Wewe ni tapeli.#No malice to anybody. If you don't understand what that means then better style up.
Biashara za jamii forums (pdf) . Baada ya wiki, ukitoa na kujumlisha, baada ya mwaka milioni 20, [emoji23]Kwa kuwa bado huna wazo la biashara,ili usipoteze pesa nunua bajaji 3 ziweke barabarani,kila siku utapata 60,000@30=1,800,000 baada ya Mwaka na nusu utapata 30M yako na bajaji ju-hii risk ni ndogo .Kwa muda huo wote utakuwa umisha pata wazo la biashara ya kufanya.
Kaka MKUBWA acha utapeli , hizi janja janja za kizamaniI'm not here to prove a point to you or anybody else. Sitafuti mshirika, ndio nlianza kwa kusema "Ningekua namfahamu" . Kutomfahamu tayari kunamtoa nje ya ushauri wangu lkn Bado namuonea huruma kwasabb ya biashara kicha ambazo nlisema ziko saturated ( Yaani Kila mtu anafanya) ambazo anashauliwa kufanya, kupoteza mtaji wake ni rahisi kwa asilimia zaidi ya 70. So ndugu yangu usiwe na hofu mm sitafuti mshirika kwa nataka nimtapeli, aongee na matajir ambao Yuko karibu nao labda wasipokua wachoyo watampa connection.
Kama unafanya na watu mnaofahamiana tu na hutaki kufatwa PM taarifa hapa umeileta ya kazi gani?Sema hatufamiani hizo biashara zote ziko saturated lkn hata UTT faida ni kdogo, Ningekua nakufahamu ningekuelekeza namna ya kuwekeza hiyo Pesa yako na kupata 1% Kila siku kwanzia jumatatu Hadi ijuma, kwa maana unapata laki tatu Kila cku kwa mwaka mzima, kwa maana hiyo unarudisha mtaji wako ndani ya miezi mitano na unaanza kupata faida Hadi mwaka uishe.
Sitaki mtu anifuate PM kutaka kujua hii ni biashara gani, tunafanya na watu ambao tunafamiana nao.
#No malice to anybody
Yani we jamaa umesababisha mwenzio nacheka barabarani 🙌🙌🙌😂😂😂Tia millioni 20 mpe yanga anashinda mechi yake dhidi ya kaizer chief tarehe 27 Odd 2 million 40 hii hapa On zee pocket 😁😂😂
5 unakula bata binafsi
5unakula bata shirikishi na mpenzi wako (waifu)
2 unawalisha bata watoto
Kwenye ile 20 million ya faida inabaki millioni nane
5 unaenda kuweka heshima ukweni
3 unaweka heshima kwenu
Inabaki 20 million exactly sasa hapo unakua umejiweka sawa exactly kiemoshono, kifiziko bila kusahau kibayolojiko hata maamuzi ya hiyo 30 million yatakua sahihi na baraka za ukweni utakua unazo
Kila unachogusa ni big yess😂😂😂
😂
Najua unajua kwanini sijasema uweke 30 million
😂
Tusije kukuta mtu kajinyonga
Ukapanda cheo kutoka jf expert member mpaka kwenye RIP
Kama unafanya na watu mnaofahamiana tu na hutaki kufatwa PM taarifa hapa umeileta ya kazi gani?
Bodaboda moja ni sh ngapi mzee baba???Nunua bodaboda 10 uwape vijana wakuchumie hela, boda moja kwa siku 12,000 tzs kumi ni 120,000.
Kwa mwezi ni 3,600,000 tzs. Yaani utakua na uwezo wa kuongeza boda mpya kila mwezi mpaka uwezo wako wa kuzi control utakaposhindwa.
Acha utapeli jomba, naona unajitetea sana ili uaminike umtapeli mwenzio.
Basi uwezekano ni anataka afatwe.Ni swali nililo muuliza akabaki ana Jamba Jamba tu.
Ni utapeli mkuuNimemuuliza lengo la kuandika namna anaingiza hizo pesa ni nini wakati huo huo hataki kumuelekeza mtu vile ana fanya. Kama sio utapeli ni nini
Pakatwa na trabsasa mimi ninaeenda kupokea milioni 200m mwezi ujao na- comment wapi?
Usizitumie.Habari, mwezi ujao naenda kupata milioni 30. Vijana wenzangu naombeni ushauri ili nisije kujuta baadae maana hela sasa hivi sina. Na hiyo hela sidhani kama nitaipata tena kama.
Naombeni ushauri kama ungekuwa wewe ungefanyaje.
Nina mke na watoto 3
UnampotezaMilioni 20 nunua Toyota Cami anza bialhara za Bolt
Milioni 10 nunua kiwanja Kigamboni anza ujenzi
Tafuta daladala ya 10mMkuu kwa 30m ni biashara gani ya usafirishaji itamfaa ukitoa bodaboda kama alivyoshauri mdau mmoja hapo juu?
Aanze ujenzi kwa pesa gani wakati hapo itakuwa ishakwisha?Milioni 20 nunua Toyota Cami anza bialhara za Bolt
Milioni 10 nunua kiwanja Kigamboni anza ujenzi