wanatumiwa sana katika hatakati za kijini/kichawi, sio mwewe/tai.

Nasikia kuwa hivi karibuni mwewe kafika kwenye mazoezi ya Yanga wasichana kusalimia na kubeba zawadi na kuondoka nayo. Hii ni nzuri sana sana sana kwa timu. Naomba kwa kitendo hiki Yanga ifikirie kuweka alama ya mwewe/tai kwenye jezi yake ya timu japo kwenye mikono ya jezi na pajani mwa bukta kuheshimu ujumbe huu uliofikishwa kwa na mwewe kutoka kwa mwenyezimungu.
Yanga wenye akili ni wawili tu, Kikwete na Sunday Manara
 
Mwewe ni ndege mwenye akili, weledi na nguvu kuliko kunguru ama njiwa. Mwewe anaweza kutatiza viumbe wengine kama kuku, nyoka na wanyama wadogowadogo. Hivyo, Mwewe ni alama muhimu kwenye mataifa makubwa yenye mafanikio makubwa kama Marekani na makampuni makubwa ya kibiashara. Siku ukiona mwewe umekutembelea wewe sehemu ulipo ujue kuwa wewe una nguvu nyingi sana kinyota, tofauti na kutembelewa na kunguru, bundi, njiwa au bata. Njiwa na bundi wanatumiwa sana katika hatakati za kijini/kichawi, sio mwewe/tai.

Nasikia kuwa hivi karibuni mwewe kafika kwenye mazoezi ya Yanga wasichana kusalimia na kubeba zawadi na kuondoka nayo. Hii ni nzuri sana sana sana kwa timu. Naomba kwa kitendo hiki Yanga ifikirie kuweka alama ya mwewe/tai kwenye jezi yake ya timu japo kwenye mikono ya jezi na pajani mwa bukta kuheshimu ujumbe huu uliofikishwa kwa na mwewe kutoka kwa mwenyezimungu.
Nyie ni chura msikimbie asili yenu
 
Nilisema ..lakin narudia kua tarehe 8 tutaona kati ya wachawi wa pangani na mtwara na Allah Subbnallah nani ana nguvu.
Mungu ana mambo mengi ya kufanya wachezaji kawapa pumzi na nguvu za kucheza siku hiyo basi waache wakatumie uwezo,akili na maarifa yao wayapambanie,ubora wa timu,kipaji cha mtu mmoja mmoja na bahati vyote vitaamua mechi, sio kila mala Allah Allah mfyuuuuuuu pumbavu
 
Mwewe ni ndege mwenye akili, weledi na nguvu kuliko kunguru ama njiwa. Mwewe anaweza kutatiza viumbe wengine kama kuku, nyoka na wanyama wadogowadogo. Hivyo, Mwewe ni alama muhimu kwenye mataifa makubwa yenye mafanikio makubwa kama Marekani na makampuni makubwa ya kibiashara. Siku ukiona mwewe umekutembelea wewe sehemu ulipo ujue kuwa wewe una nguvu nyingi sana kinyota, tofauti na kutembelewa na kunguru, bundi, njiwa au bata. Njiwa na bundi wanatumiwa sana katika hatakati za kijini/kichawi, sio mwewe/tai.

Nasikia kuwa hivi karibuni mwewe kafika kwenye mazoezi ya Yanga wasichana kusalimia na kubeba zawadi na kuondoka nayo. Hii ni nzuri sana sana sana kwa timu. Naomba kwa kitendo hiki Yanga ifikirie kuweka alama ya mwewe/tai kwenye jezi yake ya timu japo kwenye mikono ya jezi na pajani mwa bukta kuheshimu ujumbe huu uliofikishwa kwa na mwewe kutoka kwa mwenyezimungu.
nyuma mwiko bhana bado mnaangalia anga nini kitakatiza hamjiamini, mtakula 3:0 trhe8
 
Mwewe ni ndege mwenye akili, weledi na nguvu kuliko kunguru ama njiwa. Mwewe anaweza kutatiza viumbe wengine kama kuku, nyoka na wanyama wadogowadogo. Hivyo, Mwewe ni alama muhimu kwenye mataifa makubwa yenye mafanikio makubwa kama Marekani na makampuni makubwa ya kibiashara. Siku ukiona mwewe umekutembelea wewe sehemu ulipo ujue kuwa wewe una nguvu nyingi sana kinyota, tofauti na kutembelewa na kunguru, bundi, njiwa au bata. Njiwa na bundi wanatumiwa sana katika hatakati za kijini/kichawi, sio mwewe/tai.

