FRANC THE GREAT
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 5,500
- 8,060
- Thread starter
-
- #41
Hiyo ni scientific hypothesis yenye kuelezea masuala mbalimbali kuhusiana na kufanyika kwa Mwezi ambayo kisayansi, ni lazima ijaribiwe zaidi na zaidi. Hiyo ni kikanuni kabisa katika sayansi.Kaka unaweza kuniambia ni Sayansi gani iliyo tumika hapo kuvumbua hiko kitu, kitu ambacho msingi wake ni dhana na hakina ushahidi ? Kwa maana huyo mtu alijuaje kwamba umri wa Mwzi ni mdogo kuliko Dunia kwa kuchukua udongo,udongo ambao hawajatupa ushahidi kwamba ni kweli umetoka huko au kutuonyesha habari hizo wamezitoa wapi ?
Mimi wala silazimishi mambo bali nakujibu kuendana na hoja zako. Hoja yako kuhusiana na "muumbaji" ina mapungufu ambayo mtu yeyote makini anaweza kuyatumia mapungufu hayo kuku-challenge.Hili tatizo lingine naona unalazimisha mambo kwa lipi huko kuitwe kuumba ? Kinacho umba lazima kiwe na hizo sifa.
Hilo bonde limetokeaje pasipo kuumbwa na maji? Na kabla ya hapo, kwanini liitwe "bonde" kama si umbo fulani linalopelekea kuitwa jina hilo? Je, hilo bonde limewekwa na kitu chenye zile tabia ulizozitaja pale awali?Kwa mfano maji huwa tuna sema mathalani "Bonde hili ni matokeo ya mvua kubwa iliyo nyesha wiki iliyo pita" na hakuna lugha inayo kubali ya kuwa Mvua imeumba.
Upepo hauwezi kufanya hilo kivipi? Upepo ndio chanzo cha maumbo hayo ya kijiografia kutokea. Kabla ya upepo kufanya kazi yake, maumbo hayo hayakuwepo. Kweli, si kweli?Upepo hauwezi kufanya hilo, bali unakuwa ni sehemu ya matikeo ya hicho unacho kidai,ila kuhusu uumbaji lazima kihusike kabla ya kuwepo na kuja kuwepo kitu hicho.
Ndio! Naendelea kuuonesha huo wepesi.Safi kabisa, onyesha wepesi wa hoja hii.
Sizungumzii chanzo ama kisababishi cha upepo kuwepo..la hasha! Bali nazungumzia chanzo cha maumbo hayo mbalimbali ya ardhini kuwepo.Hili halipo na halijawahi kuwa. Tamko kuumba linamili katika hizo nukta tano, sababu hata lugha inakataa hilo, yaani ni sawa sawa na wewe utuambie ya kuwa moto umeumba joto, au shoka limeumba kipande cha mti, na kusahahu nani aliyesababisha uwepo wa upepo huo au mvua hiyo ?
Hayo mawazo binafsi hayapokelewi tu bila kupimwa. Nadharia yeyote ya kisayansi ni lazima ipitie majaribio. Ni lazima iruhusu kujaribiwa, kuhojiwa, kupimwa na kufanyiwa utafiti.Ambayo kiuhalisia ni mawazo yao binafsi wakayapa jina hilo la "Evidence/Facts" ukweli ambao siyo sahihi.
Sahihi kabisa, ila jambo hilo lazima kuwepo watu wa mwanzo walio shuhudia jambo hilo kisha urithi ukafata mpaka kutufikia sisi. Sasa habari inapokuja bila uthibitisho hata wa mtu wa mwanzo, tena habari ambayo ilitakiwa awepo aliye shuhudia huku ni kuihujumu Elimu na kufungua mlango wa kila mtu kujitungia anacho kitaka.
Hatukatai juu ya uwepo wa tafiti mbali mabli, swali linakuja tafiti hizo zimejengeka katika msingi gani na je ni tafiti za kweli na kwanini zifanyike na je zinaweza kufanyika ?
