Mwezi una umri mdogo kuliko tulivyodhani! Je, unaamini?

Mwezi una umri mdogo kuliko tulivyodhani! Je, unaamini?

- Earth's radius ni 6371km, na core ina 3471km which is slightly higher than 50% .. Venus ina radius ya 6052km, na core yake ina radius ya 3200km which is also slightly higher than 50% , Hizi hesabu hazilingani kabisa na maelezo yako hapo.

Mercury pekee ndio inaonyesha silicate- metal ratio ya utofauti na paka leo bado wanasayansi wanatafuta sababu ya hilo. Hypothesis zipo ndio kama uliyoisema hapo lakini haimaanishi ndicho kilicho tokea.

- Pia unaposema ocean of magma, can u account for the sources of heat in the moon that would've caused the ocean of magma 85 million years after the solar system was formed?

Source ya heat pekee inayoweza kutengeneza hiyo ocean of magma ni heat from when the planets were formed, ambayo kulingana na hypothesis mwezi hauwezi kua nayo maana haukuwepo.

Kutokuwepo kwa evidence ya volcanic activities mwezini na uwepo wa volcanic rocks (basalt) zenye umri wa zaidi ya miaka billioni 4 mwezini kunatoa evidence kwamba the moon was formed at the same time with other bodies kwenye solar system.
Katika maelezo nimetaja kiwango cha size ya kiini cha Dunia ukilinganisha na radius yake ambacho ni approximately 55%. Pia nikataja kiwango cha size ya kiini cha Mercury ukilinganisha pia na radius yake, range kati ya asilimia 75 hadi 85. Range hiyo ni kutokana na vyanzo mbalimbali vya kitafiti.

Sijataja kiwango cha Venus.
Models mbalimbali za kitafiti zimekuwa zikipendekeza viwango tofauti tofauti. Kuna zinazo-suggest size ya core ya Venus kuwa na uwiano wa karibu zaidi na Dunia lakini pia kuna zingine zinazopendekeza kiwango cha tofauti kidogo. Ni vigumu kwa sasa kupata kiwango sahihi ndio maana kunakuwa na rough estimations zinazotofautiana kutokana na studies ama models mbalimbali za kitafiti.

Source ya heat katika Mwezi:
Kulingana na nadharia ya Giant Impact, Theia iligongana na Dunia 'changa' miaka takribani bilioni 4.5 iliyopita. Mgongano huo ulizalisha nishati iliyopelekea kuwepo kwa joto la kutosha kuzalisha hizo magma oceans huku pia kusababisha kumeguka kwa materials katika hiyo Dunia 'changa' ambazo zilitumika katika kufanyika kwa Mwezi. Chanzo cha heat ni mgongano (Giant Impact).

Baada ya tukio hilo, Mwezi unatajwa kuwa na bahari ya magma kwa kipindi cha miaka takribani milioni 200 kabla ya kuganda kabisa. Miongoni mwa sababu zilizopelekea hilo la uwepo wa muda mrefu wa bahari ya magma katika Mwezi ni kitu kinachoitwa "tidal heating".

Tidal heating ni kuongezeka kwa joto la ndani la sayari na Mwezi kutokana na kutofautiana kwa gravitational force kati ya hizo bodies zilizopo katika mihimili yake. Nguvu ya gravity inategemeana na umbali na kutokana na hilo, impact ya gravitational force kati ya vitu viwili haiko sawa mule ndani ya vitu hivyo.

Mabadiliko ya umbali kati ya vitu viwili kama ilivyo katika Mwezi ulio katika mzunguko wa duara karibu na Dunia, unapelekea utofauti katika kupatwa kwa mvutano kati ya vitu hivyo katika kipindi cha mzunguko mmoja. Utofauti huu husababisha mvurugano katika material structures mule ndani ya vitu hivyo, ambapo hupelekea msuguano wa elements ndani yake hatimaye kupelekea kuzalishwa kwa joto (frictional heating) linalosambaa kutokea ndani ya kimojawapo au pia vitu vyote viwili.

Kwa maelezo mengine:

Tidal heating is the increase in internal thermal content of a planet or moon associated with the differential gravitational force (or tide) between two bodies in orbit about their common center of mass. Tidal heating also known as tidal working or tidal flexing occurs through the tidal friction processes: orbital and rotational energy is dissipated as heat in either (or both) the surface ocean or interior of a planet or satellite.
 
