Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Kabisa. Uko poa lakini mpendwa?Tutafika paradiso tumekata moto.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa. Uko poa lakini mpendwa?Tutafika paradiso tumekata moto.
Nipo rafiki. Thanks for asking. Waendeleaje Mkuu.Kabisa. Uko poa lakini mpendwa?
Niko salama pia namshukuru MunguNipo rafiki. Thanks for asking. Waendeleaje Mkuu.
Nasiche Dada,September 28 ,2019 nikiwa nimekosa uelekeo wa maisha ya kimahusiano nilikuja hapa jukwaani ,Nikasema natafuta Mume ,kiukweli uhitaji nilikiwa nao lakini sikuwa naamini kama huku nitapata mtu,pili niliogopa ningeonekana kuhuni au kutoaminika so ilikuwa kama njia TU ya kujiondolea stress walikuja watu wengi sana Pm Kwa sababu sikuweka vigezo hivyo sikuweza kumjibu yeyote.Niliamuwa kupost tena na kuchanganua nini nataka ,wapo
Hii comments hatakaa aipende wala ku iquote, sababu imesheheni reality (uhakika).Yanaanzaga Mapenzi yanakuja mahusiano zinafuata vurugu[emoji23]
kila la heri wanajf
Nimefatilia threads zake, nikagundua hakuna kitu bado ni stress zinamsumbua, na itakuwa mafisi wa JF walizama inbobo tifua sana na kuamsha popo, sasa anawarusha roho! Eti nilimpa namba mmoja tu, hahaaa wakikasirika huko walipo wakaanza kuleta evidence idadi ya walio mla muanze kulia oooh anafanyiwa bullying bullying, ilihal huwa hizi issue zinaanzishwaga na wanawake wenyewe eidha privately au publicaly kama hiviAna weeks anaanza kutupigia kelele; Mimi mpaka ndoa Ina miaka 10 ilikuwa paradise; sasa hivi nakaangika
Hongera sana na ndoa yenu iwe ya kheri.
Nimefatilia threads zake, nikagundua hakuna kitu bado ni stress zinamsumbua, na itakuwa mafisi wa JF walizama inbobo tifua sana na kuamsha popo, sasa anawarusha roho! Eti nilimpa namba mmoja tu, hahaaa wakikasirika huko walipo wakaanza kuleta evidence idadi ya walio mla muanze kulia oooh anafanyiwa bullying bullying, ilihal huwa hizi issue zinaanzishwaga na wanawake wenyewe eidha privately au publicaly kama hivi
Asanthe Dear Khantwe.Niko salama pia namshukuru Mungu
Naitwa adden naomba tufamianeYanaanzaga Mapenzi yanakuja mahusiano zinafuata vurugu😂
kila la heri wanajf
We ni me au ke?naitwa adden naomba tufamiane
Hongera sana Mamii,.Ndoa yenu ikawe ya kheri mkapate uzao mwema.
Kupitia mrejesho wako umetupa moyo, wanaume wazuri bado wapo[emoji5]
[emoji1] [emoji1] naona promo imeanzaHongereni sana,
Humu mitandaoni waume wazuri na waaminifu bado tupo [emoji41]
Watu wa mitandaon wnaish sayar ya Pluto sio ze earthHuwa nashangaa sana tunaposema watu wa mitandaoni siovwa kuwaamini, hivi hao wa mitandaoni wanaishi nje ya Tanzania au ndiyo haohao wa mitaani?