Kwa mtazamo wangu, hizi ni nadharia za kisayansi. Kuja kwake ni sahihi katika ulimwengu wa kisayansi kwa sababu ni lazima tuhoji masuala mbalimbali yaliyomo humo. Kuhoji na kuipima nadharia hiyo ni kanuni ya kisayansi.Nilikuuliza huko awali lakini hukunijibu swali hili, je maelezo haya kwa mtazamo wako unahisi ni sawa yalivyokuja bila ushahidi na bila kuambiwa mtu huyo alijuaje au alizipataje hizi habari ? Au mnaridhika tu sababu zimekuja kwa jina la kuvutia la "Sayansi" ?
Safi kabisa, jambo ambalo halina ithibati linafanyiwa vipi kazi kisayansi ? Vipi kuhusu hitimisho la jambo hilo ? Rejea hiki ulichokiandika.Kisayansi, hiyo ni scientific hypothesis, inaelezeka kisayansi kwa kujibu hoja mbalimbali kuhusiana na masuala hayo. Na kwa sababu ni scientific hypothesis ni lazima tuijaribu. Nadharia yeyote isiyojaribiwa kisayansi hiyo si nadharia ya kisayansi, au tunaweza kusema kuwa nadharia hiyo sio "scientific".
Sahihi kabisa, hivi unafikiri hawa Wanasayansi mpaka kufikia kuhitimisha jambo ubafikiri wali hoji kwa usahihi ? Tatizo siyo kuhoji, tatizo ni je mnahoji kwa usahihi ?Uwepo wa scientific hypothesis, hautuzuii sisi kuhoji. Tunahoji!
Hata katika makundi mbalimbali ya wanasayansi kuna mijadala mingi tu kuhusiana na masuala ya kisayansi. Wapo wanaokubali jambo fulani pia wapo wasiofanya hivyo. Hivyo ndivyo sayansi ilivyo.
Sasa hili jambo mbona linaonyesha wazi kabisa hamja hoji, maana laiti kama mngekuwa mmehoji msingefikia kufanya utafiti juu ya jambo ambalo halina msingi wa ukweli, wala ushahidi zaidi ya mawazo ya mtu tu. Sidhani kama ni kweli nadharia yoyote ya Kisayansi lazima ipitie kwenye majaribio, mathalani unaweza kuniambia ni jaribio gani la kisayansi lililo fanyika na kuonyesha ya kuwa Dunia inazunguka au ipo katika mwendo na jaribio gabi la Kisayansi lililo fanyika na kuhitimisha ya kuwa Jua halipo katika mwendo ?Hayo mawazo binafsi hayapokelewi tu bila kupimwa. Nadharia yeyote ya kisayansi ni lazima ipitie majaribio. Ni lazima iruhusu kujaribiwa, kuhojiwa, kupimwa na kufanyiwa utafiti.
Uwepo na mtu wa mwanzo wa kushuhudia jambo sio lazima katika evidence gathering bali ni ushahidi uliopo unaoweza kuthibitisha kutokea kwa jambo fulani hapo zamani. Available facts!
Kwa mtindo huu ndiyo maana Sayansi ina sanaa nyingi na kulazimisha mambo.Kwa mtazamo wangu, hizi ni nadharia za kisayansi. Kuja kwake ni sahihi katika ulimwengu wa kisayansi kwa sababu ni lazima tuhoji masuala mbalimbali yaliyomo humo. Kuhoji na kuipima nadharia hiyo ni kanuni ya kisayansi.
Kwa mfano embu tuambie kwa nadharia hii ya umri wa mwezi, wewe ungeanza kuhoji vipi. Embu tuelekeze.Hakuna kuridhika hapo bali ni mwendo wa kuhoji na kutafiti.