- Dunia ya mwanzo ilikua ujiuji na homogenious, ilianza kupoa taratibu na wakati huohuo vitu vizito kama Iron na Nikel vilizama katikati kwa sababu ya uzito wake( vikatengeneza core),

- Vitu ambavyo ni vizito kidogo kama magnesium na silicate vilizama pia juu ya core (kutengeneza mantle ambayo ni ujiuji). Na juu kabisa baada ya kupoa zaidi ilitengeneza crust ambalo ni ganda gumu.

- Wakati dunia inapoa ilitoa gases mbalimbali kama Sulphur, Carbondioxide nk kwa process inayoitwa degasing na inasemekana pia kwamba components zinazounda maji pia zilitoka pamoja na hizo gases wakati dunia ikiendelea kupoa.

- Gase ni nyepesi zaidi hivyo ilikaa juu zaidi na ikatengeneza primitive atmosphere. Atmosphere ambayo haikuweza kufaa kwa maisha yeyote.

- Kiumbe wa kwanza wanaosemekana kuwepo duniani na Autotoph (Cyano bacteria).. hawa waliishi miaka bilioni 2 iliyopita na inasemekana ndio waliohusika kuzalisha oxygen katika atmosphere na kufungua milango kwa viumbe wengine wanaotumia oxygen.
Hivi hizi habari huwa mnazihakikisha vipi mpaka mnaanza kuwasambazia watu ? Je mna shahidi juu ya hizi habari ?
 
Hivi hizi habari huwa mnazihakikisha vipi mpaka mnaanza kuwasambazia watu ? Je mna shahidi juu ya hizi habari ?
Richa ya kwamba nimesoma historia ya ulimwengu na dunia katika elimu yangu, pia sikuhizi kuna g[emoji102]gle search unaweza kupata elimu kuhusu chochote unachohitaji bila kuingia darasani.

- Kwa kutumia g[emoji102]gle search pia unaweza ng'amua taarifa ipi ni ya kweli na ipi ni uongo.
 
Richa ya kwamba nimesoma historia ya ulimwengu na dunia katika elimu yangu, pia sikuhizi kuna g[emoji102]gle search unaweza kupata elimu kuhusu chochote unachohitaji bila kuingia darasani.

- Kwa kutumia g[emoji102]gle search pia unaweza ng'amua taarifa ipi ni ya kweli na ipi ni uongo.
Kwa heshima na taadhima naomba usome swali langu vizuri kisha ulijibu.

Hakuna anae pinga ya kuwa google kuna habari za uongo nyingi sana,swali langu la msingi hizo habari huwa mnazihakiki vipi na kujua kama ni kweli au uongo ? Hili ndiyo swali langu la msingi.
 
Kwa heshima na taadhima naomba usome swali langu vizuri kisha ulijibu.

Hakuna anae pinga ya kuwa google kuna habari za uongo nyingi sana,swali langu la msingi hizo habari huwa mnazihakiki vipi na kujua kama ni kweli au uongo ? Hili ndiyo swali langu la msingi.
- Sijajibu kama ulivyo uliza sababu u are not asking the right questions.

- Hii hypothesis imeundwa kwa kutumia facts na misingi ya sayansi, sasa unataka nihakiki kwamba chuma ni kizito kuliko jiwe? au unataka nihakiki kwamba katikati ya dunia kuna chuma?

au unataka nihakiki kwamba wanasayansi walioenda mwezini na kuleta taarifa duniani walikua sahihi?

Au unataka nihakiki kwamba kinachoandikwa kwenye vitabu na kufundishwa mashuleni kiko sahihi?
 
- Sijajibu kama ulivyo uliza sababu u are not asking the right questions.
Nimecheka sana, nyinyi ndiyo huwa mnatufanya tuone Waafrika hatuna akili. Swali nililo kuuliza ni swali la msingi, na anae weza kujibu swali hilo ni mtu ambaye yuko huru na makini, mtu ambaye anajua thamanni ya ukweli na matumizi sahihi ya akili. Ngoja nikuonyeshe udhaifu wako ulipo.

