Mwezi wa leo naona una rangi tofauti, au Yesu ndio anarudi

Mwezi wa leo naona una rangi tofauti, au Yesu ndio anarudi

Issa bin Mariam ehhh
InshaAllah turehemu kisha ufanye yako
Ameen
Anayerehemu ni Allah (Subhaanahu wa ta'ala). Sio Nabii Issa bin Maryam ('Alayhis Salaam). Hivyo wa kuombwa Rehma ni Allah peke yake.

Vilevile, dua ni Ibada, na haielekezwi Ibada isipokuwa kwa Allah tu peke yake. Kinyume chake ni kumshirikisha Allah katika Ibada kwa kumuabudu pamoja na (kuviabudu) viumbe vyake au kuabudu asiyekuwa Yeye, na hiyo ni Shirki . Na Shirki ni dhulma kubwa kabisa na Dhambi kubwa kuliko zote katika Uislam.
 
Anayerehemu ni Allah (Subhaanahu wa ta'ala). Sio Nabii Issa bin Maryam ('Alayhis Salaam). Hivyo wa kuombwa Rehma ni Allah peke yake.

Vilevile, dua ni Ibada, na haielekezwi Ibada isipokuwa kwa Allah tu peke yake. Kinyume chake ni kumshirikisha Allah katika Ibada kwa kumuabudu pamoja na (kuviabudu) viumbe vyake au kuabudu asiyekuwa Yeye, na hiyo ni Shirki . Na Shirki ni dhulma kubwa kabisa na Dhambi kubwa kuliko zote katika Uislam.
Takbiir
Nimeingia huku kwenu ukubwani
Hivyo bado nakumbuka hadhi ya Yesu kwenye uKristo
Ana nguvu ya kurehemu
 
Tukiondoa masihara, jambo nililokuambia ni kubwa mno katika Dini ya Uislam. Kumpwekesha Allah (Tawheed) ni jambo kubwa mno mno mno
Nimeingia huku kwenu ukubwani
Ni kheri kubwa mno umeiingia dada yangu. Sifa zote njema zinamstahiki Allah. Ila sasa dada yangu, nakunasihi sana uisome dini. Na jambo la muhimu zaidi ni Tawheed.
Hivyo bado nakumbuka hadhi ya Yesu kwenye uKristo
Uislam sio Ukristo. Katika Uislam, Yesu ni Mtume wa Allah, katika Mitume wake wakubwa kabisa, ambaye alitumwa kwa Wana wa Israil. Sio Mungu wala sio Mwana wa Mungu, wala hana ushirika wowote katika Ufalme wa Allah wala kuabudiwa kwake Allah na wala katika Sifa za Allah. Allah amepwekeka katika Ufalme wake, Kuabudiwa kwake na Sifa na Majina yake. ALLAH yuko peke yake hana Mshirika yeyote.

Yesu, ni Mtume na Mja wa Allah. Mama yake Bibi Maryam, mwanamke mwema aliyetwaharika na kuwa mbali na machafu, alimbeba kwa neno tu kutoka kwa Allah (nalo ni "Kuwa" naye akabeba mimba yake). Sio mama yake Mungu wala hakuwa mwanamke mzinifu kama wanavyomsingizia Mayahudi. Bali alimzaa Nabii Issa bila ya kukutana na mwanaume yoyote na huo ni muujiza.

Haombwi Yesu wala haabudiwi, bali anaombwa na kuabudiwa Mola wake Yesu ambaye ni Mola wangu pia na ni Mola wako na Mola wa kila kiumbe. Naye ni ALLAH Aliyetakasika na yote anayoshirikishwa nayo.


Ana nguvu ya kurehemu
Hivyo hii ni kinyume na Itikadi sahihi.

Kazakh destroyer njoo ndugu yangu
 
Tukiondoa masihara, jambo nililokuambia ni kubwa mno katika Dini ya Uislam. Kumpwekesha Allah (Tawheed) ni jambo kubwa mno mno mno

Ni kheri kubwa mno umeiingia dada yangu. Sifa zote njema zinamstahiki Allah. Ila sasa dada yangu, nakunasihi sana uisome dini. Na jambo la muhimu zaidi ni Tawheed.

Uislam sio Ukristo. Katika Uislam, Yesu ni Mtume wa Allah, katika Mitume wake wakubwa kabisa, ambaye alitumwa kwa Wana wa Israil. Sio Mungu wala sio Mwana wa Mungu, wala hana ushirika wowote katika Uungu wa Allah wala kuabudiwa kwake Allah na wala katika Sifa za Allah. Allah amepwekeka katika Uungu wake, Kuabudiwa kwake na Sifa na Majina yake. ALLAH yuko peke yake hana Mshirika yeyote.