Na hii habari lazima iwepo na mtu wa mwanzo ili kuujua ukweli wake, kinyume chake hata nyinyi mnapo ifanyia lazima mkosee katika hitimisho, sababu mwanzo wake kabisa unathibitisha habari hii ni ya UONGO.Uwepo na mtu wa mwanzo wa kushuhudia jambo sio lazima katika evidence gathering bali ni ushahidi uliopo unaoweza kuthibitisha kutokea kwa jambo fulani hapo zamani. Available facts
Hili la hii nadharia.Jambo lipi hilo ambalo halina asili?
Unaweza kufanya utafiti kwa jambo ambalo halijawahi kuwepo ?Utafiti katika masuala ya kisayansi pia na masuala mengine ni jambo muhimu sana katika kujifunza mambo mbalimbali. Tunajifunza mambo mbalimbali kupitia tafiti, hili ni kwa wote. Kupitia tafiti tunaweza kujua kuwa masuala kadha wa kadha hayaelezeki kisayansi.
Labda nikusaidie hapa, unaweza kunips sifa za muumbaji ? Mathalani kwako wewe unakusudia muumbaji ni "Maji". Yaani mathalani wewe unaweza kumuita 'mchora tattoo" ni muumbaji kisa amekuwa sababu ya kuwepo kwa tattoo kwa mtu husika, na hivi ndivyo ilivyo kwa maji, yaani maji yameleta athari kwenye jambo ambalo lipo tayari, na huku hapaitwi au hakuitwi "uumbaji" ,mathalani tunaposema "Binadamu ameumbwa ujue hapakuwa kabla yake na mfani wake".Hilo bonde limetokeaje pasipo kuumbwa na maji? Na kabla ya hapo, kwanini liitwe "bonde" kama si umbo fulani linalopelekea kuitwa jina hilo? Je, hilo bonde limewekwa na kitu chenye zile tabia ulizozitaja pale awali?
Kwa hili huwezi kuni "Challange" sababu udhaifu wako upi wazi na nimeuona mapema sana, kwa wewe kutokujua maana ya tamko "uumbaji" na ni yapi masharti au sifa za tamko hilo.Mimi wala silazimishi mambo bali nakujibu kuendana na hoja zako. Hoja yako kuhusiana na "muumbaji" ina mapungufu ambayo mtu yeyote makini anaweza kuyatumia mapungufu hayo kuku-challenge
Wewe nithibitishie tu, ili tuone kwamba hili unalo liandika ni kweli au si kweli.Upepo hauwezi kufanya hilo kivipi? Upepo ndio chanzo cha maumbo hayo ya kijiografia kutokea. Kabla ya upepo kufanya kazi yake, maumbo hayo hayakuwepo. Kweli, si kweli?
Kaka inakuwaje unafikia hitimisho kabla hujatuthibitishia ukweli wa unacho dai ya kuwa upepo ndiyo umeumba haya maumbo ?Maumbo hayo yamekuwepo kwa sababu yameumbwa na upepo. Je, upepo una zile sifa zote ulizozitaja?
Mpaka muda huu hujaonyesha hilo, sababu kadiri unavyo elezea ndiyo unazidisha maswali ambayo hayana majibu.Ndio! Naendelea kuuonesha huo wepesi.
Hili haliepukiki, sababu huwezi kuelezea hili bila kujua upepo ni nini na umetokana na nini na kwa lipi uwe chanzo cha uwepo wa maumbile haya. Mathalani nikikuuliza wewe ni ipi kazi ya Milima katika mgongo wa ardhi bila shaka utaniambia, nitakuuliza swali je kwanini au kwa vipi kile ambacho ndiyo sababu kisiwe na malengo na ufahamu wa kufanya milima iwepo ? Kwako wewe hapa una dai ni UPEPO.Sizungumzii chanzo ama kisababishi cha upepo kuwepo..la hasha! Bali nazungumzia chanzo cha maumbo hayo mbalimbali ya ardhini kuwepo.
Mimi sikatai kama hayajaumbwa ila tunapingana juu ya nani ambaye ameyaumba haya maumbile. Wewe unasema ni upepo, na hapa nasubiri unipe ushahidi wa hilo.Je, maumbo mbalimbali ya kijiografia katika ardhi yetu hii yametoka wapi pasipo kuumbwa?