Nasikia kuwa hivi karibuni mwewe kafika kwenye mazoezi ya Yanga wasichana kusalimia na kubeba zawadi na kuondoka nayo. Hii ni nzuri sana sana sana kwa timu. Naomba kwa kitendo hiki Yanga ifikirie kuweka alama ya mwewe/tai kwenye jezi yake ya timu japo kwenye mikono ya jezi na pajani mwa bukta kuheshimu ujumbe huu uliofikishwa kwa na mwewe kutoka kwa mwenyezimunu
 
Mnahangaika kusjili wachezaji Tena mje muwalipe + waganga.
SI muwasajili waganga mmalize kujitesa.

Ya Nini kujtesa Mara mbilimbili.
 
Mwewe ni ndege mwenye akili, weledi na nguvu kuliko kunguru ama njiwa. Mwewe anaweza kutatiza viumbe wengine kama kuku, nyoka na wanyama wadogowadogo. Hivyo, Mwewe ni alama muhimu kwenye mataifa makubwa yenye mafanikio makubwa kama Marekani na makampuni makubwa ya kibiashara. Siku ukiona mwewe umekutembelea wewe sehemu ulipo ujue kuwa wewe una nguvu nyingi sana kinyota, tofauti na kutembelewa na kunguru, bundi, njiwa au bata. Njiwa na bundi wanatumiwa sana katika hatakati za kijini/kichawi, sio mwewe/tai.

Nasikia kuwa hivi karibuni mwewe kafika kwenye mazoezi ya Yanga wasichana kusalimia na kubeba zawadi na kuondoka nayo. Hii ni nzuri sana sana sana kwa timu. Naomba kwa kitendo hiki Yanga ifikirie kuweka alama ya mwewe/tai kwenye jezi yake ya timu japo kwenye mikono ya jezi na pajani mwa bukta kuheshimu ujumbe huu uliofikishwa kwa na mwewe kutoka kwa mwenyezimungu.
Mwiko wenyewe haujawahi kuwekwa ijekuwa mwewe.
 
NASEMAGA HAPA MWENYE MGANGA MZURI NDIE ANAEAMUAGA HII MECHI KUBWA KULIKO ZOTE.
 
Mwewe ni ndege mwenye akili, weledi na nguvu kuliko kunguru ama njiwa. Mwewe anaweza kutatiza viumbe wengine kama kuku, nyoka na wanyama wadogowadogo. Hivyo, Mwewe ni alama muhimu kwenye mataifa makubwa yenye mafanikio makubwa kama Marekani na makampuni makubwa ya kibiashara. Siku ukiona mwewe umekutembelea wewe sehemu ulipo ujue kuwa wewe una nguvu nyingi sana kinyota, tofauti na kutembelewa na kunguru, bundi, njiwa au bata. Njiwa na bundi wanatumiwa sana katika hatakati za kijini/kichawi, sio mwewe/tai.

Nasikia kuwa hivi karibuni mwewe kafika kwenye mazoezi ya Yanga wasichana kusalimia na kubeba zawadi na kuondoka nayo. Hii ni nzuri sana sana sana kwa timu. Naomba kwa kitendo hiki Yanga ifikirie kuweka alama ya mwewe/tai kwenye jezi yake ya timu japo kwenye mikono ya jezi na pajani mwa bukta kuheshimu ujumbe huu uliofikishwa kwa na mwewe kutoka kwa mwenyezimungu.
Kaa kimya ujui kitu,huyo mwenye unaemzungumzia ndo jamii hiyo hiyo ya kunguru,hawana akili hata kidogo,mzee mmoja hapo zamani alimtuma kunguru,wee mbona alijilaumu! Ila alifanikiwa baada ya kumtuma njiwa ndo chanzo mpaka Leo njiwa anaaminika mpaka amejua mshenga sasa,ndo maana Kuna ule wimbo;

Njiwa peleka salamuuu,
Kwa yule wangu muhibuu,


Ewee njiwaa,ewee njiwaa
Peleka salamuuu.
 
Back
Top Bottom