Mwezi ujao napata milioni 30. Naomba ushauri namna ya kuzitumia

Mkuu,Milioni 30 ni 10,000 USD.Ni pesa nzuri. Unapofikira ufanye nini na Pesa Jiulize Umeipataje?Sasa Hivi unajishughulisha na nini?Kipato chako kwa sasa ni kiasi gani?Gharama zako za maisha kwa wastani ni kiasi gani?Malengo yako ya muda mfupi na mrefu ni yapi(Ya kifedha).

Ukishajibu hayo Maswali kwa Ufasaha basi tazama furs mahali ulipo Au Jiulize Uwezo wako wa Kurisk ni mkubwa kiasi gani.Zingatia kwamba Katika Biashara unakuwa unachukua RISK hivyo ni muhimu uzingatie kwamba kuna Kupata au hata Kupoteza.
 
Biashara za jamii forums (pdf) . Baada ya wiki, ukitoa na kujumlisha, baada ya mwaka milioni 20, [emoji23]
 
Kaka MKUBWA acha utapeli , hizi janja janja za kizamani
 
Kama unafanya na watu mnaofahamiana tu na hutaki kufatwa PM taarifa hapa umeileta ya kazi gani?
 
Yani we jamaa umesababisha mwenzio nacheka barabarani 🙌🙌🙌😂😂😂
 
Nunua bodaboda 10 uwape vijana wakuchumie hela, boda moja kwa siku 12,000 tzs kumi ni 120,000.
Kwa mwezi ni 3,600,000 tzs. Yaani utakua na uwezo wa kuongeza boda mpya kila mwezi mpaka uwezo wako wa kuzi control utakaposhindwa.
Bodaboda moja ni sh ngapi mzee baba???
 
Unitafute nikuuzie shamba zuri kigamboni mwasonga karibu na stend ...uje na 12m heka 2
 
Kwanza ungesema hiyo milioni 30 umeipata kupitia source gani either biashara,mirathi, au kuna asset umeuza ndo ningejua namna ya kukushauri.
 
Habari, mwezi ujao naenda kupata milioni 30. Vijana wenzangu naombeni ushauri ili nisije kujuta baadae maana hela sasa hivi sina. Na hiyo hela sidhani kama nitaipata tena kama.

Naombeni ushauri kama ungekuwa wewe ungefanyaje.

Nina mke na watoto 3
Usizitumie.
Weka bank
Tafuta kituo cha faragha...recreation...
Pata utuluvu mpaka akili ikukae sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…