Suala la majina ni suala lingine ambalo kiuhalisia upepo wenyewe ndiyo ungetupa majina ya kile ilicho kiumba, lakini ajabu majina ya hayo maumbo yametolewa na mwanadamu.Na si hapo tu bali maumbo hayo yamepewa mpaka na majina kuonesha utofauti wa umbo moja na jingine. Je, yameumbwa na kitu gani?
Huwezi kulifanyia kazi jambo fulani bila kujua kuwa unafanya kitu gani. Kisayansi, nadharia ndio starting point katika kuyaelezea masuala mbalimbali yenye utata yanayohitaji ufumbuzi wa kisayansi, kanuni inayofuata hapo ni kuijaribu nadharia. Nadharia haiwezi kukubalika kama haitoweza kujaribiwa na haiwezi kujaribiwa kama hakuna uwezekano wa kuijaribu na kama hakuna uwezekano huo, basi hiyo nadharia si nadharia ya kisayansi.Safi kabisa, jambo ambalo halina ithibati linafanyiwa vipi kazi kisayansi ? Vipi kuhusu hitimisho la jambo hilo ? Rejea hiki ulichokiandika.
Kwahiyo hii ni nadharia ya kisayansi si ndiyo ? Hivi huoni kwamba kwa mtindo huu mtakuwa mnakosea maisha yenu yote ? Kufanyia kazi jambo ambalo kwa vyovyote vile halina ushahidi.
Usahihi wa kuhoji upo katika majaribio na tafiti. Unahoji kwa facts zinazotokana na tafiti. Tafiti zinapotoa majibu ya kupingana na nadharia husika katika maswala mbalimbali na muhimu ndipo hapo nadharia hiyo inapokosa mashiko na kuwekwa pembeni.Sahihi kabisa, hivi unafikiri hawa Wanasayansi mpaka kufikia kuhitimisha jambo ubafikiri wali hoji kwa usahihi ? Tatizo siyo kuhoji, tatizo ni je mnahoji kwa usahihi ?
Kwa mfano wewe, uliposikia habari hii kwa mara ya kwanza ulihoji vipi na je hitimisho lake vipi liwe la kweli hali ya kuwa msingi wa habari ni wa kufikirika na usio na ushahidi kwa hali yoyote ile ?
Kila jambo la kisayansi ni mawazo ya watu. Hata hicho kifaa unachokitumia hivi sasa kuweza kuingia katika ukurasa huu wa mtandao ni mawazo ya mtu. Hakuna mtu aliyekuwa na ithibati juu ya uwepo wa kifaa hicho hapo kabla lakini wanasayansi walikwisha anza kuyafanyia kazi masuala mbalimbali kuhusiana na kifaa hicho zamani sana.Sasa hili jambo mbona linaonyesha wazi kabisa hamja hoji, maana laiti kama mngekuwa mmehoji msingefikia kufanya utafiti juu ya jambo ambalo halina msingi wa ukweli, wala ushahidi zaidi ya mawazo ya mtu tu. Sidhani kama ni kweli nadharia yoyote ya Kisayansi lazima ipitie kwenye majaribio, mathalani unaweza kuniambia ni jaribio gani la kisayansi lililo fanyika na kuonyesha ya kuwa Dunia inazunguka au ipo katika mwendo na jaribio gabi la Kisayansi lililo fanyika na kuhitimisha ya kuwa Jua halipo katika mwendo ?
Au labda unisaidie unaposema "kuhoji" kwa mujibu wa Sayansi huwa mnakusudia nini ?
Kwanini unafikiri halina asili?Hili la hii nadharia.
Ni mambo gani hayajawahi kuwepo? Kwanini unasema hayajawahi kuwepo?Unaweza kufanya utafiti kwa jambo ambalo halijawahi kuwepo ?
Hili la kwenye mada ni miongoni mwa mambo ambayo hayakuwahi kuwepo, vipi ufanye utafiti zaidi ya sanaa na ubunifu tu ili kuafikiana na mawazo ya mbunifu...!
