Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Sisi tulioko Rukwa upo kawaida tu. Ila ungetupa kapicha tulio mkoani huku.Wakuu nipo zangu kijijini kwangu hapa naangalia mbalamwezi sio nyeupe kama nilivyozoea, wataalamu wa anga hebu semeni kidogo.
kwa wakazi wa Dar angalieni mwezi.
Mda wa kuangalia mwezi unatoa wapi[emoji23]Wakuu nipo zangu kijijini kwangu hapa naangalia mbalamwezi sio nyeupe kama nilivyozoea, wataalamu wa anga hebu semeni kidogo.
kwa wakazi wa Dar angalieni mwezi.
Aah! toa ushauri mwingine, pombe siachiAcha pombe huziwezi
Kwaani Yesu anatumia mwezi, au kuna watu unawachokozaWakuu nipo zangu kijijini kwangu hapa naangalia mbalamwezi sio nyeupe kama nilivyozoea, wataalamu wa anga hebu semeni kidogo.
kwa wakazi wa Dar angalieni mwezi.
View attachment 2540899
Unachokiona ni mwezi unaomulikwa na miale ya jua linalozama maana mwezi upo pembezoni mwa dunia na ukumbuke miale ya jua linalozama huwa na rangi kama hiyo...Wakuu nipo zangu kijijini kwangu hapa naangalia mbalamwezi sio nyeupe kama nilivyozoea, wataalamu wa anga hebu semeni kidogo.
kwa wakazi wa Dar angalieni mwezi.
View attachment 2540899
Nilijua ni mimi peke yangu nimeliona hilo, kumbe wengi tumenotice hicho kitu.Nimeshangaa sanaView attachment 2540935