Soma kwa umakini yanayofata hapa.
- Hii hypothesis imeundwa kwa kutumia facts na misingi ya sayansi, sasa unataka nihakiki kwamba chuma ni kizito kuliko jiwe? au unataka nihakiki kwamba katikati ya dunia kuna chuma?
Hizo "Facts" ndiyo ambazo tunataka mtuonyeshe na siyo mseme "Facts".

Lazima uhakiki kwamba chuma ni kizito kuliko jiwe, sababu jiwe pia huweza kuwa zito mara elifu ya jiwe. Hapa umeonyesha ufinyu wa kufikiri kwako, kwa kudhani ya kuwa mara zote chuma ni kizito kuliko jiwe, wakati watu makini wangeenda mbali zaidi kujua ni chuma gani, je chuma cha pua au kinyume chake, na kina uzito gani na kuhusu hivyo hivyo.
au unataka nihakiki kwamba wanasayansi walioenda mwezini na kuleta taarifa duniani walikua sahihi?
Sahihi kabisa na ujue ukweli wake kwamba ni kweli walienda au maigizo tu kama maigizo mengine. Wapo walio hakiki habari na kuhitimisha ya kuwa hakuna aliye enda mwezini na hatoweza kiumbe yoyote kwenda mwezini, hapa kadhalika umeonyesha ukichwa mchunga wako, yaani unekuwa bendera kufata upepo.
Au unataka nihakiki kwamba kinachoandikwa kwenye vitabu na kufundishwa mashuleni kiko sahihi?
Hili ni lazima ila kwa mtu makini, ila kwa mtu kama wewe mwenye tabia y "Sponchi" huwezi kuona hilo.

Ahsante.
 
Nimecheka sana, nyinyi ndiyo huwa mnatufanya tuone Waafrika hatuna akili. Swali nililo kuuliza ni swali la msingi, na anae weza kujibu swali hilo ni mtu ambaye yuko huru na makini, mtu ambaye anajua thamanni ya ukweli na matumizi sahihi ya akili. Ngoja nikuonyeshe udhaifu wako ulipo.

Soma kwa umakini yanayofata hapa.

Hizo "Facts" ndiyo ambazo tunataka mtuonyeshe na siyo mseme "Facts".

Lazima uhakiki kwamba chuma ni kizito kuliko jiwe, sababu jiwe pia huweza kuwa zito mara elifu ya jiwe. Hapa umeonyesha ufinyu wa kufikiri kwako, kwa kudhani ya kuwa mara zote chuma ni kizito kuliko jiwe, wakati watu makini wangeenda mbali zaidi kujua ni chuma gani, je chuma cha pua au kinyume chake, na kina uzito gani na kuhusu hivyo hivyo.

Sahihi kabisa na ujue ukweli wake kwamba ni kweli walienda au maigizo tu kama maigizo mengine. Wapo walio hakiki habari na kuhitimisha ya kuwa hakuna aliye enda mwezini na hatoweza kiumbe yoyote kwenda mwezini, hapa kadhalika umeonyesha ukichwa mchunga wako, yaani unekuwa bendera kufata upepo.

Hili ni lazima ila kwa mtu makini, ila kwa mtu kama wewe mwenye tabia y "Sponchi" huwezi kuona hilo.

Ahsante.
Asante
 
1596308081161.png

PICHA: Sampuli ya mwamba wa Mwezi iliyoletwa na NASA kutokea Mwezini mnamo mwaka 1972 (Apollo 17 mission). [JSC/NASA]

The first and largest collection of samples of other worlds comes from the Moon.

Between 1969 and 1972, a dozen astronauts on NASA’s Apollo programme flew to the Moon, walked around on it, and picked up and brought back 382 kilograms of lunar rocks. Studies of those samples have rewritten scientific understanding of the history of the Solar System.

Researchers are still learning from the Apollo samples. Last year [2019], to mark the 50th anniversary of the Apollo 11 landing, NASA began to open some Apollo samples that had been sealed since they came back to Earth, to see what new science they might yield. Those studies are under way, although progressing slowly because of the COVID-19 pandemic.

NASA is looking to bring back many more Moon rocks as part of its Artemis programme, which aims to send astronauts back to the lunar surface by the end of 2024.

~ Nature
 
Back
Top Bottom