- Giant impact hypothesis is the best hypothesis so far that explains the moon formation, lakini haimaanishi kwamba ndio hypothesis ya kweli. These things are believed to have been formed about more than 4000 million years ago, hakuna anaeweza kuelezea with certainity.Tafiti mbalimbali kupitia mwamba huo zimekwisha wahi kufanyika hapo kabla kuhusiana na umri wa Mwezi na uumbwaji wake kwa ujumla na umri uliokuwa ukitambulika hapo awali kabla ya huu utafiti mpya ni miaka ipatayo bilioni nne nukta tano moja (4.51).
Kuhusiana na kung'aa kwa Mwezi ni kutokana na kuakisi mwanga wa Jua katika Solar System. Tunaweza kuuona Mwezi uking'aa hasa nyakati za usiku kutokana na umbo lake lenye kuakisi (reflect) mwanga. Mwezi hauzalishi mwanga bali unaakisi mwanga wa Jua kama vile Dunia pia haizalishi mwanga bali inapokea mwanga kutoka katika Jua hilohilo.
Tukielekea katika mgongano,
Dunia iligongana ama iligongwa na sayari ndogo ya Theia kipindi ambacho bado ilikuwa katika process ama mchakato wa kuumbwa kwake na haikuwa kama Dunia hii iliyopo hivi sasa. Ilikuwa ni Dunia 'changa'.
Wakati wa mgongano huo, vipande vya mwamba myeyuko vilipasuka kutoka sehemu ya koti (mantle) ya Dunia 'changa' iliyokuwa ikimalizikia kuumbwa, vipande ambavyo ndivyo viliungana pamoja na mabaki ya Theia kupelekea kufanyika kwa Mwezi ambao ulikuwa katika hali ya myeyuko (molten) kwa kipindi kirefu sana kabla ya kuganda kabisa.
Baada ya Theia kuigonga Dunia (Big Splash), pia kukafanyika muunganiko kati ya Theia na Dunia 'changa' huku kiini chake kikiungamanishwa na kiini cha sayari ndogo ya Theia katika tukio linalofahamika kama Formation of the Core ambapo katika utafiti wa hivi karibuni, umri wa Mwezi umeweza kuhusishwa na tukio hilo la kuhitimisha kuumbwa kwa Dunia.
Matokeo yake:
Watafiti kupitia nadharia hii ya Big Splash wameeleza sababu ya Dunia kuweza kuwa na Core ama kiini kikubwa kuliko ambavyo ingetegemewa kuwa katika mwili wa ukubwa ama size kama yake. Hiyo ni kwa sababu kiini na koti ya sayari ndogo ya Theia viliungana na kiini na koti ya Dunia katika kipindi hicho cha Formation of the Core.
Mabaki ya sayari ndogo ya Theia yaliyotokana na tukio la kugongana kwake na sayari ya Dunia yapo na yamepatikana katika sehemu zote mbili, yaani Duniani na katika Mwezi kupitia tafiti zilizokwisha kufanyika hapo awali. Pia sampuli ya mwamba wa Mwezi iliyopatikana imeweza kubaini mfanano wa kimuundo ama composition na miamba ya Dunia.
Asante!
Sifa kuu ya muumbaji yeyote ni moja tu, nayo ni 'uwezo wa kuumba'. Basi!Labda nikusaidie hapa, unaweza kunips sifa za muumbaji ? Mathalani kwako wewe unakusudia muumbaji ni "Maji". Yaani mathalani wewe unaweza kumuita 'mchora tattoo" ni muumbaji kisa amekuwa sababu ya kuwepo kwa tattoo kwa mtu husika, na hivi ndivyo ilivyo kwa maji, yaani maji yameleta athari kwenye jambo ambalo lipo tayari, na huku hapaitwi au hakuitwi "uumbaji" ,mathalani tunaposema "Binadamu ameumbwa ujue hapakuwa kabla yake na mfani wake".