Yesu, ni Mtume na Mja wa Allah. Mama yake Bibi Maryam, mwanamke mwema aliyetwaharika na kuwa mbali na machafu, alimbeba kwa neno tu kutoka kwa Allah (nalo ni "Kuwa" naye akabeba mimba yake). Sio mama yake Mungu wala hakuwa mwanamke mzinifu kama wanavyomsingizia Mayahudi. Bali alimzaa Nabii Issa bila ya kukutana na mwanaume yoyote na huo ni muujiza.

Haombwi Yesu wala haabudiwi, bali anaombwa na kuabudiwa Mola wake Yesu ambaye ni Mola wangu pia na ni Mola wako na Mola wa kila kiumbe. Naye ni ALLAH Aliyetakasika na yote anayoshirikishwa nayo.



Hivyo hii ni kinyume na Itikadi sahihi.

Kazakh destroyer njoo ndugu yangu
Shukraaan
Kwa mafundisho mazuri
Yachukua muda kujifunza yote
Kikubwa nia kuendelea kumjua Mwenyezi Mungu
Hio ndio faraja ya nafsi yangu
 
Tukiondoa masihara, jambo nililokuambia ni kubwa mno katika Dini ya Uislam. Kumpwekesha Allah (Tawheed) ni jambo kubwa mno mno mno

Ni kheri kubwa mno umeiingia dada yangu. Sifa zote njema zinamstahiki Allah. Ila sasa dada yangu, nakunasihi sana uisome dini. Na jambo la muhimu zaidi ni Tawheed.

Uislam sio Ukristo. Katika Uislam, Yesu ni Mtume wa Allah, katika Mitume wake wakubwa kabisa, ambaye alitumwa kwa Wana wa Israil. Sio Mungu wala sio Mwana wa Mungu, wala hana ushirika wowote katika Ufalme wa Allah wala kuabudiwa kwake Allah na wala katika Sifa za Allah. Allah amepwekeka katika Ufalme wake, Kuabudiwa kwake na Sifa na Majina yake. ALLAH yuko peke yake hana Mshirika yeyote.

Yesu, ni Mtume na Mja wa Allah. Mama yake Bibi Maryam, mwanamke mwema aliyetwaharika na kuwa mbali na machafu, alimbeba kwa neno tu kutoka kwa Allah (nalo ni "Kuwa" naye akabeba mimba yake). Sio mama yake Mungu wala hakuwa mwanamke mzinifu kama wanavyomsingizia Mayahudi. Bali alimzaa Nabii Issa bila ya kukutana na mwanaume yoyote na huo ni muujiza.

Haombwi Yesu wala haabudiwi, bali anaombwa na kuabudiwa Mola wake Yesu ambaye ni Mola wangu pia na ni Mola wako na Mola wa kila kiumbe. Naye ni ALLAH Aliyetakasika na yote anayoshirikishwa nayo.



Hivyo hii ni kinyume na Itikadi sahihi.

Kazakh destroyer njoo ndugu yangu
Naona unajitahidi kaka kumuelewesha KateMiddleton kumbe ni muislamu? mimi sikuwa najua kabisa huwa naona michango yake naelewa ni mkristo, sasa ziada kubwa ya kumpatia ni kwamba ukiingia kwenye uislamu kisha usisome dini yako mpya na misingi yake basi kurudi ulikotoka ni rahisi mno, hili ni kwasababu usipojenga imani yako juu ya misingi madhubuti ya elimu basi kuyumbishwa na majeshi ya mashetani wa kibinadamu na kijini ni jambo la kutarajiwa.

Mimi ushauri wangu wa ujumla ni kuwa KateMiddleton atufahamishe yuko wapi ili tuweze kumuelekeza mahala pa kuweza kuinenepesha imani yake na baada ya hapo hatoyumbishwa na yeyote, kwa kumalizia masihi issa mwana wa maryam amani iwe juu yake kwetu ana nafasi kubwa sana kama ambavyo tumeelekezwa na Qur'an na sunnah za mtume muhammad swala na salaam ziwe juu yake lakini hilo halitupelekei tukampa daraja ya uungu kamwe, sisi tunaamini ni mtume bali katika mitume watano wabora zaidi yeye ni mmoja wao.

Anasema allah hali ya kuwa ametukuka.

"......hakika masihi iysa mwana wa mariamu ni mtume wa allah, na ni neno lake alilompelekea mariamu, na ni roho iliyotoka kwake, basi muaminini allah na mitume wake na wa msiseme "utatu", mkikoma itakuwa kheri kwenu, hakika allah ni muabudiwa mmoja tu, ametakasika yeye na kuwa na mtoto, ni vyake yeye vyote vilivyomo mbinguni na ardhini, na anatosha allah kuwa ni mwenye kutegemewa."

Qur'an 4:171

Karibu kwa lolote KateMiddleton na allah akulipe kheri kwa ukumbusho kaka mkubwa Baljurashi
 
Back
Top Bottom