Mwewe kufika mazoezi ya Yanga ni ushindi mkubwa kwa Yanga.

Mwewe kufika mazoezi ya Yanga ni ushindi mkubwa kwa Yanga.

Duuh!

Nakala aione Mtani wangu Greatest Of All Time kwa ajili ya uchambuzi. Teh
Tarehe nane kipigo kiko palepale, mtake msitake
IMG_5579.jpeg
 
Mwewe ni ndege mwenye akili, weledi na nguvu kuliko kunguru ama njiwa. Mwewe anaweza kutatiza viumbe wengine kama kuku, nyoka na wanyama wadogowadogo. Hivyo, Mwewe ni alama muhimu kwenye mataifa makubwa yenye mafanikio makubwa kama Marekani na makampuni makubwa ya kibiashara. Siku ukiona mwewe umekutembelea wewe sehemu ulipo ujue kuwa wewe una nguvu nyingi sana kinyota, tofauti na kutembelewa na kunguru, bundi, njiwa au bata. Njiwa na bundi wanatumiwa sana katika hatakati za kijini/kichawi, sio mwewe/tai.

Nasikia kuwa hivi karibuni mwewe kafika kwenye mazoezi ya Yanga wasichana kusalimia na kubeba zawadi na kuondoka nayo. Hii ni nzuri sana sana sana kwa timu. Naomba kwa kitendo hiki Yanga ifikirie kuweka alama ya mwewe/tai kwenye jezi yake ya timu japo kwenye mikono ya jezi na pajani mwa bukta kuheshimu ujumbe huu uliofikishwa kwa na mwewe kutoka kwa mwenyezimungu.
Mmejaa ushirikina tu.
Bila ushirikina ninyi ni wa kawaida saizi ya Tabora united.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Inawezekana pia Mtani mana mshaanza figisu figisu. Lol
baada ya mwewe kudunda sasa wanaondoka na Alli Kamwe kabla ya trh 8. Ni mahangaiko tu, Alli ni kijana mdogo sana, hata akiondoka Yanga itabaki; supu na mabango yataendelea viiileviiiileee kumuenzi.
 
Dah we acha tu mwananchi tusubiri tr 8 tumle mtu kichwa
Kuna watu zamani walikuwa wakiamini mvua ikinyesha siku ya mechi wanashinda mechi. Lakini siku hizi wameachana na ujinga huo baada ya kupokea vichapo hata mvua ikinyesha ya mawe.
 
Back
Top Bottom