Bila shaka kabisa, bonde hilo limewekwa na msabishaji mkuu, ambae ameruhusu maji yawe ni sehemu ya sababu ya kutokea jambo hilo, huku akiwa na uwezo, ufahamu na lengo juu ya kuwepo kwa bonde hilo.
Kabla ya hapo halikuitwa bonde, ila baada ya athari ya kupita kwa maji mara kwa mara pakatokea bonde hilo, na kuitwa bonde.
Sifa ya muumbaji nimekwisha kukutajia hapo. 'Uwezo wa kuumba'. Kukifanya kitu fulani ambacho hakikuwepo na kukiunda kikawepo katika muonekano fulani ndio huo uumbaji. Hayo maumbo ya kijiografia niliyoyasema hapo awali yenye majina tofauti tofauti kutokana na muonekano wake yameumbwa na kitu gani?Kwa hili huwezi kuni "Challange" sababu udhaifu wako upi wazi na nimeuona mapema sana, kwa wewe kutokujua maana ya tamko "uumbaji" na ni yapi masharti au sifa za tamko hilo.
Mimi sipo hapo kwenye sababu ya kuwepo kwa upepo.Wewe nithibitishie tu, ili tuone kwamba hili unalo liandika ni kweli au si kweli.
Upepo wenyewe umeumbwa au haujaumbwa na kipi kinafanya upepo uwepo na uwe sababu ya kuwepo kwa maumbo yote haya ?
Unahitaji uthibitisho upi kuhusiana na kuumbika kwa maumbo hayo?Kaka inakuwaje unafikia hitimisho kabla hujatuthibitishia ukweli wa unacho dai ya kuwa upepo ndiyo umeumba haya maumbo ?
Unafahamu uwepo wa maumbo ya kijiografia? Unafahamu maana ya 'umbo'?Hili haliepukiki, sababu huwezi kuelezea hili bila kujua upepo ni nini na umetokana na nini na kwa lipi uwe chanzo cha uwepo wa maumbile haya. Mathalani nikikuuliza wewe ni ipi kazi ya Milima katika mgongo wa ardhi bila shaka utaniambia, nitakuuliza swali je kwanini au kwa vipi kile ambacho ndiyo sababu kisiwe na malengo na ufahamu wa kufanya milima iwepo ? Kwako wewe hapa una dai ni UPEPO.
Ushahidi ni kupitia maumbo ya kijiografia ambayo yapo katika mazingira yetu hayahaya tunayoishi kila siku. Hayo maumbo yanatokea tu papo hapo, out of nowhere?Mimi sikatai kama hayajaumbwa ila tunapingana juu ya nani ambaye ameyaumba haya maumbile. Wewe unasema ni upepo, na hapa nasubiri unipe ushahidi wa hilo.
Mtoa majina ya maumbo hayo si hoja bali hoja ni kile kilichosababisha kuwepo kwa maumbo hayo mbalimbali katika mazingira yetu.Suala la majina ni suala lingine ambalo kiuhalisia upepo wenyewe ndiyo ungetupa majina ya kile ilicho kiumba, lakini ajabu majina ya hayo maumbo yametolewa na mwanadamu.
Sasa kaka, huelewi wapi, haya unayo yaandika unatakiwa uyatumie katika hili unalo tuambia,lakini ukweli ni kuwa halikubali.Huwezi kulifanyia kazi jambo fulani bila kujua kuwa unafanya kitu gani. Kisayansi, nadharia ndio starting point katika kuyaelezea masuala mbalimbali yenye utata yanayohitaji ufumbuzi wa kisayansi, kanuni inayofuata hapo ni kuijaribu nadharia. Nadharia haiwezi kukubalika kama haitoweza kujaribiwa na haiwezi kujaribiwa kama hakuna uwezekano wa kuijaribu na kama hakuna uwezekano huo, basi hiyo nadharia si nadharia ya kisayansi.
