Mwewe kufika mazoezi ya Yanga ni ushindi mkubwa kwa Yanga.

Mwewe kufika mazoezi ya Yanga ni ushindi mkubwa kwa Yanga.

1741096243748.png

Nawazungumzia wachawi 51mba..!! Maana wewe ulivyoandika Yanga washirikina, hili la faini kisa uchawi huko SA inaonekana ulikuwa hulijui
 
K
Mi nikisoma post najua tu huyu mpuuzi,mshirikina,mvivu hana akili,
Yaan mwewe kuonekana sehem ni ishara ya nguvu? Mara bundi ni mchawi sasa tufanyaje sisi?
Kuna watu Wana mawazo kuwa mwewe katumwa na wachawi kwenye mazoezi, ni upuuzi.
 
Vita ya kisaikolojia inawaua wajinga TU. Mwewe ni alama ya uimara sio unyonge, endeleeni kuleta myewe Tanga.
Mnahangaika kusjili wachezaji Tena mje muwalipe + waganga.
SI muwasajili waganga mmalize kujitesa.

Ya Nini kujtesa Mara mbilimbili.
Ya
 
Simba walironga kule south mchana kweupe katikati ya uwanja ndio washindwe kiroga kwa mkapa?
Hivyo ni vitisho tu lakini ukweli ni kuwa uchawi hausaidii kitu kwenye mpira ni fikra potofu vinginevyo Nigeria wangekuwa wanachukua hadi World Cup. Mimi ni shabiki wa Simba lakini wakifanya huo ujinga nawachana live.
 
Mungu ana mambo mengi ya kufanya wachezaji kawapa pumzi na nguvu za kucheza siku hiyo basi waache wakatumie uwezo,akili na maarifa yao wayapambanie,ubora wa timu,kipaji cha mtu mmoja mmoja na bahati vyote vitaamua mechi, sio kila mala Allah Allah mfyuuuuuuu pumbavu
Nilisema ..lakin narudia kua tarehe 8 tutaona kati ya wachawi wa pangani na mtwara na Allah Subbnallah nani ana nguvu.
 
Vita ya kisaikolojia inawaua wajinga TU. Mwewe ni alama ya uimara sio unyonge, endeleeni kuleta myewe Tanga.

Ya
Kamati ya ufundi imejaa wazee wa kiMila hapa unaleta habari za Psycho 😂
Wenye akili ni hao (2)
 
Hivyo ni vitisho tu lakini ukweli ni kuwa uchawi hausaidii kitu kwenye mpira ni fikra potofu vinginevyo Nigeria wangekuwa wanachukua hadi World Cup. Mimi ni shabiki wa Simba lakini wakifanya huo ujinga nawachana live.
Uchawi ni fikra kwa anaeamini na kuuogopa uchawi. Uchawi unachezwa na psychology ya "aliyerogwa" vinginevyo hakuna uchawi kwa asiyeuamini. Kama tungekuwa na uchawi basi tungewaroga wakoloni waliotuhangaisha kwa karne nzima.
 
Mkuu sio Kolo huyu kweli?
Uchawi ni vile ubongo wako utakavyochakata vitendo vya kichawi. Vitendo vya kichawi ni vile vitendo ambavyo sio common kwenye jamii husika; vinatumia uncommon sense.

Kama akili yako ikiamini umerogwa itauagiza mwili wako uugue hata kama hakuna maambukizi. Hii inaitwa "psychosomatic effects".
 
MWEWE ALIENDA KWENYE TIMU YA WANAWAKE YA YANGA PRINCES NA SIO YANGA YA WANAUME
 
Back
Top Bottom