Usahihi wa kuhoji upo katika majaribio na tafiti. Unahoji kwa facts zinazotokana na tafiti. Tafiti zinapotoa majibu ya kupingana na nadharia husika katika maswala mbalimbali na muhimu ndipo hapo nadharia hiyo inapokosa mashiko na kuwekwa pembeni.
Mawazo haya ni tofauti na hili la maumbile, unatakiwa kujua tofauti kati ya jambo lililo ndani ya uwezo wetu na jambo ambalo lipo nje ya uwezo wetu, suala la kutumia akili au kuleta wazo juu ya jambo ambalo umelikuta tayari ni kupotosha ukweli, lakini kuleta wazo jipya juu ya jambo ambalo halikuwahi kuwepo hili ni jambo kinawezekana, ndiyo maana tunataka uthibitisho wa hayo mawazo kabla ya kujadili hilo, maana sote tumekuta Dunia ipo na Mwezi upo, sasa unaposema habari za Bahari ya Magma, unatakiwa utupe uthibitisho.Kila jambo la kisayansi ni mawazo ya watu. Hata hicho kifaa unachokitumia hivi sasa kuweza kuingia katika ukurasa huu wa mtandao ni mawazo ya mtu. Hakuna mtu aliyekuwa na ithibati juu ya uwepo wa kifaa hicho hapo kabla lakini wanasayansi walikwisha anza kuyafanyia kazi masuala mbalimbali kuhusiana na kifaa hicho zamani sana.
Nadharia yeyote ya kisayansi ni lazima ipitie katika majaribio, ndio maana ya scientific hypothesis. Fahamu hilo!
Halina asili sababu kinachoelezewa kinapingana na hali halisi, kwani Mwezi na Dunia vipo, ili ujue habari zake inabidi ufate elimu na siyo mawazo yako au nadharia, hapo ni kuchagua kukosea.Kwanini unafikiri halina asili?
Hapa kuna nukta mbili, jambo ambalo halikuwahi kuwepo na halijatanguliwa na kuwepo kwake, hili hakuna anae lijua, nukta ya pili ni jambo ambo halipo ba lilitanguliwa na kuwepo, hili ndiyo tunalijadili na lazima litanguliwe na ushahidi.Ni mambo gani hayajawahi kuwepo? Kwanini unasema hayajawahi kuwepo?
Naona huelewi unacho kijibu yaani ninacho kiandika, hapa naongelea nadharia yenyewe kwa maana ni ubunifu tu ambao mwanzo wake unatakiwa ithibati, yaani ushahidi. Ukiwa huelewi jambo bora uulize.Fahamu kuwa, kuwepo ama kutokuwepo kwa nadharia ya namna hiyo hapo kabla
Hapa nimecheka kidogo. Uwezo siyo sifa pekee ya muumbaji, kwanza kabisa unatakiwa ujue tamko hili ni maalumu, sababu hakuna anaye umba pasi na Mola muumba, hili unatakiwa ulijue, na ujue namna ya kutumia maneno vizuri. Hapa tamko muafaka tulitumie "kutengeneza au kuunda",sababu maji hayaumbi, binadamu haumbi na mfano wake. Sasa njoo kwenye hali halisi, ili uone ni kwa vipi "uwezo" si sifa pekee, leo hii uba simu, vipi iwepo simu bila msanifu, bila lengo la msanifu bila malighafi ? Sasa usiwe unakataa jambo ambalo huwesi kulithibitisha.Sifa kuu ya muumbaji yeyote ni moja tu, nayo ni 'uwezo wa kuumba'. Basi!
Bonde haliitwi bonde mpaka liwe limetangiliwa na uwepo wa ardhi. Nilikupa mfano mwepesi sana wa mtu na mchoro na mchora tattoo, ulitakiwa utafakari kwanza juu ya mfabo ule kabla ya kuja kuuliza jambo ambalo laiti ubgelitafakari usingepoteza muda kuliuliza sababu majibu yapo kule kule.Unasema maji yameleta athari kwenye jambo ambalo lipo tayari!! Jambo gani lipo tayari? Hilo bonde lilikuwepo hapo? Kwanini liitwe bonde?